Kenya to build an International Airport at Taveta near KIA

Mkuu, usemayo ni kweli. Tunapita kwenye kipindi kigumu sana km taifa. Tumepoteza identity yetu as a nation, na viongozi wetu wanaona hiyo ni sawa tu.
Lakini mi siamini kama tutaendelea kubaki hivi milele. Utafika wakati tutatoka kwenye hali hii, tutajikomboa na kujitambua sisi ni nani. Vuguvugu hili linaloendelea sasa litaleta mabadiliko makubwa sana socially, economically, and politically.
Tatizo la wakenya ni kudhani kwamba tutaendelea kubaki hivi milele, na hivyo wanatafuta kila njia ku-take advantage. Tutakapojitambua na kuthamini chetu ndipo watakapokuja kujuta
 
By Jack Mikaili, The Guardian, Dar es Salaam, Tanzania, 15th May 2011

A diplomatic row is simmering between Tanzania and Kenya over the latter’s plan to build a state-of-the-art airport at Taveta, nearly 120km from Kilimanjaro International Airport (KIA).

Kenya’s idea to put up a $119 million plus ultra-modern airport near KIA has stiffly scared the usually calm southern neighbour Tanzania, saying the move is tantamount to sabotaging its economy.

Analysts say the Nairobi move is against the East African Community’s spirit that discourages its member states to create investments that compete, predicting that the issue is likely to create bad blood between the two pioneer EAC partner states.

The Parliamentary Standing Committee for Defence, Security and Foreign Affairs opposes the proposed Taveta airport, arguing that it will pose stiff competition to the Tanzania’s second largest airport, KIA.

The most powerful house committee under Former Prime Minister, Edward Lowassa, is totally against the airport project and is reported to have instructed the minister for EAC affairs, Samuel Sitta, to refer the matter to the EAC Council of Ministers attention.

“We are against the move by Kenyan authorities and this is not going to stop here, our minister will execute the resolution. We have KIA in Tanzania, and they plan to build yet another airport close to ours? That is sabotage,” Lowassa is on record as saying.

Word has it that should diplomatic means to stop Kenya’s plan fail, Tanzania may file a lawsuit in the East African Court of Justice (EACJ) against its partner state over the stand-off. Kenya's High Commissioner to Tanzania, Mutinda Mutiso, was quoted last year as saying that his country had a plan to build a major airport near the Holili border post in order to boost economic activities, including tourism in the area.

The facility, hardly 80km from KIA, is expected to cost over $119 million and construction was expected to start this year.

The new airport in the area will be the third because the vicinity already has two international airports; the KIA in Tanzania and Moi International Airport in the Kenyan port city of Mombasa.

Ambassador Mutiso said the new airport was likely to be located only seven km inside Kenya and a short distance from Holili (Tanzania), an important border town along the Moshi-Voi-Mombasa highway.

Also to be constructed in the area is an inland port to handle cargo traffic from the Mombasa port to the hinterland and landlocked countries in the region. Besides serving Kenya, the port handles cargo from or destined to northern Tanzania regions, especially Arusha, Kilimanjaro and Manyara regions.

Mutiso said the new airport is aimed at tapping the tourism potential of south east Kenya and north east Tanzania which are endowed with various attractive sites for the visitors.

These include Tsavo West and Amboseli game reserves in Kenya and Mt.Kilimanjaro and newly elevated Mkomazi national park in Tanzania.

"We want to see the Taveta/Holili border region fully integrated for investments and business, " he said, adding that his country would upgrade the Mombasa-Taveta railway line to attract more traffic, especially to northern Tanzania.

Other transport infrastructure in the area lined up for upgrading include the Mombasa-Lunga Lunga road to the Tanzanian border and Horohoro-Tanga section in Tanzania.

The diplomat defended the new international airport for his country, saying it would reduce the costs and inconveniences by tourists from abroad who had to change planes several times to reach the famous game sanctuaries in the area.

Aviation watchers say should the project go ahead, it is likely to impact negatively on KIA which had not been used to the optimum due to high landing and fuel charges which have resulted in less traffic than anticipated when it was constructed 41 years ago.

KIA was intended to attract more visitors to Tanzania from abroad ,especially the tourists heading to the famous national parks in the northern circuit, to land there instead of Nairobi's Jomo Kenyatta International Airport.

