Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,132
Hata Membe anawaza kuwa Rais wa nchi hii?
Jimboni kwake tu alishinda kwa ujanja ujanja!!!
Hata Mimi ngoja nisubiri ndoto
Kama JK aliweza kuwa Rais nani atashindwa?
Hata Membe anawaza kuwa Rais wa nchi hii?
Jimboni kwake tu alishinda kwa ujanja ujanja!!!
Hata Mimi ngoja nisubiri ndoto
Hata Membe anawaza kuwa Rais wa nchi hii?
Jimboni kwake tu alishinda kwa ujanja ujanja!!!
Hata Mimi ngoja nisubiri ndoto
Kwa hiyo yericko umemtosa slaa umehamia kwa membe?
umeniwahi mkuu nilitaka kuuliza swali kama hilo
Hili ndio jibu la hawa wote hawa....Ye kanukuu ujumbe wa 6...hajasema kwamba (yericko) yupo nao hao aliowataja!!Haya hayakuhusu hata kidogo. Acha umbea. Hangaika na slaa wenu anayekula ruzuku ya chama
Dah.. kuna somo la kutambua sentence nadhani linakuhusu mkuu.
Uwe na siku njema.
Vipi tenda ya kumuondoa zitto hukupewa wewe?Dah.. kuna somo la kutambua sentence nadhani linakuhusu mkuu.
Uwe na siku njema.
Haya hayakuhusu hata kidogo. Acha umbea. Hangaika na slaa wenu anayekula ruzuku ya chama
Wewe Yeriko leo unahalalisha ikulu kwa membe badala ya Slaa!Siamini macho yangu!
Mambo mawili makubwa sana tutamkumbuka Jakaya wetu kwa URAIS wake huu:Kama JK aliweza kuwa Rais nani atashindwa?
Wewe Yeriko leo unahalalisha ikulu kwa membe badala ya Slaa!Siamini macho yangu!
"Marafiki tupo watano. Mmoja kati yao akichukua fomu tutampitisha. Nipo mimi Sitta, Mwakyembe, Membe, Magufuli na Mwandosya" - Sitta!
Wiki juzi mtakumbuka nilimuonya Laigwanani kwa chagizo hili hapa chini:
Kwa hiyo yericko umemtosa slaa umehamia kwa membe?
Kundi halina mvuto...linajipambanua kutetea maslahi ya umma lakini linabaki na walafi wa mali za umma
Huyo mzee amefulia, hana sera na hana mvuto tena. Akagombee udiwani huko karatu
Kwa hiyo yericko umemtosa slaa umehamia kwa membe?
Mimi nasubiri wampitishe huyu mpaka poda Membe ili wanifukunze rasmi,siwezi kuwa chini ya waasisi wa CCJ nikiwa nashuhudia kwa miso ngane.membe akipitishwa narudisha kadi ya chama ni hewaa haswa
Ukimweka Membe na Kitimoto mie nachagua kitimoto.Binafsi namuonaga kama mgonjwawazimu flani anaetafuta cheap popularity huku akikosa mvuto wa kisiasa na hana nguvu ya ushawishi..anapenda sana sifa! simkubali hataa!