Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,943
- 6,863
Unamuonea.Tatizo Hawa jamaa hao kinondoni wanafeli Sana lakini mleta mada ni bingwa wa kumtukana marehemu badala ya kutupa mambo ya msingi kama hii kesi
Amandla...
Unamuonea.Tatizo Hawa jamaa hao kinondoni wanafeli Sana lakini mleta mada ni bingwa wa kumtukana marehemu badala ya kutupa mambo ya msingi kama hii kesi
Tatizo Hawa jamaa hao kinondoni wanafeli Sana lakini mleta mada ni bingwa wa kumtukana marehemu badala ya kutupa mambo ya msingi kama hii kesi
Opportunity missed...juzi Mnyika kasema Tunduma peke yake kulikuwa na wanachama 80 wamebambikiwa kesi.
..nilitegemea watu hao habari zao zisambae ktk vyombo vyote vya habari ikiwemo hapa J
Kwani ile ya Mbowe na makomandoo, iliyokua na updates za kutosha, Jaji na System waliifanyaje ile kesi. This is Tz mkuu...makada wa Chadema wanapeana updates wenyewe badala ya kuuhabarisha umma.
..wakiacha hii kesi iendelee kwa kificho bila umma kujua uozo uliofanyika wanatoa nafasi kwa Jaji na System kuwakandamiza.
Cc Erythrocyte
Vipi ile ya Mbowe, updates zilisaidia nini?Ndio maana nimesema kwenye hili wako ovyo sana. Wangetumia robo ya juhudi walizofanya kutujuza kuhusu kesi ya Mwenyekiti wao kwenye mambo mengine wangekuwa mbali. Si hii kesi peke yake. Wana kesi kibao zinazohusu wanachama wao lakini taarifa zinapatikana kwenye twitter binafsi za wanachama wao au kwa Maria! Twitter page yao imelala. Wanashangaza sana.
Amandla...
Zilisaidia wakaondoa kesi mahakamani na Ile ilitofautisha Nuru na Giza Sasa hivi hapo kinondoni kwenye swala la habari tumefeli wameturudisha kwenye GizaVipi ile ya Mbowe, updates zilisaidia nini?
Chadema wanaendelea na mazungumzo na ccm, na deadline ni desemba na hoja moja ni covid19 lets waitHapa sijakupata, .....
mkuu hebu weka link hapa tupate kupitia kinachojiri mana naona kama watoa taarifa wengi wa kujitolea ni kama wameipotezea.. hii si sawaUsisubirie, ingia fb kwenye account ya Twaha Mwaipaya. Mtu ana omba poo kwa maswali ya Kibatala
mkuu hivi hata kukopi hivi nayo ni shida jamani!!! mnatuangusha sanaAmen
Mbona waliondoa kwa njia ya kuzunguka sana. Hata hivyo Mataga huwa hawakubali kwamba serikali iliangukia pua. Waliondoa kesi kwa aibu sana.Zilisaidia wakaondoa kesi mahakamani na Ile ilitofautisha Nuru na Giza Sasa hivi hapo kinondoni kwenye swala la habari tumefeli wameturudisha kwenye Giza
Sent from my RMX2189 using JamiiForums mobile app
Mahojiano kamili yapo wapi?Kesi iliyofunguliwa na Wabunge Mamluki , Wasaliti walionunuliwa , dhidi ya CHADEMA inaendelea Mahakamani , Ambapo leo ni zamu ya Msaliti wa Karatu Cecilia Pareso.
Kama kawaida Wakili Msomi Peter Kibatala Anaendelea kumsulubu huyu mama kwa kumtandika maswali magumu bila huruma yoyote , Mama wa watu anaonekana kutetemeka.
Ngoja tuendelee kusubiri.