SOURCE: GUARDIAN ON SUNDAY
 
Haya tuwaone basi kina Lowasa watakavyo jitutumua. Kwani hii ina tofauti gani na kujenga barabara kando ya mbuga ya Serengeti, au kuchimba magadi kwenye ziwa Natron kwa sababu zile zile za kwamba Wakenya nao wanafanya hivyo upande wao?
 
bwahahaha, you almost made me spit my drink on my monitor son, youz a funny dude son, serious, youz a clown right? on a serious note, Kenya has a right to build anything within its borders and there is nothing you folks can do except complain and cry on how much you wished we werent your neighbors, its a sad look. go back to school or you will stay being played to your last generation, THIS IS CHESS NOT CHEKERS, you gettin this two confused.


Upumbavu!
 
Upumbavu!

Kila mtu ana haki ya kujenga atakacho within his countries border, Tanzania haijakatazwa na mtu yeyote kutojenga Airport nyingine inayokaribiana zaidi na Mlima Kilimanjaro, wewe ukisema mimi mpuzi unafaa kukumbuka ya kuwa kila mtu anaangalia masilahi yake binafsi si kushugulika jirani watakula wapi nikijenga nyumba kwenye shamba langu.
 
No permanent situation....... wakuwalaumu ni hawa vikongwe wanaokatalia madarani......na hili chama lao la majambazii (ccm).... but the young generation has realised the buxllshit currently happening.......and is saying no....the big no.....mpaka sasa tumefikia 45% ya kuwang'oa hawa maizi..... na lazima tuwatoe..... hili vugu vugu ni aluta continua......

Kuhusu wakenya kujenga uwanja wa ndege mpakani..... wala lisiwatie shaka.....maana wanajua kuwa eac ya sasa iliishakufa kabla ya kuanza.......
Kwa hiyo cha kufanya kuweka restriction kali kwa watalii ambao wataingia tokea kenya.........wasiingie kirahisi ili watalii wajue ya kuwa hizi ni nchi mbili tofauti.......hapo watatia akili.....maana walizoea kusema kuwa.......kili mountain iko kwao...
 
Tanzanians are like crabs in a bowl. Anyone trying to get out, others will pull him/it down. Kenyans have refused to be crabs. It is as simple as that.
You Tanzanians: continue hapily to be crabs with your super crab as a president, but don't pull others down!
 
wezentu wanafanya vitu vya mbolea kuendeleza nchi yao katk mazingira tuliyomo na yajayo. cc tunapiga domo na kutafuta protectionism...tukishindwa kwenye protections tumekwisha, tushaachwa miaka lukuki!
 
our politicians are doing funny stuff,wanaona ni sawa tu,kia penyewe saivi pamechokaaa kama nini,,,ivi v=sisi wananchi cant we do something bila hao politicians to develop ourselves?
 
Hivi na mkija kuyasikia ya kuvuta bomba la gesi toka songo songo itakuwaje? Tetesi nilizozisikia ni kuwa wakenya wako tayari kugharimia ujenzi wa bomba la gesi hadi mombasa ili waweze kuzalisha umeme. wameona potential ambayo sisi bado tunaendelea kulala kama kawaida hatuioni tunapiga bla bla.:mod:
 
Kila mtu ana haki ya kujenga atakacho within his countries border, Tanzania haijakatazwa na mtu yeyote kutojenga Airport nyingine inayokaribiana zaidi na Mlima Kilimanjaro, wewe ukisema mimi mpuzi unafaa kukumbuka ya kuwa kila mtu anaangalia masilahi yake binafsi si kushugulika jirani watakula wapi nikijenga nyumba kwenye shamba langu.

This about summarises the whole debate. A wakeup call to Tanzanians.

Dear Tanzanians, Stop being naive, naive, naive ... join the mapambano
1. . Start by making sure that you build the road through Northern Serengeti, to serve watalii better but also to open up Samunge at its environs ... last time I found half the ques of about three kms were Kenyans. So you see, opportunities are many ...
2. Tujenge Hoteli nzuri, za kisasa huko Serengeti, Watalii wakija wakae humo kwa muda. By the time wanaondoka wawe wametumia za kututosha, au wameishiwa, kama wataamua kupandia ndege Taveta kurudi kwao sawa tu......
3. .....
4. ....
5. ....

Lets talk less, JUST DO IT, whereve you are ...
 
