Eliaona
Member
- Jun 22, 2009
- 72
- 56
Mwl. JK Nyerere aliandika kijitabu kidogo kiitwacho "Uongozi na Hatima ya Tanzania".
Juzi juzi hapa habari ya Zimbabwe ikiwa joto juu Mzee Mandela akiwa huko London kwenye Birthday yake alisema hivyo hivyo juu ya Zimbabwe..
Sasa hapa kwetu tunasikia kila siku sakata juu ya sakata sio ndani ya CCM sio ndani ya Chadema sio CUF. Kweli tunaenda wapi, kwani tumeshindwa kabisa kuandaa viongozi wa nchi yetu hii?
Juzi juzi hapa habari ya Zimbabwe ikiwa joto juu Mzee Mandela akiwa huko London kwenye Birthday yake alisema hivyo hivyo juu ya Zimbabwe..
Sasa hapa kwetu tunasikia kila siku sakata juu ya sakata sio ndani ya CCM sio ndani ya Chadema sio CUF. Kweli tunaenda wapi, kwani tumeshindwa kabisa kuandaa viongozi wa nchi yetu hii?