Kesi ya Mbowe ilipikwa kipindi cha Hayati Rais Magufuli

Kesi ya Mbowe ilipikwa chini ya utawala wa Magufuli hivyo Mama Samia hatakiwi kulaumiwa Bali apongezwe Kwa kuwa tayari kurekebisha makosa ya mtangulizi wake.

1. File lilifunguliwa July 18, 2020 na Swila,Kingai DCI et al kipindi Cha JPM.

2. Walinzi wa Mbowe walikamatwa na kubambikiwa madawa ya kulevya, na silaha na sare za JWTZ mwezi August, 2020 kipindi Cha JPM.

3. Walinzi wa Mbowe waliandikishwa maelezo ya uongo kuwa wamekiri na kumtaja Mbowe kuhusika na ugaidi mwezi August 2020 kipindi Cha JPM.

4. Mashahidi karibia wote waliandikishwa maelezo mwaka 2020 kipindi cha JPM.

5. Lengo likawa kumkamata Mbowe na kumfungulia mashtaka soon baada ya uchaguzi, na haikuwa Mbowe tu ilikuwa Bali ilikuwa waunganishwe Tundu lissu na Godbless Lema.

6. Taarifa zikavuja, Tundu lissu alivyosikia Kuna kesi pending alikimbilia ubalozi wa Ujerumani then akakimbia nchi.

7. Lema aliposikia polisi wanamsaka akakimbia akavuka mpaka wa Kenya then akaenda Canada.

8. Na Mbowe akakimbia nchi akaenda zake Dubai, ndiyo kipindi alichokaa sana nje ya nchi akarudi ashadungwa chanjo ya Corona na ndiyo maana hata wasaidizi wa Samia walimwambia Samia kuwa Mbowe alikimbia nchi ni kweli alikimbia, amerudi JPM akiwa hoi.

Sasa katika mazingira haya huwezi kubisha kuwa aliyesuka hii kesi ni Magufuli. Samia ameingia Ikulu katika mazingira ambayo hakuwa hata amejianda hivyo alikuwa anahitaji muda ku cope na vitu vingi. Huku chini wasaidizi wake wakiwa tayari Wana ushahidi waliopika Kwa maelekezo ya Mwendazake. Amekuja kushtuka kesi ishafunguliwa na wakamdanganya kuwa Wana ushahidi wa kutosha kuthibitisha ugaidi wa Mbowe.

Mimi naamini Rais Samia ahusiki na hii kesi kule kuongea BBC ilikuwa ni kutokana na kudanganywa na wasaidizi wake na Kwa kuwa si mwanasheria na ni mtu anayeheshimu ushauri wa wataalamu akawa ameaminishwa kuwa ule upupu wa kina Swila, Urio, Kingai kuwa ni ushahidi tosha wa ugaidi. Lakini alipoanza kuifuatilia Ile kesi akaja kugundua kuwa hakukuwa na ushahidi wowote wa maana.
View attachment 2139966
Kuna wakati mnakera. Ipikwe wakati huo kisha akamatwe wakati mwingine. Mbona mnatumia nguvu nyingi sana kupigana na mtu asiekuwepo? Mbona waTZ tunalifahamu hili vyema? Muacheni JPM apumzike kwa amani. Hajatutoka mioyoni mwetu na hatotutoka kamwe. Mmekula matapishi yenu wenuewe yamezeni salama.
 
Kuna wakati mnakera. Ipikwe wakati huo kisha akamatwe wakati mwingine. Mbona mnatumia nguvu nyingi sana kupigana na mtu asiekuwepo? Mbona waTZ tunalifahamu hili vyema? Muacheni JPM apumzike kwa amani. Hajatutoka mioyoni mwetu na hatotutoka kamwe. Mmekula matapishi yenu wenuewe yamezeni salama.
Acha kumtania mungu wewe ! Yaani JPM apumzike kwa amani??? Na wale aliowauwa na kuwatoa siyo viumbe wa mungu?
Huyu moto unamsubiri
 
