Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,046
- 15,392
Mimi ni Mteja wa benk hii kwa muda sasa. Na pia ni mteja wa benki nyingine nchi.
Hawa CRDB wanakera sana. Receipt zao hazioneshi maandishi kabisa. Nimezunguka ATM nyingi sana tena Za mikoa tofauti zaidi ya 10 tatizo ni lilelile.
Ikumbukwe Gharama ya Receipt ni Tsh. 1000 + kwenye kila muamala unao ufanya.
Inakera sana pale unapoprint Receipt pesa inakatwa halafu maandishi hayaonekani.
Badilikeni.
Hawa CRDB wanakera sana. Receipt zao hazioneshi maandishi kabisa. Nimezunguka ATM nyingi sana tena Za mikoa tofauti zaidi ya 10 tatizo ni lilelile.
Ikumbukwe Gharama ya Receipt ni Tsh. 1000 + kwenye kila muamala unao ufanya.
Inakera sana pale unapoprint Receipt pesa inakatwa halafu maandishi hayaonekani.
Badilikeni.