Zoezi hili linaloendelea Dar limekua kero sana,,,,wahusika hawajajipanga kabisaa uwe umewahi au umechelewa,,,,,,ukifika unapaswa kuangalia majina ukutan,kwa bahat mbaya hayapo kwa mfumo wa Al-fabeti,yameandikwa kwa mkono,,,,mchakato huo unaweza ukala saa nzima,,,kisha ndo ukapange foleni sasa ya kwenda kujiandikisha,,,ukifika kwa karani kama huna baadhi ya particulars let say namba ya nyumba unarudi ulikotoka,,,,,,mfano eneo nililokatiza mimi kuna dada ambaye ni karan amemchania form mmoja wa raia kwakua hana namba ya nyumba,lakini ukiangalia sana uhamasishaji wa zoez hili si mkubwa sana kama vile wa kupiga kura,,,,,,sijui wewe ambae umejiandikisha umekumbana na kadhia gani??????