Tuache kumbebesha JPM lawama wakati haya yanatokea yeye hakuwepo na hayupo tena Duniani.
Tuache kukatisha tamaa watu wa vyombo vya ulinzi na kazi zao kuwa wanabambikia watu kesi za uongo bila ushahidi.
Tuache kumchonganisha Rais na wasaidizi wake kuwa wanamdanganya sisi ni nani? Tunaojifanya tunaijuwa taasisi ya urais na watu wake kuliko wanavijijuwa wenyewe?.mimi naweza kuamini swala la mbowe lina ukweli kwasababu zifuatazo
1)wakati polisi wanauwawa kibiti chadema haikutoa tamko lolote la kulaani mauwaji yale kama chama kikuu cha upinzani.ila baada ya jeshi kuingia na kufanya yao soon viongozi wa chadema walitoa matamko kuwa watu wanauwawa kibiti na miili inaelea baharini
2)Baada ya uchaguzi kuisha cream yote ya chadema walikimbilia nje ya nchi huku wakiwa washindwa uchaguzi kwa halali bila pingamizi lolote je????? Shida ilikuwa nini anayefahamu anijuze na viashiria vingine siwezi kusema.
Nachoamini mimi mama atabaki kuwa mama tu kaamua kusamehe kama alivyosamehe wengine wengi tu mf escrow aaze ukurasa upya na ushawishi wa watu maarufu kama viongozi wa dini kumwomba wamalize swala kiungwana na kidugu yaishe
Tuache kuchafua system na viongozi waliotangulia mbele ya haki.vyombo vya dola tuviheshimu vina kazi ngumu saana tusiwavunje moyo.leo Ukraine kimenuka raia wanakimbia nchi kutafuta makazi mengine ila vyombo vya dola vipo kazini kutetea nchi bila kuogopa kufa tusiwakejeli bila kujuwa ukweli halisi kuwa wanabambikia watu kesi
Mwanzo ulivyoanza kujadili nikajua hautaegemea upande ili kuleta umoja na mshikamano unaotafutwa na Rais. Ona ulivyo haribu,

Kwanza umetaka tusijifanye kuijua taasisi ya urais au system lakini umepingana na Rais aliyetufahahamisha kwa uwazi kuwa polisi wanawabambikiza raia Kesi na siyo hayo tu bali hata kuwaua na kupora mali zao. Ndugu yangu wewe unaishi nchi gani hata ya juzi ya Mtwara haujayasikia.

Pili unatutaka tusiichonganishe serikali na vyombo vya dola wakati huohuo wewe unawachonganisha chama cha upinzani na serikali kwa kutengeneza fikra za matamanio yako yasiyo na chembe ya ushahidi.

Hata kama wewe ni miongoni mwa vyombo vya dola ulipaswa kuzingatia haki ambapo kwa mjibu wa sheria hatia huthibitishwa mahakamani. Au ndo wewe usiyefuata taratibu za kazi zenu kama vile PGO.

Zaidi umepotosha Sana ili kuhalalisha uovu wenu kama mshirika kwa kudai kuwa eti baada ya uchaguzi "cream" yote ya cdm ilikimbia na kwamba hii inakupa ukweli kuwa Mbowe aweza kuwa alishiriki ugaidi kibiti,

Kwa hoja hii ndipo hasa umedhihirisha kuwa ninyi ndiye mnaoichonganisha serikali na Wananchi, lakini pia umeipuuza mahakama na serikali yenyewe iliyopeleka mashitaka ikiwa na ushahidi feli usiohusisha suala la kibiti.

Mwisho fahamu kuwa Mbowe hakukimbia na jua kuwa Mugufuli pia alikwisha kufa yake mazuri yataongelewa na mabaya yake yataongelewa.
 
Mbowe tayari ameipata message, na ule mdomo wake mchafu uliyojaa matusi hatautumia tena. Vivyo hivyo na Lissu naye tayari amejifunza na mdomo wake utakuwa free from matusi. Kwa kifupi kama ni siasa, sasa hivi Mbowe na Lissu watafanya siasa ya heshima isiyo matusi.
Tukiuliza tutajiwe matusi walau mawili tu ambayo Mbowe aliwahi kutukana ili na sisi tumsakame, tunaweza kutajiwa?? Again, ni kama umebadiri topic, topic hapa ni kwamba Mbowe alifungwa enzi za mwendazake, hatujadiri usahihi wa kufungwa kwake, mleta uzi anataka kuonesha kwamba KIFUNGO cha Mbowe lawama tuzipeleke kwa mwendazake.
 
