Kesi za mimba za wanafunzi

funzadume

JF-Expert Member
Jan 28, 2010
13,559
21,040
Hivi kwa nini hizi kesi za wanaume kuwapa mimba wanafunzi mara nyingi zinaishia kwa mazungumzo ya kifamilia na hazifiki mahakamani na kama zikifika mahakamani wengi hawahukumiwi.

Maana kumpa mimba mwanafunzi kwa mujibu wa sheria unafungwa miaka 30 lakini toka hiyo sheria ipite miaka kama 10 iliypita sidhani kama waliofungwa wanafikia 50 wakati kila siku vibinti vinabebeshwa jazz band

Hivi imekaaje hii wadau?
 
Kwa sababu wakubwa wa nchi nao wanahusika.......na wanafunzi wana viherehere....hivo kesi hazitaendesheka kirahisi
 
wanaopeana mimba ndo tayari washaanzisha family, ukimfunga miaka 30 huyo dogo atakaezaliwa hatapata mapenzi ya baba mpaka afikie umri kama wangu na kuendelea, dah!!
 
Hivi kwa nini hizi kesi za wanaume kuwapa mimba wanafunzi mara nyingi zinaishia kwa mazungumzo ya kifamilia na hazifiki mahakamani na kama zikifika mahakamani wengi hawahukumiwi.

Maana kumpa mimba mwanafunzi kwa mujibu wa sheria unafungwa miaka 30 lakini toka hiyo sheria ipite miaka kama 10 iliypita sidhani kama waliofungwa wanafikia 50 wakati kila siku vibinti vinabebeshwa jazz band

Hivi imekaaje hii wadau?
kama inakuwa wamebakwa sawa. lakini kwa vibinti hivi vinavyo jishebedua na kujipeleka peleka kwa tamaa za maisha! mi sioni kama wanabebeshwa mimba ila wanajitakia wenyewe.kwani wanawake hawana akili? kitendo walichokubaliana wote wawili halafu sheria imuhukumu mmoja tu! labda tukubaliane wanawake niwapungufu wa akili.:playball:
 
Tatizo vibinti vinajidai vinajua sana kupenda.
Vikiambiwa vimtaje aliyemkandika mimba, vinagoma, vinakuwa vikali na kutishia kujiua ili tu bwana mbebeshaji mimba asifikishwe mahakamani na kuhukumiwa kifungo.
 
Umaskini unachangia .wengine hawana sent ya kununulia hata kakofuli ndio maana wakipewa nao wanajiachia .
 
wanaopeana mimba ndo tayari washaanzisha family, ukimfunga miaka 30 huyo dogo atakaezaliwa hatapata mapenzi ya baba mpaka afikie umri kama wangu na kuendelea, dah!!
hilo nalo neno
 
kitendo cha kumpa mwanafunzi mimba ni kosa kwa mwanaume na mwanamke thats why huwa wanamaliza kwa mazungumzo,ukisema mwanaume afungwe ina maana alimbaka huyo binti?i gues walikubaliana ila kosa, binti anatakiwa ajitambue kwamba yeye ni mwanafunzi as well kijana anatakiwa atambue kuwa binti anahitaji kusoma. sidhani kama ni busara kuubana upande mmoja wakati tendo lifanywa kwa ushirikiano wa bint na kijana tena kwa makubaliano na appointment iliyosubiriwa kwa hamu.
 
sasa mjazaji akienda selo 30 years nani atalea mimba, mama na mtoto?
 
kama inakuwa wamebakwa sawa. lakini kwa vibinti hivi vinavyo jishebedua na kujipeleka peleka kwa tamaa za maisha! mi sioni kama wanabebeshwa mimba ila wanajitakia(viherehere) wenyewe.kwani wanawake hawana akili? kitendo walichokubaliana wote wawili halafu sheria imuhukumu mmoja tu! labda tukubaliane wanawake niwapungufu wa akili.:playball:

wanafunzi wanaobebeshwa mimba ni kwa sababu ya viherehere vyao-JK
 
Na huyu mtoto akukuwa ataimba '' Papa was a rolling stone....wherever he laid his hat was his home''


2832869388_1898ff9e6a_o.jpg
 
Hivi kwa nini hizi kesi za wanaume kuwapa mimba wanafunzi mara nyingi zinaishia kwa mazungumzo ya kifamilia na hazifiki mahakamani na kama zikifika mahakamani wengi hawahukumiwi.

Maana kumpa mimba mwanafunzi kwa mujibu wa sheria unafungwa miaka 30 lakini toka hiyo sheria ipite miaka kama 10 iliypita sidhani kama waliofungwa wanafikia 50 wakati kila siku vibinti vinabebeshwa jazz band

Hivi imekaaje hii wadau?
kwa sababu ni vimbelembele vyao vinawapelekea kupata mimba ndio maana hakuna mtu wa kufuatilia kesi.
 
Hivi kwa nini hizi kesi za wanaume kuwapa mimba wanafunzi mara nyingi zinaishia kwa mazungumzo ya kifamilia na hazifiki mahakamani na kama zikifika mahakamani wengi hawahukumiwi.

Maana kumpa mimba mwanafunzi kwa mujibu wa sheria unafungwa miaka 30 lakini toka hiyo sheria ipite miaka kama 10 iliypita sidhani kama waliofungwa wanafikia 50 wakati kila siku vibinti vinabebeshwa jazz band

Hivi imekaaje hii wadau?

Hivi mnaposikia jela miaka 30 mnadhani mchezo. Hiyo sheria imekuwa ngumu kutekelezeka kutokana na ukali iliyo nayo. Wangefanya hata ka miaak 3 tu inatosha kumtia mtu adabu. Hiyo sheria ilitungwa kwa jazba na ndo mana wote walioshiriki kuitunga wanajisikia vibaya kwa makali iliyokuwa nayo.
 
Hivi mnaposikia jela miaka 30 mnadhani mchezo. Hiyo sheria imekuwa ngumu kutekelezeka kutokana na ukali iliyo nayo. Wangefanya hata ka miaak 3 tu inatosha kumtia mtu adabu. Hiyo sheria ilitungwa kwa jazba na ndo mana wote walioshiriki kuitunga wanajisikia vibaya kwa makali iliyokuwa nayo.
inawezekana hii reason uliyotoa nayo inachangia naona hii sheria inatakiwa kuangaliwa upya
 
hivi inakuwaje pale wanapopeana mimba both wakiwa madent!hii sheria ya 30 yrs selo iko applied hapa!au hii ikoje?
 
hivi inakuwaje pale wanapopeana mimba both wakiwa madent!hii sheria ya 30 yrs selo iko applied hapa!au hii ikoje?
hapo inakuwa ngoma droo itatumika sheria ya shule tu ya kuwafukuza shule wote haraka
 
hivi inakuwaje pale wanapopeana mimba both wakiwa madent!hii sheria ya 30 yrs selo iko applied hapa!au hii ikoje?

Hilo swali zuri nami napenda nipate jibu lake. Hiyo miaka 30 inakuwa kwa wote wawili?
 
Back
Top Bottom