PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,521
- 13,110
Ohoooo!!!Zimeshuka
Ohoooo!!!Zimeshuka
Master of NoneJack of all trades!!
nina siku sikuoni humu, kidogo nipandishe uzi wa kukuulizia, hahahahahaOhoooo!!!
Vita haina Macho mjomba, tulia hivohivo.Acheni kumnyanyapaa MTU kwa sababu ya ugonjwa wake nyie MNA uhakika gani kama ni wazima wote jadilini mambo mengine ila sio ugonjwa
Dada yangu michakako tu hivi karibuni ilinibana Sana lakini tuko pamoja sana.nina siku sikuoni humu, kidogo nipandishe uzi wa kukuulizia, hahahahaha
Karibu nimefurahi kukuona tena JFDada yangu michakako tu hivi karibuni ilinibana Sana lakini tuko pamoja sana.
Kwani ajabu mini hapo?usiniambie???
Tuko pamoja sana.Karibu nimefurahi kukuona tena JF
Duuu, wabongo kwa kuchunguza maisha ya watu. Hatariiii!!Muathirika huyo nadhani wadudu wananyevua ubongo hajapata dawa za kupunguza makali kwa hiyo kusema hovyo sio yeye ni wadudu wamechachamaa hana mke nani atakubali kuishi na Muathirika mke wa ndoa ni alifariki siku nyingi
Wachokoze utajua wankufahamu kwa kinaDuuu, wabongo kwa kuchunguza maisha ya watu. Hatariiii!!
Wabongo tuna matatizoYatupasa tumuelewe huyu ni mshereheshaji kuhakikisha kipindi kinapendwa na kupata wasikilizaji.
Ni miongoni mwa watangazaji bora wa kipindi cha JAHAZI asipokuwepo utahisi mapungufu.
Mpaka Leo MTU unajadili afya ya MTU halafu ww unajiona uko salama saana kwenye dunia yenye utitiri wa magonjwa.