Ng'wanza Madaso JF-Expert Member Oct 21, 2008 2,268 333 Mar 23, 2010 #1 Nimefurahia hii huyu dada na mwanae hapo nyuma,lakini bado kuna walemavu wengine wanataka usafili wa bei ghali.
Nimefurahia hii huyu dada na mwanae hapo nyuma,lakini bado kuna walemavu wengine wanataka usafili wa bei ghali.
Waberoya Platinum Member Aug 3, 2008 15,169 10,786 Mar 23, 2010 #2 Thats is good! I am happy too, any clue how much? tunaweza kujitoa na kuweka order ya kuvitengeneza vingi kusaidia walemavu!
Thats is good! I am happy too, any clue how much? tunaweza kujitoa na kuweka order ya kuvitengeneza vingi kusaidia walemavu!
Renegade JF-Expert Member Mar 18, 2009 7,126 6,764 Mar 23, 2010 #3 Ni nzuri na cheap, ila ninahisi kama kama bado kazi inahitajika kupunguza uzito kwa kuwa ni manual operated.
Ni nzuri na cheap, ila ninahisi kama kama bado kazi inahitajika kupunguza uzito kwa kuwa ni manual operated.