Kero zilipaswa kutatuliwa na sekta husika, siyo mwenezi

Los santos

JF-Expert Member
Jan 14, 2021
976
2,059
Ziara za mwenezi zinadhihirisha kwamba uongozi wao wa miaka yote hiyo ni wa hovyo kwa kiwango cha juu mno.

Katika nchi yenye historia pana kama yetu, na mihimili mitatu iliyogharamiwa kwa majasho na damu za walalahoi, kuja kumtegemea mwenezi wa chama kimoja kati ya 18 vilivyopo haijakaa sawa.

Kero zilipaswa kutatuliwa na sekta husika, siyo mwenezi. Yani wanaunda matatizo wenyewe na wanakuja wenyewe kuyatatua.

Mi nadhani mfumo ubadilike aisee wa kupata watu ambao ni loyal kwa taifa na sio lazima wawe affiliated na chama,naona vetting ya viongozi ikiwa seriously taken kiongozi Bora atatoka popote ,Kinachoendelea kinaaibisha taifa, kinainufaisha ccm

Mataifa yanafanya jitihada kubwa za kukwamua hali za watu wao kwa kuboresha mazingira ya kuishi na kufanyia biashara lakini sisi tunateua mtu wa kuvuruga wengine na kumpa access ya kusafisha nyota yake. We are starved of visionary leaders,

Leo Nitakuwa nasoma comments tu
FB_IMG_1707410883249.jpg
 
Ziara za mwenezi zinadhihirisha kwamba uongozi wao wa miaka yote hiyo ni wa hovyo kwa kiwango cha juu mno.

Katika nchi yenye historia pana kama yetu, na mihimili mitatu iliyogharamiwa kwa majasho na damu za walalahoi, kuja kumtegemea mwenezi wa chama kimoja kati ya 18 vilivyopo haijakaa sawa.

Kero zilipaswa kutatuliwa na sekta husika, siyo mwenezi.
Yani wanaunda matatizo wenyewe na wanakuja wenyewe kuyatatua.

Mi nadhani mfumo ubadilike aisee wa kupata watu ambao ni loyal kwa taifa na sio lazima wawe affiliated na chama,naona vetting ya viongozi ikiwa seriously taken kiongozi Bora atatoka popote ,Kinachoendelea kinaaibisha taifa, kinainufaisha ccm

Mataifa yanafanya jitihada kubwa za kukwamua hali za watu wao kwa kuboresha mazingira ya kuishi na kufanyia biashara lakini sisi tunateua mtu wa kuvuruga wengine na kumpa access ya kusafisha nyota yake. We are starved of visionary leaders,

Leo Nitakuwa nasoma comments tuView attachment 2899282
Tatizo la watanzania wengi ni kusema ''mfumo ubadilike'' halafu wanakaa kimya nyumbani bila kuchukuwa hatua. Mfumo umeundwa na watu wanaofaidi, hauwezi kubadilika wenyewe na wala wao hawatataka kuubadilisha. Inatakiwa wananchi kwa umoja wetu tutoke na kudai mabadiliko. Jiungeni kwenye maandamano kama mnataka mfumo uwasikie. Mtu mmoja mpumbavu kama huyu Bashite anafanya watu wazima na akili zao wa-act kama vichaa kwa kumuogopa! Sijawahi kuona nchi yenye majuha kama yetu.
 
Tatizo la watanzania wengi ni kusema ''mfumo ubadilike'' halafu wanakaa kimya nyumbani bila kuchukuwa hatua. Mfumo umeundwa na watu wanaofaidi, hauwezi kubadilika wenyewe na wala wao hawatataka kuubadilisha. Inatakiwa wananchi kwa umoja wetu tutoke na kudai mabadiliko. Jiungeni kwenye maandamano kama mnataka mfumo uwasikie. Mtu mmoja mpumbavu kama huyu Bashite anafanya watu wazima na akili zao wa-act kama vichaa kwa kumuogopa! Sijawahi kuona nchi yenye majuha kama yetu.
Uko sahihi kbsa aisee

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Ziara za mwenezi zinadhihirisha kwamba uongozi wao wa miaka yote hiyo ni wa hovyo kwa kiwango cha juu mno.

