JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,324
- 5,493
Kumekuwa na Wakenya wengi wanaomtembelea na wengine kumkosoa baada ya mtumishi huyo kuripoti katika vyombo vya usalama akidai waumini wake wanataka asulubiwe katika kipindi hiki cha Sikukuu ya Pasaka kama ilivyokuwa kwa Yesu
Maofisa hao walipiga picha na Yesu wa Tongaren, kitendo hicho kimepokelewa kwa mitazamo tofauti kwenye mitandao ya kijamii.
-----------
KDF officers visit Yesu wa Tongaren taking pictures with him
When Mwalimu Yesu wa Tongaren made headlines in Kenya, his claims were that he was the real Jesus Christ who is on a mission to save the world. The self-proclaimed Yesu is a Kenyan man based in Bungoma county.
Many Kenyans have visited him while others have criticized him and said that he should be crucified during this Easter holiday period when Je sus was crucified to wash away sins.
Today, a section of Kenya Air force officers paid a courtesy visit to Mwalimu Yesu Wa Tongaren in his home in Bungoma county.
The officers went ahead and took a photo with Yesu. Their visit has caused mixed reactions among Kenyans on Facebook who have seen it as a big joke.
“Kenya Air Force officers visit Yesu Wa Tongareni. This is a big joke,” reacted Daudi Chirano.
Source: Kenyanmusic