Kesi ya Agnes Doris Liundi - Nini hasa kilitokea?


Katika kuamua kesi kuna majaji wa aina mbili, Bold Spirits and Timorous Souls. Bold Spirit ni

wale majasiri. Hawa wanakuwa tayari kutafsiri sheria katika namna ambayo haki inatendeka. Hii

ina maana kama sheria haiko sawa au inaleta 'undesired results' which are against justice, yeye

atatafsiri katika namna inatakayo leta haki. Ni kama vile anatunga sheria mpya! Alikuwepo Lord

Denning wa uingereza na hapa Tanzania kina Mwalusanya na Lugakingira wamekuwa na mfano

huo (Rejea kesi za Mtikila, kesi za wafanyakazi kadhaa waliofukuzwa kazi for 'public interest',

Kesi ya Daudi Pete(on Bail) nk!

Timorous Soul hawa ni wale wanaofuata sheria kama ilivyo. Hata kama it will lead to so

unreasonable and absurd results.

Utagundua hawa majaji wetu wamekuwa waoga kuleta mabadiliko katika sheria. Mfano ni Justice

Bahati ambaye unaona anaonesha kuwa nchi nyingine wamefuata mtindo huo lakini yeye

anaamua kutokufuata! Ni kama vile anaogopa!

Sina kumbukumbu kama Bunge letu limebadilisha hilo, lakini kwa Sheria ya Makosa ya Jinai

(Penal Code Cap 16) ambayo ni current version, mabadiliko hayo hayapo. Hivyo ndo kusema,

bado sheria hiyo haijaingizwa hapa Tanzania. Si rahisi sana kwa serikali kufanya marekebisho

yenyewe maana 'ilishinda' kwenye kesi hiyo. Njia nzuri ni kwa Mahakama kutamka kuwa sheria

hiyo inatumika Tanzania (na hivyo bunge kuiweka katika vitabu vya sheria) au Law Reform

Commission kupendekeza mabadiliko hayo!
Ronn M nakushukuru kwa ufafanuzi wako........... Binafsi napenda sana style ya uendeshaji wa kesi wa nchini Marekani, wao wanatumia Jury na nimeona wametoa mchango mkubwa katika uendeshaji wa kesi nchini humo. Nilichogundua ni kwamba hiyo jury wakati mwingine inaundwa na watu kutoka kada mbalimbali kulingana na mazingira ya kesi yenyewe.......... sina uhakika sana kama ni lazima wawe na taaluma ya sheria......... labda nikupe mfano wa Kesi maarufu nchini humo (bado naifanyia kazi, huenda nikaiweka humu hapo baadae). nazungumzia kesi ya OJ Simpson......... Hebu ona sifa za hiyo timu iliyounda jury hapa chini:

[SIZE=+2]Profiles: Who are the O.J. Simpson jurors? [/SIZE]

Jurors

  • 28-year-old married black woman, works for the post office, high school graduate; said as a young child, she watched her father beat her mother and "as an adult I don't go for any man being abusive to me''; said she wasn't familiar with DNA; was "shocked'' to hear Simpson was a suspect.
  • 24-year-old single black woman, works at a Los Angeles hospital, one year of college; said she has had no experience with domestic violence; said of both sides in the case: "Everybody has a lot to lose or gain.''
  • 50-year-old divorced black woman who works as a county collections vendor, two years of college; said she "respects (Simpson) as an individual based on his past accomplishments.''
  • 32-year-old single Hispanic man, delivers Pepsi, high school graduate; said Simpson was "a great football player.''
  • 37-year-old married black woman, works in a post office, high school graduate; said she doesn't think Simpson "acts too well'' in movies and described the freeway pursuit that ended in Simpson's arrest as "stupid.''
  • 38-year-old single black woman, environmental health specialist whose father was a police officer, college graduate; said the 911 tapes of Nicole Brown Simpson calling for police help as Simpson broke through her door in October 1993 "sound frightening.''
  • 52-year-old divorced black woman, postal worker, high school graduate; described Simpson as "only human.''
  • 22-year-old single white woman who handles insurance claims, college graduate; said she was shocked when she heard Simpson was a suspect.
  • 43-year-old married black man who works as a phone company salesman, high school graduate; said he thought Simpson was a good football player; alternate juror until Jan. 18.
  • 60-year-old divorced white woman who is a retired gas company clerk, one year of college; said she was the lone holdout in another murder case and managed to get other jurors to change their minds; alternate juror until March 17.
  • 44-year-old single black woman who fixes computers and printers for county Superior Court, high school graduate; said Ms. Simpson "wasn't a saint''; had no opinion about whether Simpson is innocent or guilty; said in jury selection, "If I'm not picked, I can look at it and say, they let a good one go;'' alternate juror until April 5.
  • 71-year-old married black woman, retired cleaning worker, completed 10th grade; said of the case: "I haven't come to no conclusion one way or the other. ... I don't know nothing about no O.J. Simpson;'' alternate juror until May 26.
 