Kila mtu ana haki ya kujenga atakacho within his countries border, Tanzania haijakatazwa na mtu yeyote kutojenga Airport nyingine inayokaribiana zaidi na Mlima Kilimanjaro, wewe ukisema mimi mpuzi unafaa kukumbuka ya kuwa kila mtu anaangalia masilahi yake binafsi si kushugulika jirani watakula wapi nikijenga nyumba kwenye shamba langu.
Watz kawaida yao kupiga domo.....watalia sana uku tunasonga mbele......nyie watz fanyeni kazi acheni kulia kulia kama mnataka jengeni na nyie pale mtukula
 
BREAKING NEWS: Tanzania to build international airport in Tanga, modernise the port

The source said the move was in response to Kenya's decision to build an ultra airport close to Tanzania's tourism belt. The source also said, Tanzania government has asked China to modernise Tanga harbour to rival or outshine that of Mombasa. The Chinese company, Xiaohua, that has been given the contracts said, they will complete the work in time before the 2015 Tanzania's general elections.

Source: Xinhua
 
Aisee nadhani sio muda wa kurumbana kama wao wanajenga uwanja pale Holili ni wakati wa sisi nasi kuboresha viwanja vyetu lkn nchi hii mimi sijui viongozi wanafikiria nini mfano ule uwanja wa Mbeya naambiwa nimkubwa kweli kweli lkn hatujui utaisha lini, wacha jamaa watufundishe namna ya kutafuta pesa kwani tumelala sana (viongozi we2 wamelala sana), hakuna mzalendo katika safu ya uongozi watu wanachumia mifukoni. Wale jamaa wanatengeneza pesa kwani wageni wanaland JKI na wanalipa transit fee, bado watalala NBO na then next day ndo wanaletwa Namanga Border, je wako wangapi wanapokea wageni wangapi ambao shida yao ni kuje Tz na si Kenya ila wanalazimika kupitia NBO kwa sababu ya unafuu wa airfare? Tatizo ni maslahi binafsi ya viongozi kwani walishauriwa na TTB kupunguza landing fees na fuel surcharge hawataki nadhani wanapata commission kila makusanyo.
Pole Watz na Hongereni Wakenya kwa usharp.
 
Kwanza nawasifu wakenya kwa kazi hiyo nzuri ya ujenzi wa airport.kwani wanajenga sio ndani ya mbuga zao kama walivyo viongozi wetu vipofu,ambao wanajenga mahotel ndani ya mbuga na kuwakimbiza wanyama.nimeshuhudia nilipoenda ngorongoro crator.kuna sehemu ilikuwa ndio njia ya wanyama kwenda chini [ngorongoro].basi kuna viongozi wapofu sana walitumia madaraka yao na kujenga hotel.sasa nilipoenda mara ya pili sikuona wanyama wanapita tena ile sehemu.kwa nini tunawasumbua hawa wanyama.?sasa nakuambieni ile serengeti itakuwa city sio muda mrefu.nimeongea sana ili jambo ,huu mwaka wa nne wapi/narudi kwenye point,wakenya wamesaidia sana kukuza uchumi wetu wa tanzania.kwa sababu tanzania hatuna viongozi na watu wanaotazama mbele.sasa hivi utakubaliana na mimi ,kwani rais wa nchi anatetea ujenzi wa barabara ndani ya "paradise'.hii ndio paradise iliyobakia.watu wenye akili tulipiga kelele.lakini watu na destructive economist walisema jenga itasaidia kukuza uchumi?????????????,how,is it sustanable economy?.this is short term profit project.wakenya naomba mtusaidie endeleeni ,kufanya vitu vyenye busara,sisi huku watu wanavaa wanakwenda kazini kusma magazeti tu na kurudi nyumbani.mungu ibariki tanzania.
 
KIA is closer to Kilimanjaro, Serengeti and other tourist attraction found in Arusha as compared to Taveta.... Politics is killing as these days, people of Arusha and kilimanjaro have made a choice of voting for Chadema.
Has long as CCM will be in power it will never reallocate its resources in these region neither to attract investor to invest infrastructures which inturn will attract tourist. They dont care of huge tax revenues our country is loosing.
 
mtu mmoja tajiri alijipanga kwenda safari. Akaita watumishi wake waili. Akawapa kila mmoja talanta tano (fedha). Baada ya muda mrefu alirudi toka safarini. Akawaita wale watumishi, akawauliza, kulikoni. Yule mmoja akamwambia bwana mkubwa wake; 'bwana, nimefanya biashara na ule mtaji ulionipa. Hizi hapa ni sehemu ya faida nilitopata. Akampa yule bwana mkubwa talanta kumi. Yule bwana akamshukuru sana kwa juhudi zake. Yule wa pili akamwambia bwana mkubwa; 'najua wewe ulivyo mkali. Niliogopa kuzigusa, nikazifukia chini, sasa nimezifukua nilipojua umerudi. Ziko hapa talanta zako tano'. Yule bwana mkubwa akamtukana akamwambia ni mjinga, akazichukua zile talanta tano akampa yule mtumishi wa kwanza.

Talanta alizotupa Mwenyezi Mungu tumezitumiaje sisi????? Acha hao walio wajanja wafaidike, na sasa unaona hata zile tulizopewa tunanyang'anywa. Utasikia::: 'njoo kenya uone Kilimanjaro'; matangazo yanasema Kilimanjaro iko Kenya; njoo Kenya uone serengeti, manyara, ngorongoro; n.k, n.k.

Kwa nini mwenyezi Mungu asitutupilie mbali kwa ujinga wa wanaotuongoza, na hiyo mali awape wengine??

Ole wetu. Ole kwa wanaotuongoza. Tutafika mbele ya hukumu, kutakuwa kilio na kusaga meno.

Kwa mtaji huu, nani anasema 'Kilimanjaro' haiko Kenya ?????
 
Kwakuwa wenzetu wana intelijensia inayosimamia uchumi wana maono yakuwa na airport, lakini kwakuwa sisi tuna intelijensia ya kusimamia na kulinda chama na mafisadi wake tuna maono ya kuuza nchi yetu, kwakifupi ukombozi ni kupitia kuing'oa ccm na kubadili katiba, watanzania amkeni kabla mambo hayajaharibika.
 
Kwanza nawasifu wakenya kwa kazi hiyo nzuri ya ujenzi wa airport.kwani wanajenga sio ndani ya mbuga zao kama walivyo viongozi wetu vipofu,ambao wanajenga mahotel ndani ya mbuga na kuwakimbiza wanyama.nimeshuhudia nilipoenda ngorongoro crator.kuna sehemu ilikuwa ndio njia ya wanyama kwenda chini [ngorongoro].basi kuna viongozi wapofu sana walitumia madaraka yao na kujenga hotel.sasa nilipoenda mara ya pili sikuona wanyama wanapita tena ile sehemu.kwa nini tunawasumbua hawa wanyama.?sasa nakuambieni ile serengeti itakuwa city sio muda mrefu.nimeongea sana ili jambo ,huu mwaka wa nne wapi/narudi kwenye point,wakenya wamesaidia sana kukuza uchumi wetu wa tanzania.kwa sababu tanzania hatuna viongozi na watu wanaotazama mbele.sasa hivi utakubaliana na mimi ,kwani rais wa nchi anatetea ujenzi wa barabara ndani ya "paradise'.hii ndio paradise iliyobakia.watu wenye akili tulipiga kelele.lakini watu na destructive economist walisema jenga itasaidia kukuza uchumi?????????????,how,is it sustanable economy?.this is short term profit project.wakenya naomba mtusaidie endeleeni ,kufanya vitu vyenye busara,sisi huku watu wanavaa wanakwenda kazini kusma magazeti tu na kurudi nyumbani.mungu ibariki tanzania.


Bwana mazingira, yawezekana kweli una hoja ila usidanganye umma wa watanzania kwamba kenya wamesaidia sana kuinua uchumi wa Tanzania hilo sio kweli hata kidogo, wenzetu hawana mchezo hata kidogo linapokuja swala kitaifa kama sisi. Kuhusu kupitisha barabara serengeti ukweli ni kwamba hata bila kuijenga tayari tunapitisha maelfu ya magari mbugani ila je tukijenga barabara na kutumia mbinu mbadala kupita eneo la wanyama ambalo halizidi km 50 haitakuwa na tija? Mathalani tukijenga tunnel eneo lote la wanyama unafikiri bado tutakuwa tumewaathiri hao wanyama, Mimi nafikiri kuna haja ya kulitazama upya swala hili.
 
Eeeh bana eeh,pongezi sana kwa sirikali ya Kenya kwa upeo mkubwa waliopewa kuongoza nchi yao na kufikiria mbele saaaaana ya miaka inayokuja kwa maendeleo ya kiuchumi.wamepiga maesabu ya maana sana wazee hao,wameona kwanini tusisogeze miundombinu karibu na hifadhi za taifa ili warahisishe watalii kufika huko waendapo.hivi hamuoni kwamba watalii pia hawapendi kula njia ndefu kufika porini?ndo muone sasa wenzetu wanavyoweza kufikiria ili kuwasogezea 'sevisi' na kuteka fedha nyingi zaidi!!FAIDINI WAKEnyA!HOYEE! Na sisi tuendelee kushangaa jinsi watalii wetu wanavyochotwa na upande wa kenya..tutafaneje sasa kama hatuna atuelekezayo kwa ufasaha?..
 
Back
Top Bottom