Kesi ya Mbowe ilipikwa chini ya utawala wa Magufuli hivyo Mama Samia hatakiwi kulaumiwa Bali apongezwe Kwa kuwa tayari kurekebisha makosa ya mtangulizi wake.

1. File lilifunguliwa July 18, 2020 na Swila,Kingai DCI et al kipindi Cha JPM.

2. Walinzi wa Mbowe walikamatwa na kubambikiwa madawa ya kulevya, na silaha na sare za JWTZ mwezi August, 2020 kipindi Cha JPM.

3. Walinzi wa Mbowe waliandikishwa maelezo ya uongo kuwa wamekiri na kumtaja Mbowe kuhusika na ugaidi mwezi August 2020 kipindi Cha JPM.

4. Mashahidi karibia wote waliandikishwa maelezo mwaka 2020 kipindi cha JPM.

5. Lengo likawa kumkamata Mbowe na kumfungulia mashtaka soon baada ya uchaguzi, na haikuwa Mbowe tu ilikuwa Bali ilikuwa waunganishwe Tundu lissu na Godbless Lema.

6. Taarifa zikavuja, Tundu lissu alivyosikia Kuna kesi pending alikimbilia ubalozi wa Ujerumani then akakimbia nchi.

7. Lema aliposikia polisi wanamsaka akakimbia akavuka mpaka wa Kenya then akaenda Canada.

8. Na Mbowe akakimbia nchi akaenda zake Dubai, ndiyo kipindi alichokaa sana nje ya nchi akarudi ashadungwa chanjo ya Corona na ndiyo maana hata wasaidizi wa Samia walimwambia Samia kuwa Mbowe alikimbia nchi ni kweli alikimbia, amerudi JPM akiwa hoi.

Sasa katika mazingira haya huwezi kubisha kuwa aliyesuka hii kesi ni Magufuli. Samia ameingia Ikulu katika mazingira ambayo hakuwa hata amejianda hivyo alikuwa anahitaji muda ku cope na vitu vingi. Huku chini wasaidizi wake wakiwa tayari Wana ushahidi waliopika Kwa maelekezo ya Mwendazake. Amekuja kushtuka kesi ishafunguliwa na wakamdanganya kuwa Wana ushahidi wa kutosha kuthibitisha ugaidi wa Mbowe.

Mimi naamini Rais Samia ahusiki na hii kesi kule kuongea BBC ilikuwa ni kutokana na kudanganywa na wasaidizi wake na Kwa kuwa si mwanasheria na ni mtu anayeheshimu ushauri wa wataalamu akawa ameaminishwa kuwa ule upupu wa kina Swila, Urio, Kingai kuwa ni ushahidi tosha wa ugaidi. Lakini alipoanza kuifuatilia Ile kesi akaja kugundua kuwa hakukuwa na ushahidi wowote wa maana.
View attachment 2139966
Kama tuna Rais anayeweza kudanganywa kirahisi namna hiyo basi taifa liko hatarini. Kwamba idara zote za kiiteligensia zilizomzunguka zikaamua kumdanganya? Kuna walakini hapa
 
Kuna wengi sana kama Siro, Kingai na genge lake la wauaji bado yapo kwenye system, ila sioni yakipona, lile Sabaya ni mwanzo tuu
 
Kesi ya Mbowe ilipikwa chini ya utawala wa Magufuli hivyo Mama Samia hatakiwi kulaumiwa Bali apongezwe Kwa kuwa tayari kurekebisha makosa ya mtangulizi wake.

1. File lilifunguliwa July 18, 2020 na Swila,Kingai DCI et al kipindi Cha JPM.

2. Walinzi wa Mbowe walikamatwa na kubambikiwa madawa ya kulevya, na silaha na sare za JWTZ mwezi August, 2020 kipindi Cha JPM.

3. Walinzi wa Mbowe waliandikishwa maelezo ya uongo kuwa wamekiri na kumtaja Mbowe kuhusika na ugaidi mwezi August 2020 kipindi Cha JPM.

4. Mashahidi karibia wote waliandikishwa maelezo mwaka 2020 kipindi cha JPM.

5. Lengo likawa kumkamata Mbowe na kumfungulia mashtaka soon baada ya uchaguzi, na haikuwa Mbowe tu ilikuwa Bali ilikuwa waunganishwe Tundu lissu na Godbless Lema.

