goukun wadey
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 241
- 284
Morison akishindwa simba anapokwa point, Morison akishinda yanga anapokwa nini? Na Tff wanapokwa nini?Yanga hawakubaliani na hio kauli ya TFF ndo maana wakaenda kushtaki FIFA na CAS.... Yanga wanasema bado walikuwa na mkataba na Morisson....
Yanga akishinda, Simba watakuwa na kosa la kumchezesha mchezaji ambaye alikuwa na mkataba na timu nyingine