NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,206
- 12,747
"Siwezi Kupanda Ulingoni kupigana na Mabondia wa Tanzania Kwa Sababu nimegundua wote wanaonitaka ni Wanawake, Kama Wanaona Kupanda Ulingoni na Mimi ni Kupata Hela Basi Mimi nipo Tayari kuwalipa" Hassan Mwakinyo
Kauli Kama hii siyo ya kiungwana kimichezo haswa mchezo wa bondia na hiyo yote inatokana na baada ya kuona kuwa Mandoga anavyopewa promo Kama bondia mkubwa hapa Tanzania wakati mabondia wapiga ngumi na wenye uwezo wanafichwa Kama nyeti ndani ya boksa.
NALIA NGWENA kutoka jukwaa maarufu Tanzania Jamii forum natangaza wazi kupitia jukwaa hili kuwa nipo Tayari kupanda ulingoni na Hassani Mwankinyo nimuoneshe namna gani huu mchezo wa ngumi unavyocheza siyo ngumi za Mandonga mtu kazi na Dula mbabe zinazomfanya ajione yeye ndiyo Tanzania One upande wa masumbwi.
Mliopo karibu na Muimba Taarabu Hasani Mwankinyo fikisheni taarifa hizi endapo atakubali kupanda jukwaani na Mimi NALIA NGWENA endapo atatoboa Round sita au tano tu Basi yeye ni mwanaume.
Natumia jukwaa hili la Michezo kuwaomba promoters na viongozi wa Jamii forum NALIA NGWENA nipo radhi kupanda jukwaani na Huyo mtoto wa pwani mkata viuno anapokuwa ulingoni.
Nawasilisha ombi langu.
Kauli Kama hii siyo ya kiungwana kimichezo haswa mchezo wa bondia na hiyo yote inatokana na baada ya kuona kuwa Mandoga anavyopewa promo Kama bondia mkubwa hapa Tanzania wakati mabondia wapiga ngumi na wenye uwezo wanafichwa Kama nyeti ndani ya boksa.
NALIA NGWENA kutoka jukwaa maarufu Tanzania Jamii forum natangaza wazi kupitia jukwaa hili kuwa nipo Tayari kupanda ulingoni na Hassani Mwankinyo nimuoneshe namna gani huu mchezo wa ngumi unavyocheza siyo ngumi za Mandonga mtu kazi na Dula mbabe zinazomfanya ajione yeye ndiyo Tanzania One upande wa masumbwi.
Mliopo karibu na Muimba Taarabu Hasani Mwankinyo fikisheni taarifa hizi endapo atakubali kupanda jukwaani na Mimi NALIA NGWENA endapo atatoboa Round sita au tano tu Basi yeye ni mwanaume.
Natumia jukwaa hili la Michezo kuwaomba promoters na viongozi wa Jamii forum NALIA NGWENA nipo radhi kupanda jukwaani na Huyo mtoto wa pwani mkata viuno anapokuwa ulingoni.
Nawasilisha ombi langu.