Hiyo style inaitwa abiria chunga mzigo wako.
Maji anasa wewe kunywa kuoga kupikia kwa kipimo, yani kama hela tu invyolindwa tena hii ilindwe zaidi si uhai!Kama mpaka leo huduma kama hii bado inatiwa kufuli namna hii basi we still have a long way to go kwa pande zote mbili, muhudumu au muhudumuwa...inaonyesha kuwa kuna mmoja hajastaarabika bado..
mwaJ, Huo wanja umeshayeyuka, ona vilio kwa waTZ, Chezea ****** weye! ukifikicha macho inakuwaje?Gwangambo badala ya kusoma comment yako, nimebaki kukodolea macho hiyo avatar na signature yako. Najaribu kupata picha wanja wa pilipili ukiyeyukia machoni inakuwaje! Lol!
mwaJ, Huo wanja umeshayeyuka, ona vilio kwa waTZ, Chezea ****** weye! ukifikicha macho inakuwaje?
Maji anasa wewe kunywa kuoga kupikia kwa kipimo, yani kama hela tu invyolindwa tena hii ilindwe zaidi si uhai!
Mkuu huu mjadala tutauendeleza baadaye hapa nilipo nasherehekea jana nimeongeza cheti kingine katika CV yangu(graduatad)Lakini lazima ukubali kuwa kama hatutastaarabuka basi huduma muhimu kama maji itabakia kutiwa kufili milele huko kwetu...
nasherehekea jana nimeongeza cheti kingine katika CV yangu(graduatad)
Ni kweli mkuu Wa Tz wengi bado hatujastaarabika. Mifano Public utilities utakuta mtu kaandika ukutani kwa mikono akitumia kinyesi, Uwanja wetu mpya wa mpira watu wanang'oa viti, kukuta kinyesi kimewekwa katika mfuko wa rambo na kutupwa pembezoni mwa njia, n.k. Kwa Uswahilini hiyo ni sawa tu, Uswahilini kugumu. Ukweli bado tuna safari ndefu kuelekea USTAARABU ULIOTUKUKA.
Watoto wa uswazi usipofanya hivyo watachezea kutwa.