Kenya: Rais Magufuli anatukomoa kisiasa

DR.RWEYENDERA

JF-Expert Member
Jan 19, 2013
404
386
Wachambuzi wa Luninga, kipindi cha Powerbreakfast wamechambua sababu kwanini Magufuli hataki kwenda Kenya, wakati Rwanda na Uganda kaenda, wamezungumzia utayari wa watanzania katika miradi mbali mbali kwenye EAC na kuonekana kana kwamba watanzania hawako tayari.

Wameongelea kuhusu pipe la mafuta lilivyofanyiwa figisu na kutopita Kenya tena, wakaongelea ukwepaji wa Tanzania kusaini mkataba wa EPA, yote hayo ni kwenye video hii.

 
Hapo kwenye mkataba wa EPA hao jamaa watashangaa zaidi hasa baada ya kikao cha juzi cha EAC, kukubaliana/azimia kuwa usanishwaji wa EPA ukafikiriwe tena (this Magufuli's/Tanzania's power/ influence).
Nimecheka sana eti Mseveni anamchukulia Kenyatta kama mwanae/ mtoto tu na si Rais , hivyo Kenyatta anagwaya kumface mzee M7.
 
Wachambuzi wa luninga ,kipindi cha powerbreakfast wamechambua sababu kwanini magufuli hataki kwenda kenya, wakati Rwanda ,na Uganda kaenda , wamezungumzia utiyari wa watanzania katika miradi mbali mbali kwenye EAC na kuonekana kama kwamba watanzania hawako tiyari
Wameongelea kuhusu pipe la mafuta lilivyofanyiwa figisu na kutopita kenya tena, wakaongelea ukwepaji wa Tanzania kusaini mkataba wa EPA,
yote hayo ni kwenye video hii
Asante sana Dr. Rweyendera kwa video ya mjadala huu ni very informative! .
Kuna sehemu wametusema vibaya, kuna sehemu wamemsema Magufuli vibaya! , na kuna sehemu wametusema vizuri na kiukweli nimejisikia raha sana Mwalimu Nyerere alipozungumzwa kwa msimamo hivyo kufananishwa na Magufuli! .

Kitu ambacho Sijakipenda kabisa katika mjadala huu ni kitendo cha kumsakama sana rais Magufuli kutohudhuria mkutano wao without any mention ya uwepo Makamo wa rais wa Tanzania aliyemwakilisha rais Magufuli! . Hawa wa Kenya wanamaanisha Mhe. Samia Suluhu Hassan is nobody worth mentioned! . Angekuwa ni male angetajwa!. Wabaguzi wakubwa hawa! .

Pasco
 
Mimi nathani Mwl kuwaita wakenya manyan'gau hakukosea.
Pili, nashukuru na nafurahi kuona kama mh yusuf alivyongea kuwa hakuna tension yeyote kati ya Tanzania na Kenya.
Kuna baadhi ya wakenya sijui wanajiona wao kina nani. I failed to understand these people.
 
Trust me, namchukia sana Uhuru Kenyatta... namchukia Kenyatta si kwa sababu ni mtu anayestahili kuchukiwa bali namchukia kv mimi ni Mtanzania ninayeipenda nchi yangu and I'll always be there for my country. Namchukia Kenyatta kwa sababu mimi si Mkenya na Kenyatta is very smart for Kenyan interests.

Labda usahihi nilipaswa kuwa na wivu lakini kwa ujeuri na hinda inabidi tu nimchukie kv Kenyatta ndie Rais ambae Africa ya leo ndie inamuhitaji. Kenyatta ni mroho tena mroho kweli kweli! Lakini tofauti na uroho wa wenzake kama vile Museven na Kagame ambao ni waroho wa madaraka; uroho wa Kenyatta ni wa kiuchumi...

uroho wa kutaka kuifanya Kenya kuwa economic giant now and always! Hapa ndipo ninapomchukia Kenyatta cuz' he can do whatever he can to stand atop of others. The guy is smart, trust me... lile ni bebari la kuzaliwa na kurithi kwahiyo linafahamu hila zote zinazohitajika kwenye dunia ya leo!!!

