Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,320
- 33,125
Umesahau moja.Hizi picha kuna moja kati ya matatu kutokea.
1.Kutafutwa aliyeiweka hapa.
2.Kufukuzwa kazi hao jamaa
3.Hayo majeshi kutoa matamko.
@ Kukana kutowajua
(b) kuwaonya raia dhidi ya uzushi (kusema imetengenezwa)