malinda JP
New Member
- Jun 28, 2011
- 3
- 0
Kujadili mambo yanayohusu nchi si kwamba unajiingiza kwenye siasa, bali ni kujalibu namna ya kuinusuru nchi na lolote baya au kuendeleza jambo jema. Wana jf fungukeni na tokeni katika chupa hiyo nchi hii inahitaji mchango wenu ili iweze kuendelea. Kazi kwenu!