Katika nchi yenye historia pana kama yetu, na mihimili mitatu iliyogharamiwa kwa majasho na damu za walalahoi, kuja kumtegemea mwenezi wa chama kimoja kati ya 18 vilivyopo haijakaa sawa.

Kero zilipaswa kutatuliwa na sekta husika, siyo mwenezi.
Yani wanaunda matatizo wenyewe na wanakuja wenyewe kuyatatua.

Mi nadhani mfumo ubadilike aisee wa kupata watu ambao ni loyal kwa taifa na sio lazima wawe affiliated na chama,naona vetting ya viongozi ikiwa seriously taken kiongozi Bora atatoka popote ,Kinachoendelea kinaaibisha taifa, kinainufaisha ccm

Mataifa yanafanya jitihada kubwa za kukwamua hali za watu wao kwa kuboresha mazingira ya kuishi na kufanyia biashara lakini sisi tunateua mtu wa kuvuruga wengine na kumpa access ya kusafisha nyota yake. We are starved of visionary leaders,

Leo Nitakuwa nasoma comments tuView attachment 2899282
Kwani ni kero ipi ameitatua? Makonda anaitia aibu nchi yetu. Mi namwona km katuni la kipanya
 
Sasa na sekta nazo zitamwachia makonda ili ccm izidi Kupata credit kwa wananchi wasiojielewa na kati ya watu mia walioitaki haki kuoitia mahakama, atapata mmoja alietangazwa na vyombo vya habari kupitia makonda
Cjui nimeeleweka
 
Ziara za mwenezi zinadhihirisha kwamba uongozi wao wa miaka yote hiyo ni wa hovyo kwa kiwango cha juu mno.

Katika nchi yenye historia pana kama yetu, na mihimili mitatu iliyogharamiwa kwa majasho na damu za walalahoi, kuja kumtegemea mwenezi wa chama kimoja kati ya 18 vilivyopo haijakaa sawa.

Kero zilipaswa kutatuliwa na sekta husika, siyo mwenezi. Yani wanaunda matatizo wenyewe na wanakuja wenyewe kuyatatua.

Mi nadhani mfumo ubadilike aisee wa kupata watu ambao ni loyal kwa taifa na sio lazima wawe affiliated na chama,naona vetting ya viongozi ikiwa seriously taken kiongozi Bora atatoka popote ,Kinachoendelea kinaaibisha taifa, kinainufaisha ccm

Mataifa yanafanya jitihada kubwa za kukwamua hali za watu wao kwa kuboresha mazingira ya kuishi na kufanyia biashara lakini sisi tunateua mtu wa kuvuruga wengine na kumpa access ya kusafisha nyota yake. We are starved of visionary leaders,

Leo Nitakuwa nasoma comments tuView attachment 2899282
NCHI YA PWAGU NA PWAGUZI

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Ziara za mwenezi zinadhihirisha kwamba uongozi wao wa miaka yote hiyo ni wa hovyo kwa kiwango cha juu mno.

Katika nchi yenye historia pana kama yetu, na mihimili mitatu iliyogharamiwa kwa majasho na damu za walalahoi, kuja kumtegemea mwenezi wa chama kimoja kati ya 18 vilivyopo haijakaa sawa.

Kero zilipaswa kutatuliwa na sekta husika, siyo mwenezi. Yani wanaunda matatizo wenyewe na wanakuja wenyewe kuyatatua.

Mi nadhani mfumo ubadilike aisee wa kupata watu ambao ni loyal kwa taifa na sio lazima wawe affiliated na chama,naona vetting ya viongozi ikiwa seriously taken kiongozi Bora atatoka popote ,Kinachoendelea kinaaibisha taifa, kinainufaisha ccm

Mataifa yanafanya jitihada kubwa za kukwamua hali za watu wao kwa kuboresha mazingira ya kuishi na kufanyia biashara lakini sisi tunateua mtu wa kuvuruga wengine na kumpa access ya kusafisha nyota yake. We are starved of visionary leaders,

Leo Nitakuwa nasoma comments tuView attachment 2899282
Uko sahihi sana ,, kwanin sekta husika zisiwajibike?? Kuna mambo hayako sawa wanatumia mwenezi kama ngao yao
 
Ziara za mwenezi zinadhihirisha kwamba uongozi wao wa miaka yote hiyo ni wa hovyo kwa kiwango cha juu mno.