Tukio lenyewe lilitokea hapo majira ya asubuhi mnamo Februari 21, 1978. Ni baada ya kuambiwa mumewe wakati anaenda kazini kwamba akirudi asimkute hapo nyumbani, na kama akimkuta, atamtoa hapo nyumbani kwake uchi. Alikuwa na watoto wao wanne hapo nyumbani. Baada ya mumewe kuondoka, na yeye aliondoka na gari kuelekea mjini ambapo alinunua chupa kadhaa za sumu ya kuulia wadudu.

 
Duh!! Sad Story.....!!! Kwahiyo ina maana Master T alitokea kwenye tundu la sindano?!
 
Kiganyi uwe mstaarabu..............hii kesi ilishaletwa hapa na Mtambuzi katika Jukwaa la Mahusiano Ijumaa iliyopita, ingekuwa vyema ukachangia kule na kuongezea ulichoona kimepungua............uwe mstaarabu
 
Hii in toba iliyoleta mauti na maafa. Very sad story! Kwa mwanadamu ukitubu ndio kesi inaanza kwa Mungu ukitubu basi na promotion inafuata. Mfikirie Daudi ...
Huyu ndo mzee Liundi aliyemnyanyasa Lyatonga Mrema na vyama vya upinzani wakati akiwa msajili wa vyama vya siasa ...
Asante kwako Kiganyi
 
Nataka Kumuongelea Taji. Naamini mpaka ukubwa wake huu, anafahamu ndani nje ya suala hili. Pongezi kwake kwani hajaruhusu suala hili liwe kizingiti katika maisha yake, the way I see it! Ni ngumu, chungu and you do not wish for that! Pole Taji.
 
Dah mtambuzi umenikumbusha mbali, mama ashawai kutuhadithia hii kitu as alikuwa anamjua doris kipindi hicho wanakaa sea view miaka ya nyuma, nakumbuka taji alikuwa ana host miss tanzania b mkubwa alivyomwona akaanza kutueleza his family background na kwa nini taji amekuwa smart sana kwenye mambo yake, amepitia kipindi kigumu sana as alishuhudia wakati ndugu zake wanafariki. Sema doris alikuja kuwa kama kachanganyikiwa hata baada ya kuachiwa huru. Labda miaka ya karibuni ndo karud normal
 
Hii in toba iliyoleta mauti na maafa. Very sad story! Kwa mwanadamu ukitubu ndio kesi inaanza kwa Mungu ukitubu basi na promotion inafuata. Mfikirie Daudi ...
Huyu ndo mzee Liundi aliyemnyanyasa Lyatonga Mrema na vyama vya upinzani wakati akiwa msajili wa vyama vya siasa ...
Asante kwako Kiganyi

Ndiye huyo huyo, na yeye alikuja kunyanyasika alipoondoka kwenye usajili wa vyama a kuja kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM walipigwa chini vibaya sana yeye na marehemu Bruno Mpangala wa OTTU.
 
Haya ni Ijumaa nyingine tena wasomaji wa JF,kutokea hapa hapa nchini miaka ya mwishoni mwa 1970. msome na kuweka maoani yenu...........

Aiseeeh, hii kitu inasikitisha sana & ahsante sana Mtambuzi kwa hili manake kuja jamaa yangu mmoja ambaye alishawahi kunipa kiduchu khsiana na maisha ya mtangazaji Taji Liundi, na unajua nini Mtambuzi? hawa Bongo movie wangelikuwa na wao ni magreat thinkers wangelitoka na bonge moja la filamu toka ktk hii story!
 
Last edited by a moderator:
Inashauriwa tujitahidi kufuatilia maisha yetu ya huko nyuma toka hujazaliwa, makuzi yako, matatizo mbalimbali tuliyopitia na kadhalika. Kumbukumbu hizi hubaki ndani na matokeo ni kwamba tunapata maumivu ya ndani japo hatuwezi kuyaona au kuyasikia.

Ukiipata histotoria ya maisha yako nenda kwa ajili ya ushauri. Kwa wakristo wanaweza kwenda kanisani. Ukipata ushauri wa kutoka kwa mabingwa kwa mashauri haya utapona na dhamira yako itafunguka. Tusibaki na machungu kwa muda mrefu kwani yakilundikana unaweza kuamua kufanya kama alivyofany Doris.
 
Kwa waliokuwa wameishapevuka kiakili wakati huo watakumbuka kuwa kesi hii ilivuma sana, na kutikisa anga za kisheria na uchambuzi mahiri kwenye mahakama kuu. Hata hivyo ni kweli yule mama baada ya miaka kadhaa alipata msamaha wa Raisi hivyo kuepuka kitanzi. Kumbukumbu zinadai katika utawala wa mwalimu wa miaka 25 aliidhinisha hukumu 2 tuu za kifo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom