Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,807
- 218,456
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba ule mpango haramu wa serikali ya Tanzania, wa kuwatisha watetezi wa rasilimali za Nchi unaanza rasmi leo, ambako kesi ya kumvua Uwakili Boniface Kajunjumele Mwabukusi ambaye kwa kabila ni Mnyakyusa, inaendelea muda huu kwenye Mahakama Kuu kitengo cha Ardhi.
Jambo la kufurahisha ni kundi kubwa la Mawakili waliojitokeza kumtetea wakiongozwa na Mkongwe Mpale Mpoki.
#UPDATE: FRIENDS OF JUSTICE
...
Baadhi ya Mawakili Wa Utetezi Kumtetea Wakili Msomi @Mwabuk2Boniface Katika Shauri la KUONDOA Uwakili wake wamefika Mahakama Kuu, Dar es salaam, Kanda ya Ardhi ambapo Kesi yake itaanza Kusikilizwa Leo.
...
Jopo la Mawakili Tisa(9) Wakiongozwa na Wakili Msomi Mpale Mpoki wameshaingia Chamber Kwa ajili ya Mchuano wa Kisheria dhidi ya Mashtaka ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali yenye lengo la Kumuondolea Uwakili, Msomi @boniface_a_k_mwabukusi
...
Kuweka Rekodi sawa kuhusu Mawakili waliofika Mpaka sasa ni: Wakili: Mpale Mpoki @mpalempoki Mwenyewe, Wakili, Dr. Rugemeleza Nshala akiwakilisha Chama cha WANASHERIA @tanganyikalawsociety, Wakili Philip Mwakilima, Wakili @chengula.emmanuel , Wakili @titomagoti, Wakili Edson Kilato, Wakili Dickson Matata na wengine Kuungana na Jopo soon
...
Ikumbukwe hili ni Tishio lingine dhidi ya Mawakili Nchini Tanzania, Kuna majaribio kadhaa yametokea na yanaendelea kutokea dhidi ya Mawakili wanaoonekana wanakosoa Serikali. Ni Muhimu kwa Chama cha WANASHERIA Tanzania Kuanza hatua za kujihami na kuhami Mawakili wake maana Utamaduni huu hauna Afya katika Taaluma ya Sheria
...
Let's show solidarity against Injustices na ni Rai yangu kwa Mawakili kuamka na Kutengeneza standards dhidi ya matishio aina hii✍️
Jambo la kufurahisha ni kundi kubwa la Mawakili waliojitokeza kumtetea wakiongozwa na Mkongwe Mpale Mpoki.
#UPDATE: FRIENDS OF JUSTICE
...
Baadhi ya Mawakili Wa Utetezi Kumtetea Wakili Msomi @Mwabuk2Boniface Katika Shauri la KUONDOA Uwakili wake wamefika Mahakama Kuu, Dar es salaam, Kanda ya Ardhi ambapo Kesi yake itaanza Kusikilizwa Leo.
...
Jopo la Mawakili Tisa(9) Wakiongozwa na Wakili Msomi Mpale Mpoki wameshaingia Chamber Kwa ajili ya Mchuano wa Kisheria dhidi ya Mashtaka ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali yenye lengo la Kumuondolea Uwakili, Msomi @boniface_a_k_mwabukusi
...
Kuweka Rekodi sawa kuhusu Mawakili waliofika Mpaka sasa ni: Wakili: Mpale Mpoki @mpalempoki Mwenyewe, Wakili, Dr. Rugemeleza Nshala akiwakilisha Chama cha WANASHERIA @tanganyikalawsociety, Wakili Philip Mwakilima, Wakili @chengula.emmanuel , Wakili @titomagoti, Wakili Edson Kilato, Wakili Dickson Matata na wengine Kuungana na Jopo soon
...
Ikumbukwe hili ni Tishio lingine dhidi ya Mawakili Nchini Tanzania, Kuna majaribio kadhaa yametokea na yanaendelea kutokea dhidi ya Mawakili wanaoonekana wanakosoa Serikali. Ni Muhimu kwa Chama cha WANASHERIA Tanzania Kuanza hatua za kujihami na kuhami Mawakili wake maana Utamaduni huu hauna Afya katika Taaluma ya Sheria
...
Let's show solidarity against Injustices na ni Rai yangu kwa Mawakili kuamka na Kutengeneza standards dhidi ya matishio aina hii✍️