funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,040
Hivi kwa nini hizi kesi za wanaume kuwapa mimba wanafunzi mara nyingi zinaishia kwa mazungumzo ya kifamilia na hazifiki mahakamani na kama zikifika mahakamani wengi hawahukumiwi.
Maana kumpa mimba mwanafunzi kwa mujibu wa sheria unafungwa miaka 30 lakini toka hiyo sheria ipite miaka kama 10 iliypita sidhani kama waliofungwa wanafikia 50 wakati kila siku vibinti vinabebeshwa jazz band
Hivi imekaaje hii wadau?
Maana kumpa mimba mwanafunzi kwa mujibu wa sheria unafungwa miaka 30 lakini toka hiyo sheria ipite miaka kama 10 iliypita sidhani kama waliofungwa wanafikia 50 wakati kila siku vibinti vinabebeshwa jazz band
Hivi imekaaje hii wadau?