6. Taarifa zikavuja, Tundu lissu alivyosikia Kuna kesi pending alikimbilia ubalozi wa Ujerumani then akakimbia nchi.

7. Lema aliposikia polisi wanamsaka akakimbia akavuka mpaka wa Kenya then akaenda Canada.

8. Na Mbowe akakimbia nchi akaenda zake Dubai, ndiyo kipindi alichokaa sana nje ya nchi akarudi ashadungwa chanjo ya Corona na ndiyo maana hata wasaidizi wa Samia walimwambia Samia kuwa Mbowe alikimbia nchi ni kweli alikimbia, amerudi JPM akiwa hoi.

Sasa katika mazingira haya huwezi kubisha kuwa aliyesuka hii kesi ni Magufuli. Samia ameingia Ikulu katika mazingira ambayo hakuwa hata amejianda hivyo alikuwa anahitaji muda ku cope na vitu vingi. Huku chini wasaidizi wake wakiwa tayari Wana ushahidi waliopika Kwa maelekezo ya Mwendazake. Amekuja kushtuka kesi ishafunguliwa na wakamdanganya kuwa Wana ushahidi wa kutosha kuthibitisha ugaidi wa Mbowe.

Mimi naamini Rais Samia ahusiki na hii kesi kule kuongea BBC ilikuwa ni kutokana na kudanganywa na wasaidizi wake na Kwa kuwa si mwanasheria na ni mtu anayeheshimu ushauri wa wataalamu akawa ameaminishwa kuwa ule upupu wa kina Swila, Urio, Kingai kuwa ni ushahidi tosha wa ugaidi. Lakini alipoanza kuifuatilia Ile kesi akaja kugundua kuwa hakukuwa na ushahidi wowote wa maana.
View attachment 2139966
Mengine yote sawa Mr Lord Diplock MR....

Ila hoja namba 8 nikusahihishe kidogo...

Freeman Mbowe hakukimbia nchi kwa maana ya "kukimbia kwa eti kwa sababu alikuwa na makosa" kwa maana ya yale aliyoshitakiwa kwayo...

So, the best statement kuhusu hili inapaswa kuwa hivi....;


".......baada ya kuupata mpango wa si tu kubambikiwa kesi ya jinai/ugaidi bali wa kuuwawa kabisa basi, Mbowe, Lissu & Lema wali -retreat kwa kuondoka nchini ili kuja na mkakati wa kukabiliana na mpango huo muovu wa Magufuli na serikali yake.......

......mkakati ukawa Mbowe aje ili serikali ifanye kosa la kumshika na kumshitaki kwa mashitaka ya uongo kisha moto wa kuichongea serikali ya Magufuli ndani ya nchi na kimataifa uwake na uwaunguze wote.....

.....Freeman Mbowe kweli akarudi nchini. Mkakati huu wa uovu wa Magufuli na watu wake ukawa delayed kidogo kwa sbb wana mkakati wa serikali ya Magufuli, waliinusa na kuielewa kisha wakapima cons & pros za counter attack strategy ya CHADEMA na kugundua kuwa wakiutekeleza mpango wao, utabuma na una negative political side effects nyingi zaidi kuliko faida kwao....

....kama majibu ya maombi ya CHADEMA toka kwa Mungu, kiongozi mkuu wa uovu huo Bw. John P. Magufuli, akafa kifo kisichotarajiwa na cha ghafla mno...

.....Mama Samia S. Hassan kama VP na kwa mujibu wa katiba ilikuwa lazima aapishwe awe Rais mahali pa hayati Magufuli......

Lakini wafuasi na Loyalists wa Magufuli wa ndani ya serikali na CCM wengi wakiwa ni lile kundi maarufu kwa jina "SUKUMA GANG" kwa kutumia nguvu ya fedha wakaongoza harakati kutaka kuipindua katiba ya nchi kwa kumkataa huyu mama asiapishwe kabisa kuwa Rais badala yake walitaka serikali ya mpito na mtu wao fulani aongoze kwa muda fulani huku wakiandaa uchaguzi mpya ili washinde kwa mbinu ile ile waliyoitumia kujishindisha mwaka 2020...

