Kero ya wanaosafiri mikoani na magari

Inkoskaz

JF-Expert Member
Nov 6, 2010
6,372
2,374
Humps/Bumps
Why substandard in this things?
mengine kama mlima
mengine kama vyuma vya reli.magumu hayo!
mengine marefu
mengine hayana hata alama
basi ukisafiri njia nzima ni kero,na yanawaste time kweli
kama pale wami immediate after bridge kuna tuta sasa najiuliza semitraler imetoka tanga imeload cement inabidi ianze gia upya matokeo inafail na kurudi nyuma.alama za barabarani na elimu kwa watumiaji barabara(drivers,cyclist,pedestrians) ni muhimu sio kila akigongwa mzembe mmoja basi panajengwa tuta
enyi wakazi wa mijini na kando ya bararbara magari yanaua,wafundeni wanenu kuyaogopa kama watoto wa kijijini wanavyofundwa kumuogopa mnyama mkali!
Najua magufuli na pia Mfugale(Tanroad CEO) mnapita humohumo mkienda Dodoma nk
Je matuta ni suluhisho?
Nawasilisha!
 
Mkuu umenena kunasiku nilitaka kuanzisha thread hapa kuwa barabara yenye humps nyingi kuliko zote ni ile ya kutoka Himo - Moshi Mjini, ikifuatiwa na ya kutoka Segera - Tanga kwa mtazamo wangu. Kama unatakwimu nyingine tafadhali tuwekee ili tujue nasi.
Yaani humps hizi ni kitisho kwanza ni kubwa kuliko maelezo na mengine ni kama ulivyosema zinapoteza muda, kuharibu magari n.k
 
Niliwahi kumsikia Magufuli akiagiza ziondolewe hususan za kwenye service road lakini mpaka leo sijaona juhudi zozote zinazofanyika kuhusu hivi vikwazo vya barabara. nafikiri maagizo haya yanakuwa yamekaa kisiasa sana kuliko uhalisia wake! nafikiri uwajibikaji ni tatizo ya msingi hapa Bongo! sijui tatafika lini? mungu bariki TZ
 
Mkuu umenena kunasiku nilitaka kuanzisha thread hapa kuwa barabara yenye humps nyingi kuliko zote ni ile ya kutoka Himo - Moshi Mjini, ikifuatiwa na ya kutoka Segera - Tanga kwa mtazamo wangu. Kama unatakwimu nyingine tafadhali tuwekee ili tujue nasi.
Yaani humps hizi ni kitisho kwanza ni kubwa kuliko maelezo na mengine ni kama ulivyosema zinapoteza muda, kuharibu magari n.k
Mkuu ukienda Iringa hapo mikumi utachoka,kama una manual car bas tab tup,kama ukienda Dodoma ndo usiseme hapo kongwa yameongozana kama milima ya udzungwa!
 
Niliwahi kumsikia Magufuli akiagiza ziondolewe hususan za kwenye service road lakini mpaka leo sijaona juhudi zozote zinazofanyika kuhusu hivi vikwazo vya barabara. nafikiri maagizo haya yanakuwa yamekaa kisiasa sana kuliko uhalisia wake! nafikiri uwajibikaji ni tatizo ya msingi hapa Bongo! sijui tatafika lini? mungu bariki TZ
Mkuu sijui na hao Tanroad manager wanazipasisha kwa kigezo gani?
 
Back
Top Bottom