Haya mambo kwamba "hao watalii wakitaka waje, wasipotaka wasije...!" kamwe hayawezi kutoka mdomoni mwa bepari zohefu na lililokubuhu kama Kenyatta... sana sana si ajabu anakesha akiomba tuzidi kukaza ili "tukasanye kodi nyingi zaidi..!"

Kenyatta sikupata kumuogopa wakati wa JK kv nilifahamu JK anafahamu namna ya ku-deal na watu aina ya Kenyatta... ndo maana wakati ule anaruka ruka na akina PK na Ushoroba wa Kaskazini wao JK alikuwa anawacheka tu; kombora moja tu... wakaanza kutafutana wenyewe!!!

Mheshimiwa Uhuru Kenyatta, popote ulipo fahamu kwamba nakuchukia... lakini nakuchukia kwa sababu tu nafsi yangu imejawa husuda!! Huwa nazidi kukuchukia kila inaponipitia taswira ya Silicon Valley au kitu kinachofanana na Silicon Valley ndani ya Nairobi endapo utapewa fursa ya kuendelea kuongoza Kenya! Hivi katika mazingira hayo, nikupende kwa lipi?!
 
Asante sana Dr. Rweyendera kwa video ya mjadala huu ni very informative! .
Kuna sehemu wametusema vibaya, kuna sehemu wamemsema Magufuli vibaya! , na kuna sehemu wametusema vizuri na kiukweli nimejisikia raha sana Mwalimu Nyerere alipozungumzwa kwa msimamo hivyo kufananishwa na Magufuli! .

Kitu ambacho Sijakipenda kabisa katika mjadala huu ni kitendo cha kumsakama sana rais Magufuli kutohudhuria mkutano wao without any mention ya uwepo Makamo wa rais wa Tanzania aliyemwakilisha rais Magufuli! . Hawa wa Kenya wanamaanisha Mhe. Samia Suluhu Hassan is nobody worth mentioned! . Angekuwa ni male angetajwa!. Wabaguzi wakubwa hawa! .

Pasco
You're being too emotional over nothing

IPTL inalipa miionib499 per day na serikali na magu ameuchuna

Tunatakiwa kuwa mpango wa kuendeleza infrastructure na namna ya kuihusisha sekta binafsi na kwa kwa nini Magufuli hataki kuihusisha sekta binafsi

Those are the real issues ma sio kuwa emotional over what Kenyans think of us
 
Manyang'au sio mamtu ya kuyaamini siku zote yanataka yapate menyewe tu!
Asante sana Dr. Rweyendera kwa video ya mjadala huu ni very informative! .
Kuna sehemu wametusema vibaya, kuna sehemu wamemsema Magufuli vibaya! , na kuna sehemu wametusema vizuri na kiukweli nimejisikia raha sana Mwalimu Nyerere alipozungumzwa kwa msimamo hivyo kufananishwa na Magufuli! .

Kitu ambacho Sijakipenda kabisa katika mjadala huu ni kitendo cha kumsakama sana rais Magufuli kutohudhuria mkutano wao without any mention ya uwepo Makamo wa rais wa Tanzania aliyemwakilisha rais Magufuli! . Hawa wa Kenya wanamaanisha Mhe. Samia Suluhu Hassan is nobody worth mentioned! . Angekuwa ni male angetajwa!. Wabaguzi wakubwa hawa! .

Pasco
 
Asante sana Dr. Rweyendera kwa video ya mjadala huu ni very informative! .
Kuna sehemu wametusema vibaya, kuna sehemu wamemsema Magufuli vibaya! , na kuna sehemu wametusema vizuri na kiukweli nimejisikia raha sana Mwalimu Nyerere alipozungumzwa kwa msimamo hivyo kufananishwa na Magufuli! .

Kitu ambacho Sijakipenda kabisa katika mjadala huu ni kitendo cha kumsakama sana rais Magufuli kutohudhuria mkutano wao without any mention ya uwepo Makamo wa rais wa Tanzania aliyemwakilisha rais Magufuli! . Hawa wa Kenya wanamaanisha Mhe. Samia Suluhu Hassan is nobody worth mentioned! . Angekuwa ni male angetajwa!. Wabaguzi wakubwa hawa! .