....Thanx to JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA (JWTZ) liliukataa na kuupinga vikali mkakati huo na kutaka katiba iheshimiwe. Ndipo Rais Samia S. Hassan akaaipishwa rasmi March 17, 2021...

....baada ya hawa jamaa mkakati wao huo kugonga mwamba, wengi waliendelea kuwemo chamani [CCM] na serikalini. Kwa kutumia nafasi zao wakaanza kuihujumu serikali mpya chini ya Rais Samia......

Ndiposa wakaifufua na kesi feki ya ugaidi wa CHADEMA through m/kiti wao Freeman Mbowe. They knew exactly that kuwa hakuna kesi hapo ila tumharibie tu huyu mwanamke ili aonekane hafai tu resume kwenye mpango wetu wa kuendeleza u - Magufulism...."


Matokeo yake ndiyo haya. Na mimi ndiyo maana kila wakati nasema, huyu mama [Rais Samia ] amefumbuliwa ufahamu na akili ambazo zilikuwa zimefungwa. Sasa yuko nuruni na anaweza kuona vitu vingi sana na kwa uwazi kuliko hapo mwanzo...

Asante
 
baada ya kuwekwa ndani?
Ndiyo, baada ya kuwekwa ndani.

Iko hivi ndugu mwanaJamiiForums, Samia katika kipindi cha ndugu jiwe alikuwa hashirikishwi, kesi iliandaliwa bila yeye kujua na Jiwe alipoRIP Samia aliambiwa tu kwamba kuna kesi na tumekamilisha uchunguzi, Mbowe ni Gaidi tunatakiwa kumkamata, Sasa angezuia vipi wakati haelewi..

Baada ya muda flani nafikiri alielewa kwamba labda kesi ni ya kufoji, na ndio maana labda Mbowe na wenzake wametoka.
 
Unafahamu kwamba kipindi Cha JPM Mh Mbowe kapoteza vingi Sana. Kabomolewa bilcanas, kuharibiwa shamba lake, kufungiwa gazeti lake la Tanzania daima, kufukuzwa kwenye Jengo la NHC ambalo kiasili ni Mali yao, kutajwa kwenye madawa ya kulevya na makonda, kuvamia na wasiojulikana na kusingiziwa alikuwa amelewa , kufungiwa akaunti yake na pesa zake kuchukuliwa

Leo mtu akikwambia hii ilikuwa ni kesi iliyopikwa na mwendazake unaona kwamba asingeweza kufunga mtu.

Kile kilichompata Lissu na hili la Mbowe lipi kubwa we jamaa?

Suala la Samia kujitenganisha na kesi ya michongo dhidi ya Mbowe ni Sawa na kujaribu kutenganisha Harufu ya Kinyesi chako na Harufu ya Choo. Impossible

Km kwel Samia amekutuma kuyasema haya .... basi Hii ni dalili ya Incompétence ya huyu mama and she is unfit for the throne Or else basi utakuwa umemdhalilisha.

CCM mnalaana and KARMA is Bitch , you can be sure kuwa hamuwezi kutoka nje ya Damu ya JPM ...,,, ni suala la Muda

Walls have ears and eyes ! Mlimkaribisha shetani.... dhambi ya asili haitowaacha salama
 
Mama Samia imemchukua muda mrefu kumwachia Mbowe Kwa sababu aliaminishwa na wasaidizi wa mwendazake alioshiriki nao kupika kesi kina Sirro kuwa Wana ushahidi wa kutosha hivyo Mama akatulia aone Sheria ikichukua mkondo wake, Sasa baada ya kufuatilia kinachoendelea mahakamani akagundua ni ya mchongo tangu hapo akawa anatafuta exit.

