Napongeza sana serikali kwa kuanza huduma ya Treni nafikiri kwa kiasi kikubwa itasaidia tatizo la usafiri jijini. Ila nafikiri kutokana na wingi wa abiria na vituo kuwa karibu karibu ni vizuri kuajiri vijana wenye uzoefu wa kukusanya nauli maarufu kama makonda, maana kwa tathmini niliyoona kuna wengi wanaweza kupanda bila kulipa nauli na kufanya shirika hilo lijiendeshe kwa hasara.