Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 4,667
- 5,716
Kumetokea nini maeneo ayo mkuuNa eneo walilokuwa wanadili nalo ni kuanzia Ukwamani hadi Kanisani na MP ndiyo walikuwa Wengi huku Wakikamata Watu ( hasa hasa Vijana Wahuni ) wa maeneo hayo.
Ila kama nilichokisikia ni kweli Kwanza nitoe Pole kwa Mhusika na Taasisi yake ila Niwaase pia Vijana ( hasa Waendesha Bodaboda na Bajaji ) kuacha kutumia Bangi na Pombe kisha zinawalevya na Kuwachanganya Akili mpaka Kufikia ama Kujeruhi au Kuua kabisa Watu wanaohitilafiana nao Barabarani.