Damp ,huna akili trust me
 
Mbowe tayari ameipata message, na ule mdomo wake mchafu uliyojaa matusi hatautumia tena. Vivyo hivyo na Lissu naye tayari amejifunza na mdomo wake utakuwa free from matusi. Kwa kifupi kama ni siasa, sasa hivi Mbowe na Lissu watafanya siasa ya heshima isiyo matusi.
Jamaa hakomi, umemsikia tena jana? Pamoja na nguvu kubwa ya police kule Iringa lakini bado mwamba kaunguruma yaani. Kwa mtazamo wangu, kufungwa kwake ni kama kumempaisha zaidi kisiasa kuliko wangemuacha na makongamamo yake ya katiba, huenda watu wangechoka kumsikiliza those days, sasa hivi ndio hivyo tena. Infact tukubaliane tu, wale waliotengeneza kesi hadi kumfanya akamatwe hawakufikiria vizuri, wana uwezo mdogo mno wa kutafsiri athari za maamuzi yao, bahati mbaya ndio hao hao sasa ndio wanatuamlia kila kitu, very sad
 
Mimi nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kuwa Mbowe hakupanga hayo,naamini kabisa Mbowe na wenzake akina Lisu na Lema na wengine walipanga na ndio maana akina Lisu na Lema wanasita kurudi,hawaamini Kama kweli wataachwa bila kushitakiwa,fikra zangu Mbowe kilichomsaidia ni kufunguliwa kwa mashekh waliokuwa na kesi za ugaidi ,hivyo Kama wao wameachiwa asingebaki Mbowe na upande wa Pili wakakubali wangehisi Raisi anaubaguzi wa kidini ,hivyo ilibidi utengenezwe mpango wa viongozi wote wa dini kujifanya kumuombea msamaha ili aachiwe,ndo maana RC wenye akili nyingi walimtuma padri tu kwani walijua Nia ni nini,hizi ndo hisia zangu Sasa .Ila Mbowe alipanga kutenda na hakusingiziwa hata kidogo
 
Mimi nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kuwa Mbowe hakupanga hayo,naamini kabisa Mbowe na wenzake akina Lisu na Lema na wengine walipanga na ndio maana akina Lisu na Lema wanasita kurudi,hawaamini Kama kweli wataachwa bila kushitakiwa,fikra zangu Mbowe kilichomsaidia ni kufunguliwa kwa mashekh waliokuwa na kesi za ugaidi ,hivyo Kama wao wameachiwa asingebaki Mbowe na upande wa Pili wakakubali wangehisi Raisi anaubaguzi wa kidini ,hivyo ilibidi utengenezwe mpango wa viongozi wote wa dini kujifanya kumuombea msamaha ili aachiwe,ndo maana RC wenye akili nyingi walimtuma padri tu kwani walijua Nia ni nini,hizi ndo hisia zangu Sasa .Ila Mbowe alipanga kutenda na hakusingiziwa hata kidogo
Mkuu ulifuatilia kesi lkn? Mimi kwa maelezo ya sirro niliamini kwamba ni kweli
Lkn baada ya kufuatialia nikagundua kwamba Kama ni kweli Mbowe alipanga hayo basi jeshi letu la polisi hawapo makini kwenye kukusanya ushahidi
 
Hiyo kesi lilikiwa ndo bomu la mwisho KWA Chadema na upinzani Tanzania hii,imagine JPM angekuwepo na hiyo kesi ipo Mahakamani!!!!!Kosa la Samia alitaka kutumia nguvu kuzuia wimbi la kudai katiba, bila tafakari ya kina kuhusu hatma ya kesi hiyo.
 
Mimi nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kuwa Mbowe hakupanga hayo,naamini kabisa Mbowe na wenzake akina Lisu na Lema na wengine walipanga na ndio maana akina Lisu na Lema wanasita kurudi,hawaamini Kama kweli wataachwa bila kushitakiwa,fikra zangu Mbowe kilichomsaidia ni kufunguliwa kwa mashekh waliokuwa na kesi za ugaidi ,hivyo Kama wao wameachiwa asingebaki Mbowe na upande wa Pili wakakubali wangehisi Raisi anaubaguzi wa kidini ,hivyo ilibidi utengenezwe mpango wa viongozi wote wa dini kujifanya kumuombea msamaha ili aachiwe,ndo maana RC wenye akili nyingi walimtuma padri tu kwani walijua Nia ni nini,hizi ndo hisia zangu Sasa .Ila Mbowe alipanga kutenda na hakusingiziwa hata kidogo
Mimi naamini watu kama ninyi ndio mlimsaidia kupanga mipango ya gaidi lakini makingia mitini na kumuacha Kingai akitaka kuhara mahakamani.
Mbona hamkwenda kumsaidia Kingai ushahidi?
 
Back
Top Bottom