Pasco
Siyo Samia, ni Majaliwa Kassim Majaliwa a.k.a Mzee wa Piko.
 
Trust me, namchukia sana Uhuru Kenyatta... namchukia Kenyatta si kwa sababu ni mtu anayestahili kuchukiwa bali namchukia kv mimi ni Mtanzania ninayeipenda nchi yangu and I'll always be there for my country. Namchukia Kenyatta kwa sababu mimi si Mkenya na Kenyatta is very smart for Kenyan interests. Labda usahihi nilipaswa kuwa na wivu lakini kwa ujeuri na hinda inabidi tu nimchukie kv Kenyatta ndie Rais ambae Africa ya leo ndie inamuhitaji. Kenyatta ni mroho tena mroho kweli kweli! Lakini tofauti na uroho wa wenzake kama vile Museven na Kagame ambao ni waroho wa madaraka; uroho wa Kenyatta ni wa kiuchumi... uroho wa kutaka kuifanya Kenya kuwa economic giant now and always! Hapa ndipo ninapomchukia Kenyatta cuz' he can do whatever he can to stand atop of others. The guy is smart, trust me... lile ni bebari la kuzaliwa na kurithi kwahiyo linafahamu hila zote zinazohitajika kwenye dunia ya leo!!! Haya mambo kwamba "hao watalii wakitaka waje, wasipotaka wasije...!" kamwe hayawezi kutoka mdomoni mwa bepari zohefu na lililokubuhu kama Kenyatta... sana sana si ajabu anakesha akiomba tuzidi kukaza ili "tukasanye kodi nyingi zaidi..!"

Kenyatta sikupata kumuogopa wakati wa JK kv nilifahamu JK anafahamu namna ya ku-deal na watu aina ya Kenyatta... ndo maana wakati ule anaruka ruka na akina PK na Ushoroba wa Kaskazini wao JK alikuwa anawacheka tu; kombora moja tu... wakaanza kutafutana wenyewe!!!

Mheshimiwa Uhuru Kenyatta, popote ulipo fahamu kwamba nakuchukia... lakini nakuchukia kwa sababu tu nafsi yangu imejawa husuda!! Huwa nazidi kukuchukia kila inaponipitia taswira ya Silicon Valley au kitu kinachofanana na Silicon Valley ndani ya Nairobi endapo utapewa fursa ya kuendelea kuongoza Kenya! Hivi katika mazingira hayo, nikupende kwa lipi?!

Go to hell Mr. President!!
At the time mnagongesha glass mkidhani mmemshinda Kenyatta, yeye huwaacha muendelee kusherehekea, baada ya muda na matukio Fulani ndipo mnakuja kugundua kuwa hamkumshinda bali ni kinyume chake na tayari ameshawaacha hundreds of miles.
I real like the guy..
 
At the time mnagongesha glass mkidhani mmemshinda Kenyatta, yeye huwaacha muendelee kusherehekea, baada ya muda na matukio Fulani ndipo mnakuja kugundua kuwa hamkumshinda bali ni kinyume chake na tayari ameshawaacha hundreds of miles.
I real like the guy..
Aisee, tusitiane pressure bhana!! Kwenye sakata la bomba la mafuta kutoka Uganda nilishawaonya watendaji wetu kwamba, guys, trust me, Kenyatta hatakaa apumzike hadi siku anaona mabomba yanatandazwa ardhini na kwamba safari ya kuja Tanzania imeanza otherwise, ataendelea ku-lobby hadi siku ya mwisho! Nadhani haikupita hata wiki moja tangu nitamke vizuri mara nasikia Kenyatta kenda Ufaransa kuonana na wenye TOTAL yao na sio huyu Mwakilishi wa TOTAL East Africa... aliamua ku-lobby na mwenye mbwa na sio mbwa mwenyewe! That's Kenyatta!!! Na endapo tutadhani tumeshamaliza kazi, tutakuja kuachwa kwenye mataa kwenye dakika za majeruhi with no time to fight back!! Mbaya zaidi, hata ku-fight back kwenyewe hatuwezi... bomba kuja Tanga ilikuwa ni issue ya kuokota embe dodo kwenye mbuyu but we didn't do anything serious kuipata ile opportunity!
 
Back
Top Bottom