Sista Horn Kombe Masufuri
JF-Expert Member
- Sep 19, 2018
- 450
- 119
Unafanya vizuri kumwelezea .hilo nimekuachia kwa maana najua atanitusi vibaya nikimweleza mieU can't they are evangalist
A
Unafanya vizuri kumwelezea .hilo nimekuachia kwa maana najua atanitusi vibaya nikimweleza mieU can't they are evangalist
A
Nimekupenda unaniruhusu nije pm?Buses and matatus mainly play reggae music. The upcoming generation majority know hip hop and Rnb from the likes of edsheeran so there is a probability that in 20 years to come bongo flavours will be extinct in Kenya.jina la diamond limeanza kufifia hapa kenya harmonize the proud guy and the likes of ryvanny ndio wanashabikiwa sana
No boundariesNimekupenda unaniruhusu nije pm?
na wewe niambieh msanii yoyote wa gospel kenya ambaye ni maarufu Tanzania sasa hiviAnother . Hebu niambie msanii yeyote wa gospel kutoka bongo ambaye ni maarufu Kenya sasa hivi.
hujajibu swali.nasema unaweza compare na Nani wa hapa kwetu?U can't they are evangalist
A
leta battle ya msanii nthen tucompare na viewNaona kwanza nyie mnaongelelea kuhusu YouTube sana. Mnatudhihaki kwa maana hakuna mziki wowote was Kenya umefikisha 20M views. Hilo tunajua na hatuwezi bisha. Endeleeni kuringa na YouTube views but mjue hizo ni za secular tu. Sasa anza kujigamba na views za muziki wa injili .I dare you.
Huwa naangalia vipindi vya gospel kenya ila kiukweli gospel za Ke baadhi ni nzuri lakini nyinginezo zipo kama secular ..Kama wewe humjui goodluck gozbert, Angel Benard, Christina shusho, Paul clement ,joel lwaga then gospel huifuatilii (based on your own Tv stations kama citizens)Another . Hebu niambie msanii yeyote wa gospel kutoka bongo ambaye ni maarufu Kenya sasa hivi.
Kiswahili cha Mombasa na wakenya ni cha hovyo Sana, wanatuharibia kiswahili ebu angalia matamshi haya :-Kiswahili cha mombasa ambacho ni unique in it's own way
Sijaanza matusi wewe ,huku tulishasema ni banda letu la kuku,wenye kuku ndo sisi na nyie ndo kuku wenyewe tutawajibu tutakavyo na utajibiwa na yeyote tu kwanza wewe kuku mgeni inabidi tukupige kamba mguuniWewe kaa kimya. Nataka huyo mwingine anijibu maana wewe ni matusi tu umejaza kwa akili. Unless you are willing to cooperate so we can go step by step.
U can't they are evangalist
A
Another . Hebu niambie msanii yeyote wa gospel kutoka bongo ambaye ni maarufu Kenya sasa hivi.
Naona kwanza nyie mnaongelelea kuhusu YouTube sana. Mnatudhihaki kwa maana hakuna mziki wowote was Kenya umefikisha 20M views. Hilo tunajua na hatuwezi bisha. Endeleeni kuringa na YouTube views but mjue hizo ni za secular tu. Sasa anza kujigamba na views za muziki wa injili .I dare you.
Hatunaga sasa hivi sisi tunatoaga all time greatest
K.O ....... injili umesikia hapa wote wakristo
Wewe kaa kimya. Nataka huyo mwingine anijibu maana wewe ni matusi tu umejaza kwa akili. Unless you are willing to cooperate so we can go step by step.
NATUMAINI MJADALA UMEFUNGWAUnafanya vizuri kumwelezea .hilo nimekuachia kwa maana najua atanitusi vibaya nikimweleza mie
Vizuri kwa kuelewa salamu toka PRC👏👏👏👏👏👏👏 ahsante kwa kulijibu swali langu.
Hawajui kutumia lugha yenye mvuto katika uimbaji, akiimba kiswahili kilichonyooka kidogo utashangaa matamshi yanalafudhi ya kikuyu,makabila ya Kenya na akijitahidi sana kuimba basi atachanganya kiingereza ambacho hakifikishi ujumbe kwa watu wa lugha ya kiingereza au kiswahili kwakua wanachanganya lugha halisi na lugha za mitaani tena za msimu zilizojaa uhuniHahahahahahahahahaha,Kenya hamna mtu anaejua kuimba full stop
I know them all and their songs. Also I know that you don't know any Kenyan musician. Nilikuwa nataka yule wa YouTube views aliyekuwa anasema songs za Kenya ziko na 1k views which are only watched by kibera people.Huwa naangalia vipindi vya gospel kenya ila kiukweli gospel za Ke baadhi ni nzuri lakini nyinginezo zipo kama secular ..Kama wewe humjui goodluck gozbert, Angel Benard, Christina shusho, Paul clement ,joel lwaga then gospel huifuatilii (based on your own Tv stations kama citizens)
By the way kwa gospel ya Kenya labda mercy masika ndo anasikilizwa sana..yupo vizuri sana
Good at screenshots.Hebu scrshot mwema and the comments sababu najua umeacha huo wimbo kimakusudi.NATUMAINI MJADALA UMEFUNGWA
NB:Kenya mziki umewashinda hata wenzenu hapo chini wamekiriView attachment 882964View attachment 882965View attachment 882966View attachment 882967View attachment 882968View attachment 882969View attachment 882970
Kama vile unavyokijua weweKiswahili cha Mombasa na wakenya ni cha hovyo Sana, wanatuharibia kiswahili ebu angalia matamshi haya :-
Wanakulaga= kesha wanasema wanakulanga
Kukaanga = Kukaranga
Mtu =Mutu
Alafu hawa watu wanaharibu lugha sana,wanatumia lugha za mitaani sana katika kuwasiliana kwa lugha ya kiswahili na bado wanajitangaza kwamba wao ndio waswahili yaani ni shida hawa jamaa.
hakuna nilichoacha mwema una view 5.1 MGood at screenshots.Hebu scrshot mwema and the comments sababu najua umeacha huo wimbo kimakusudi.
Nani hajui kwamba mlimroga mwenzio. Ushirikina ndio mnajua sana. Hilo hatuwezi washinda. Hata sisi hatungemjua angel bila Mercyleta battle ya msanii nthen tucompare na view
huyo rose mhando alipochuja tuka mdampu kwenu .
hata mercy masika Bila angel Bernard asingesikika UKWELI NDO HUO .hata majuzi kwenye interview alikiri WAZi.
nyie hata ma true worshipper hamna yaani mpo hovyo.
Hamna yeyote. In gospel we support our own.tz hawajui wasanii wa Kenyana wewe niambieh msanii yoyote wa gospel kenya ambaye ni maarufu Tanzania sasa hivi