Katika nchi yenye historia pana kama yetu, na mihimili mitatu iliyogharamiwa kwa majasho na damu za walalahoi, kuja kumtegemea mwenezi wa chama kimoja kati ya 18 vilivyopo haijakaa sawa.

Kero zilipaswa kutatuliwa na sekta husika, siyo mwenezi. Yani wanaunda matatizo wenyewe na wanakuja wenyewe kuyatatua.

Mi nadhani mfumo ubadilike aisee wa kupata watu ambao ni loyal kwa taifa na sio lazima wawe affiliated na chama,naona vetting ya viongozi ikiwa seriously taken kiongozi Bora atatoka popote ,Kinachoendelea kinaaibisha taifa, kinainufaisha ccm

Mataifa yanafanya jitihada kubwa za kukwamua hali za watu wao kwa kuboresha mazingira ya kuishi na kufanyia biashara lakini sisi tunateua mtu wa kuvuruga wengine na kumpa access ya kusafisha nyota yake. We are starved of visionary leaders,

Leo Nitakuwa nasoma comments tuView attachment 2899282
Makonda afanyeje sasa?

Yeye anafanya anachofanya kama wajibu wake, tatizo lipo kwa watendaji wa Serikali kuanzia Rais mwenyewe.

Watanzania ni wapumbaf kiasi Cha kishindwa kuunganisha dot kupata chimbuko cha tatizo hili.

Watendaji wa Serikali wanatakiwa kufanya kazi zao kwa weledi na uaminifu mkubwa' ili kuboresha maisha ya watu.

Wakitenda kinyume hakuna muhali zaidi ya kuwafukuza na kuwawajibisha kisheria.

Lakini tangu Samia ashike usukani, ushasikia kumuwajibisha kigogo yoyote kwa kuchukua hatua za maana kama alizokuwa akifanya mtangulizi wake?

Sana sana ni kuwahamisha vituo vya kazi na biashara kuishia hapo.

Hii nchi ishakuwa shamba la bibi kutokana na utaratibu mbovu wa kutawala alionao Rais mwenyewe wa kucheka na wezi akidhani kufanya hivyo ni kuonesha wema kwa wananchi.

Sisi hatuoni yeyote mwingine wa kumtupia lawama zaidi ya huyo kiranja mkuu.

Tukija kwenye nguvu ya wananchi, taratibu zinavurugwa na watawala kwa kuendeleza kuziba njia halali ambazo wananchi wanaweza kuzitumia kidemokrasia kuwawajibisha viongozi wasiowataka kwa njia ya sanduku la kura.

Amendments zilizopelekwa Bungeni kufanya mabadiliko ya sheria za uchaguzi ni mizengwe mitupu, wakijua kura zikipigwa kihalali tutawang'oa kwa sababu wameinajisi nchi na kuiletea fedheha kubwa.

Makonda kafanya jambo jema sana kufichua uozo uliokuwa umefichika kuonesha udhaifu halisi uliopo katika Serikali hii kwa Sasa.

Tungoje kusubiria ni hatua gani za kiuwajibikaji ambazo naelewa haziwezi kuchukuliwa zaidi ya uhamisho za kiofisi.
 
K
Kwani ni kero ipi ameitatua? Makonda anaitia aibu nchi yetu. Mi namwona km katuli la kipanya
Kwa hiyo mkuu haupendi kusikia Serikali ilivyooza?

Unyamazifu wa kutokusikia vilio vya kero unakusaidia Nini wewe?

Hajatatua kero yoyote ndiyo, yeye kazianika na wenye kuchukua hatua si wapo?

Kama hawatachukua hatua siyo jambo la Makonda tena hilo na sisi raia tutakuwa tumeelewa vizuri sana kwamba mchawi wa nchi hii ni nani kwa jina.
 
Back
Top Bottom