Kottler Masoko
Senior Member
- May 28, 2010
- 193
- 28
Wadau wanasheria, mdogo wangu ana kesi mahakama ya kinondoni na yupo nje kwa dhamana, siku za karibuni ameugua na akashindwa kuhudhuria mara mbili mahakamani na alimtuma mdhamini wake aende kutoa taarifa. leo imekuja summons ikitaka wadhamini waende na mtuhumiwa mahakamani, na summons imeandikwa kwamba dhamana itafutwa sababu mtuhumiwa hajatokea mara mbili mahakamani.
Tafadhali naomba kupata msaada kujua; Je dhamana inafutwa kwa utaratibu gani?
Tafadhali naomba kupata msaada kujua; Je dhamana inafutwa kwa utaratibu gani?