Kenyan PM Raila Meets David Cameron at Number10 Downing Street

kayundi2

JF-Expert Member
Feb 2, 2009
210
21
Prime Minister David Cameron has met Kenyan Prime Minister Raila Odinga this morning, his first meeting with an African leader since taking office. During the meeting the PM reassured Prime Minister Odinga of his support for “vigorous political and economic reform” in Kenya.
A Downing Street Spokesperson said:
“The Prime Minister reassured him of his commitment to the UK’s strong partnership with Kenya, and his support for vigorous political and economic reform. They discussed the importance of the France/Africa Summit next week.
The Prime Minister welcomed Kenya’s cooperation in confronting the threat of piracy off the coast of Somalia. He underlined his personal commitment, and that of his government, to the 0.7% GDP development target.
”
KenyanPM-474-300x254.jpg
PM meets Kenyan Prime Minister | Number10.gov.uk
 
si unajua that's a jaluo wants a praise right now all the Jaluos plus the whole Kenya is singing in praise
 
si unajua that's a jaluo wants a praise right now all the Jaluos plus the whole Kenya is singing in praise

You need to back the hell away from Raila and his meeting with the prime minister...mbona ina kuwasha sana...So effing what if he is a jaluo...you got a problem with jaluos? You are bigoted and tribalistic too. Get a life
Yea and you can respond to this like i know you will with vitriol. boooooo chieth!!!
 
Prime Minister David Cameron has met Kenyan Prime Minister Raila Odinga this morning, his first meeting with an African leader since taking office.
Kenyans are worrying about Tanzania as they still remember the issue of Obama and our President. I think they didnt like to see that happening again
 
Kenyans are worrying about Tanzania as they still remember the issue of Obama and our President. I think they didnt like to see that happening again

hahaha wishful thinking. Kikwete and Raila were INVITED and did NOT INVITE themselves to meet these leaders OBAMA and CAMERON.
It's all about politics and strategy...The coalition in Kenya, PEV and OCAMPO's campaing to send the perpetrators to the HAGUE and the Katiba mpya...those are the reasons for the invitation to No. 10 Downing street.

Learn to see beyond the obvious.
 
Kenyans are worrying about Tanzania as they still remember the issue of Obama and our President. I think they didnt like to see that happening again

Suala hapa sio 'Kenya worrrying about Tanzania' au Odinga kumuiga JK, hapa suala ni MASLAHI kwa pande zote mbili.

Ukiachilia Afrika ya Kusini, kenya inashika nafasi ya pili kwa idadi ya vitega uchumi vya Uingereza barani Afrika.

Waingereza, wanaichukulia Kenya kama 'hub' or 'gateway' katika masuala ya kiuchumi na usalama kwenye eneo la Afrika ya Mashariki na DRC.
Interests zao kwenye eneo hili tajiri la Afrika zinakuwa coordinated Kenya. Kwa sasa waingereza wanawategemea Wakenya katika kuwasaidia zoezi la kupambana na uharamia baharini.....ambao unaathiri maslahi ya kiuchumi.

Pamoja na yote hayo juu, jambo lingine linaloweza kuifanya Uingereza iwaweke karibu Kenya ni tishio la China kuteka maslahi ya kiuchumi ya Kenya na Afrika ya Mashariki kwa ujumla. Mahusiano ya kiuchumi kati ya Kenya na China yamekua sana hivi karibuni. Kuna concessions nyingi ambazo Wakenya wamewapatia wachina katika sekta za nishati, miundombinu etc.. Wachina nao wanaiangalia Kenya kama hub/gateway yao kwa ajili ya ku coordinate maslahi yao Afrika ya Mashariki na DRC... Kishindo hiki cha Wachina kinawaogopesha sio tu waingereza, bali Ulaya yote na Marekani... ndio maaana watafanya kila njia kuiweka karibu Kenya na kuibembeleza.

Aidha....mahusiano ya Kenya na hawa watu....hayajaelemea sana kwenye msingi wa 'master-servant' kwakuwa wenzetu msingi wa mahusiano yao sio wa kupeana misaaada "budget support"....bali ni biashara

Na mwisho....wakubwa hawa wanatambua mwakani kuna uchaguzi Kenya, nadhani wanaanza counselling mapema ya kuwataka jamaa wasirudie makosa ya uchaguzi wa mwisho uliozaa vurugu kubwa...ambao kwa kiasi uliathiri maslahi yao ya kiuchumi...
 
si unajua that's a jaluo wants a praise right now all the Jaluos plus the whole Kenya is singing in praise

Eat a d*ck you tribalistic coon, and get an effing life and put your language in order while at it...
 
Kenyans are worrying about Tanzania as they still remember the issue of Obama and our President. I think they didnt like to see that happening again

Kenya na TZ wapi na wapi? Sisi tukiwaiga si tutakuwa twarudi nyuma, nyie mwa marktime na misaada toka zile enzi za Moi kuzungusha bakuli, sie na siasa zetu mbaya twajitegemea na tuna make progress, shkuruni Mungu ame wapa amani nchini mwenyu na madini, licha ya hiyo hauwezi linganisha hizi nchi mbili... Wabongo bana.
 
Kenya na TZ wapi na wapi? Sisi tukiwaiga si tutakuwa twarudi nyuma, nyie mwa marktime na misaada toka zile enzi za Moi kuzungusha bakuli, sie na siasa zetu mbaya twajitegemea na tuna make progress, shkuruni Mungu ame wapa amani nchini mwenyu na madini, licha ya hiyo hauwezi linganisha hizi nchi mbili... Wabongo bana.

