Kwa mujibu wa bajeti ya nchi za jumuiya ya afrika mashariki iliyosomwa bungeni hivi karibuni kwa mwaka 2012/13 nchi za kenya ma uganda zimeonyesha kupigia hatua hasa swala la utegemezi wa wazungu, kwa mfano kenya bajeti yao inajitosheleza kwa asilimia 86% na uganda kwa asilimia 76 .
Chanzo: Gazeti la Guardian la leo
Chanzo: Gazeti la Guardian la leo