Kenya Airways, Reli zao wameunganisha na Uganda, Bandari ya mombasa, viwanda vya kusindika matunda, Viwanja vya ndege n.k viko vizuri kiuchumi wakati sisi watanzania tumelala wajameni??
Watanzania wengi wanaagiza magari na bidhaa na wanapitisha bandari ya Mombasa, why??? ukiritimba usio na sababu.
Kenya Airways wamepanua biashara zao na wanaenda nchi nyingi duniani, sisi bado tunatambaa.
Reli zao bomba.
Mie naona hata kwenye Jumuiya ya Africa Mashariki tujiondoe kwanza hadi tutakapo pata watendaji wazalendo na hodari kwanza serikalini.
Hata Rwanda wanatushinda jamani, mh
Ndio sababu sio ufisadi tu bali hata uzembe na kubweteka?
KWa sababu hata kenya kuna ufisadi lakini ni wajanja wanazalisha. Mfano ni sawa na mtu ana shamba la mnazi, badala ya kuhudumia minazi vizuri avune nazi, kwa watanzania hata ule mnazi unaachwa uliwe na mchwa au anakata minazi anauza kama mbao au anaumza shamba. Du kali hiyo.
Wana jamii tuendelee kuwapigia hawa watu kelele.
Watanzania wengi wanaagiza magari na bidhaa na wanapitisha bandari ya Mombasa, why??? ukiritimba usio na sababu.
Kenya Airways wamepanua biashara zao na wanaenda nchi nyingi duniani, sisi bado tunatambaa.
Reli zao bomba.
Mie naona hata kwenye Jumuiya ya Africa Mashariki tujiondoe kwanza hadi tutakapo pata watendaji wazalendo na hodari kwanza serikalini.
Hata Rwanda wanatushinda jamani, mh
Ndio sababu sio ufisadi tu bali hata uzembe na kubweteka?
KWa sababu hata kenya kuna ufisadi lakini ni wajanja wanazalisha. Mfano ni sawa na mtu ana shamba la mnazi, badala ya kuhudumia minazi vizuri avune nazi, kwa watanzania hata ule mnazi unaachwa uliwe na mchwa au anakata minazi anauza kama mbao au anaumza shamba. Du kali hiyo.
Wana jamii tuendelee kuwapigia hawa watu kelele.