Maskini wa Kenya, ni yule hoha hahe..hata sehemu ya bustani hana. Mngekuwa matajiri mngekuwa mnategemea chakula chetu? Wenye maisha mazuri Kenya ni wachache ukilinganisha na maskini wenu. Mnakuja kuoa watanzania eti mpate kipande cha shamba, kama si umaskini ni nini? Kuweni na mechanized agric na irrigation mumwagilie majangwa yenu!

Sijaona nchi tajiri inakuwa na unemployment rate ya 40%. Kwa nini mnakuja kutafuta vibarua kwetu kama mna maisha mazuri wafuliaji nyie, ondokeni kwetu mkae na umaskini wenu huko Kibera, huruma na Dandora! Tena machinga wa Kikenya wako kibao sasa hivi, na wanauza uchi kule Tabata, nimewaona dada zako.....not even attractive..dry wood look. Kaeni na ukabila wenu, mchinjane kama kawaida yenu. hatuwataki! Kujikomba tu..
 
Maskini wa Kenya, ni yule hoha hahe..hata sehemu ya bustani hana. Mngekuwa matajiri mngekuwa mnategemea chakula chetu? Wenye maisha mazuri Kenya ni wachache ukilinganisha na maskini wenu. Mnakuja kuoa watanzania eti mpate kipande cha shamba, kama si umaskini ni nini? Kuweni na mechanized agric na irrigation mumwagilie majangwa yenu!

Sijaona nchi tajiri inakuwa na unemployment rate ya 40%. Kwa nini mnakuja kutafuta vibarua kwetu kama mna maisha mazuri wafuliaji nyie, ondokeni kwetu mkae na umaskini wenu huko Kibera, huruma na Dandora! Tena machinga wa Kikenya wako kibao sasa hivi, na wanauza uchi kule Tabata,(How do you know, kwani ulinunua? ha) nimewaona dada zako.....not even attractive..dry wood look. Kaeni na ukabila wenu, mchinjane kama kawaida yenu (Tukimaliza kuchinjana hapa kwetu, tuta vuka mpaka na kuja huko kwenu kuwachinja pia-Be careful what you wish for!). hatuwataki! Kujikomba tu..

You are bigoted and full of hate and its your energy...spending all that time hating people who don't care. Hahahaha!
 
kaaz kwel kwel,hapa huchelewi kusikia wamegombana tena na kibaki maana raila usikute kaibuka tu kujiwakilisha huko bila kushauriana na mwenzie,maana yeye raila anajiita rais aliyeibiwa urais,nyie kina smata na nyararego msituyayushe bana nyie mna njaa kali sana huko kwenu tuombeni tu ujirani mwema japo mkija tz tuwasaidie hata mihogo ya kuchemsha na kande,ubabe wenu ni hapo tu kwenye keyboard.
 
Hivi sisi waafrica tutapata akili lini, na lini tutajifunza kusema no master. Majuzi nimeona documentary moja huko Kenya mzungu kachukua ardhi in an area that's supposed to be one of those best areas for farming in the world near the equatorial line or somen like that. Halafu huyo repoter anaelezea farmine iliyotokea kenya recently anauliza kwanini wakenya wasipande chakula ktk hiyo area badala ya kumuachia mzungu apande 'maua rose'.

Yaani watu wanakufa njaa wakati kuna ardhi ambayo imepandwa maua hii akili gani jamani. Kibaya zaidi au kilicho niuzi zaidi yule repoter ku-justify at the end kwamba eti kuna economic benefit jamaa anaajiri 5,000 local people on that farm thats how huge it was. Wakati on the other side of the country people are starving, yaani nilimzabua bao kenywe TV.

Halafu sisi tunakaa hapa kujivunia kukutana na PM wa UK. Obviously he would not call an african leader out of respect but to protect their interest na Kenya, Zimbabwe and South Africa is where the interest lies because england agricultural land is located there wakati yao wanasema ya kufugia n'gombe na for their recreation.

Hizi ndio sababu wao wenzetu wanaendelea kuagiza for cheap hili waweze kulipa watu mishahara mizuri, sisi tunaletewa finished products at expensive prices only government thieves can enjoy them and we dare congratulate our leaders for being guest at these bigots (including pathetic Obama) houses.

We need to wake up honestly.
 
kaaz kwel kwel,hapa huchelewi kusikia wamegombana tena na kibaki maana raila usikute kaibuka tu kujiwakilisha huko bila kushauriana na mwenzie,maana yeye raila anajiita rais aliyeibiwa urais,nyie kina smata na nyararego msituyayushe bana nyie mna njaa kali sana huko kwenu tuombeni tu ujirani mwema japo mkija tz tuwasaidie hata mihogo ya kuchemsha na kande,ubabe wenu ni hapo tu kwenye keyboard.

I respond to you all, when you get out of line and in defense of my country...Even in that "heaven" of yours TZ, there's hunger and poverty. I would like you to show me one country in Africa that does not have hunger and poverty. Even SA that you all worship has big slums and a lot of poverty. Instead of trying to fix your problems in your country, you want to hem and haw about what your neighbour is doing. Shame on you all!

That is the reason why these debates that touch on each others countries are always going to degenerate into mudslinging and name calling. You surely do not expect Kenyans to sit back and watch and applause you while you abuse us? You have another thought coming then. What is evident is that if you all abuse my country I will surely defend her. It's like an obsession on your part.
 
Back
Top Bottom