MahinaVeterani
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 710
- 254
Nilimalizaa la saba 2002, leo nitakuta kweli cheti changu cha darasa la saba ??
Utakikuta. Ni haki yako upate.
Nilimalizaa la saba 2002, leo nitakuta kweli cheti changu cha darasa la saba ??
Mkuu nenda usijali utapata kama hakuna watakupatia barua ya utambulisho kuonyesha ulisoma pale.Nilimalizaa la saba 2002, leo nitakuta kweli cheti changu cha darasa la saba ??
naomba kuuliza jamani hiyo transcript ni tofauti na statement of result? Ndo nimemaliza chuo mwaka huu kwa hiyo cjui. Na km sio huwa inatoka baada ya muda gani?
naomba kuuliza jamani hiyo transcript ni tofauti na statement of result? Ndo nimemaliza chuo mwaka huu kwa hiyo cjui. Na km sio huwa inatoka baada ya muda gani?
Mkuu mpaka tarehe 21 utakua hujaipata trscprt
required qualificatns..
1. Degree/Advanced deploma Transcripts and certificates!! mkuu wewe unacho chet cha degree?? achilia hiyo transcrpt ambayo pengine wengine wanaweza wakawa nayo
Miminimemaliza chuo 2013, transcript ninayo, sema inategemeana na utaratibu wa chuo ulichosoma. kwa hiyo tunahusika mkuu wanataka transcript/certificate.Kuna tofauti kubwa kati ya transcrpt na statement of result mkuu.. kwa sisi wa 2013 naona hii ya investign officers haituhusu. cuz wanataka hadi gamba lenyewe!!!
Cjajua chochote kuusu hiyo ajira. Ndugu mnisaidie wanaitaj vigezo gan. Manake hata tangazo nimeona nusu tu
Cjajua chochote kuusu hiyo ajira. Ndugu mnisaidie wanaitaj vigezo gan. Manake hata tangazo nimeona nusu tu
Habari wakuu, naomba mnifahamishe mwenye kufahamu vigezo vya takukuru anifahamishe maake m cjui chochote.
Heshima mbele wakuu naambiwa kuwa TAKUKURU wame tangaza kazi kwenye daily news la leo mwenye taarifa tafadhali.
Wengine huku tuliko gazeti la leo tunasoma baada ya siku mbili.
@Lyandembele 1
Wanahitaji cheti cha darasa la saba