Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Rais Jakaya Kikwete akifafanua jambo wakati wa Mkutano wa tano wa Kimataifa wa Tasnia ya Uzinduaji (EITI) mjini Paris, Ufaransa, uliozungumzia matarajio ya baadaye ya tasnia hiyo na uwazi katika masuala ya fedha. Wengine kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Dunia, Sri Mulyani Indrawati, Mwenyekiti mtarajiwa wa EITI, Clare Short, na Rais wa Msumbiji, Armando Guebuza. (Picha na John Lukuwi).