Gor
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,791
- 847
.... UKAWA ni umoja kama umoja mwingine wowote ule,hii ni dalili zuri sana ya kuleta siasa za ushindani ktk nchi.Nawashauri baada ya issue ya katiba kwisha wawe na goal moja tu ambayo ni kuondoa ccm madarakani baada ya hilo ndio mengine yatafuata.Wakati akichangia mjadala wa Bunge Lissu alisema haiwezekani kuungana na chama ambacho kimeunda serikali na chama tawala. Nae LIPUMBA akiwa msikitini akasema kuna chama kinafadhiliwa na mataifa ya ulaya yenye itikadi kama chama hicho ili kuchukua rasilimali za nchi. Nilifikri kauli hizi wangezifuta kwanza kabla hawajachkua jukumu la kuungana na kuwa UKAWA ili kuwarejesha wanachama wao kwenye mitazamo mipya ya vyama vyao
sikiliza kauli ya LIPUMBA akiwa msikitini:
Last edited by a moderator: