MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,761
- 48,410
Jameni naomba mod msiutoroshe huu uzi kama mlivyofanya zile nyingine, ubaki hapa kwenye news maana hizi sio zile taarifa za kawaida, hili ni jambo muhimu sana kwa taifa letu tukufu. Sasa hivi tunaongoza dunia kwa medali kule Beijing. Wimbo wetu wa taifa unazidi kuwa mtamu, bendera yetu inapeperushwa kote, mashujaa wetu wanaonekana kwenye runinga zote dunia.
Mungu zidi kuibariki nchi yetu, zidi kuwapa nguvu na uvumilivu wananchi wake ili makubwa na ya ajabu yazidi kutokea kwetu.
Hapa hata Alshabaab wanajiangalilia wenyewe kwenye TV, kwamba hata kwa mabomu, hata kwa risasi, hata kwa chuki....huwezi kumkandamiza Mkenya, atazidi kuja tu hadi mwenyewe uchoke.
Mungu zidi kuibariki nchi yetu, zidi kuwapa nguvu na uvumilivu wananchi wake ili makubwa na ya ajabu yazidi kutokea kwetu.
Hapa hata Alshabaab wanajiangalilia wenyewe kwenye TV, kwamba hata kwa mabomu, hata kwa risasi, hata kwa chuki....huwezi kumkandamiza Mkenya, atazidi kuja tu hadi mwenyewe uchoke.