MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,299
Sakata la Bandari kumbe KELELE zote za Mkumbo zilikuwa zinamaanisha hatimae leo zimezaa MATUNDA kawa Waziri wa UWEKEZAJI ngoja tusubiri na Wengine watapata nini.
Kama ni hivyo,serikali ni kubwa kuliko kutoka,mkataba kama haufai si serikali inavunja tu!!?Kitila amesaliti Watanganyika! Si mara ya kwanza kufanya usaliti, alianza kwa kuisaliti CHADEMA na baadaye akaisaliti ACT Wazalendo na sasa kafikia kilele kwa kuwasaliti Watanganyika wote!
Kitila ni shetani!
Mbowe awaombe msamaha Waunguja 😂😂Harakati zilianza kitambo..
Hapo ndiyo mnayakoroga zadi zisikilizenui sauti za wananchi hata za wasiozungumza mnazijuaKitila amesaliti Watanganyika! Si mara ya kwanza kufanya usaliti, alianza kwa kuisaliti CHADEMA na baadaye akaisaliti ACT Wazalendo na sasa kafikia kilele kwa kuwasaliti Watanganyika wote!
Kitila ni shetani!
Expo 2020 (Arabic: إكسبو 2020) was a World Expo hosted by Dubai, in the United Arab Emirates, from 1 October 2021 to 31 March 2022.Sakata la Bandari kumbe KELELE zote za Mkumbo zilikuwa zinamaanisha hatimae leo zimezaa MATUNDA kawa Waziri wa UWEKEZAJI ngoja tusubiri na Wengine watapata nini.View attachment 2680058
ilikuwa ni 20 Disemba 2021 sio 2020 kama unavyosemaSakata la Bandari kumbe KELELE zote za Mkumbo zilikuwa zinamaanisha hatimae leo zimezaa MATUNDA kawa Waziri wa UWEKEZAJI ngoja tusubiri na Wengine watapata nini.View attachment 2680058
Angeishauri serikali tofauti na inavyotaka kwa vyo vyote vile isingempa huo uwaziri lakini kwa kuwa alionjeshwa asali akafurahia na kuupongeza ndiyo sababu serikali inataka kuendelea kumtumia na hasa ukizingatia wanaopigiwa kelele ni Wazanzibari!Kama ni hivyo,serikali ni kubwa kuliko kutoka,mkataba kama haufai si serikali inavunja tu!!?
Hapo kitila ni kibaraka katumwa tu kwenda huko kama wewe ungetumwa ungekataa!!?
Anayekutwa na ngozi ndiye mwizi mwenyewe, hivyo Waunguja hatuwaachi mpaka vikoi vidondoke!Mbowe awaombe msamaha Waunguja 😂😂