Hapo ndipo nachoka kabisa na soka la bongo! Simba timu yangu ila mambo mengine yanahitaji subira. Hakuna kosa baya kama kuwaweka Julio na Kibadeni wafundishe at the same time, wangepaswa kumpa mmoja wao na mwingine wampe kazi ingine.
Liwalo na liwe
oss!!??duuh! Operesheni safisha simba.
Kibaden wangemwacha pale hakuwa na uhuru wa kuifundisha ile timu akiwa na Julio. Julio ndo kamharibia Mzee wa watu yule alivyo makini! Aliifikisha kagera sugar mbali sana! Ila li JUU HILO ndo lilitakiwa kuondoka!Dah pole sana kibadeni. Huyu mzee amefanana sura na sir elton john.
Kibaden wangemwacha pale hakuwa na uhuru wa kuifundisha ile timu akiwa na Julio. Julio ndo kamharibia Mzee wa watu yule alivyo makini! Aliifikisha kagera sugar mbali sana! Ila li JUU HILO ndo lilitakiwa kuondoka!
Paka hashini kwa wali, matilaba yake panya!Kibadeni atajuta kuachia kibarua kisicho na manyanyaso kule kagera Sugar!
​afadhali wameondoka nilikuwa naogopa kumpeleka kijana wangu kufanya majaribio