Kauli na matendo ya Rais Samia yameituliza nchi na kuwaunganisha Watanzania katika kuijenga Tanzania Yetu

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
15,346
9,776
Ndugu zangu Ni Ukweli usiopingika kuwa Mama yetu mh Samia alichukua nchi katika wakati ambao nchi na wananchi walikuwa wamegawanyika,.

Mama alikuta watanzania wengine wakijihisi kuwa hawana nafasi katika ujenzi wa nchi hii, wakijihisi kutengwa, ilifika muda maeneo mengi tu nchini akifariki mtu wa chama fulani Basi wachama kingine wanaona siyo msiba wao

Mama aliposhika madaraka jukumu lake likawa Ni kuwaunganisha Watanzania ili kujenga umoja wa kitaifa ,kwani alitambua kuwa hakuna maendeleo yanayoweza patikana ikiwa nchi imegawanyika

Kwasababu kipindi hiki kilikuwa Ni Cha muhimu kuwaunganisha watu, kwani Kuna watu walikuwa Wana majeraha na machungu katika mioyo yao, Kuna watu walikuwa wanatamani hata tuvamiwe na wangekuwa upande wa adui kwa namna walivyo kuwa na hasira katika mioyo yao,.

Na hapa mnaweza mkakumbuka kilichomkumba msanii Diamond platinum pale baadhi ya watanzania walipoamua kuhamasishana ili anyimwe kura na apewe mnigeria,. kauli Njema huumba, kauli Njema hujenga,kauli Njema huleta matumaini, kauli Njema hushusha hasira kwa mtu mwenye hasira,kauli Njema huleta faraja kwa mtu mwenye majonzi na machungu, hiki ndicho alichokifanya mh Mama Samia katika kulijenga Taifa hili

Kwa Sasa Taifa Ni moja, Tanzania Ni moja, Watanzania Ni wamoja, Tunalia kwa pamoja na Tunafurahi kwa pamoja, kila mtanzania anayo Imani kubwa kwa mama yetu kipenzi mama Samia suluhu Hassani

Leo hii akisimama mh Mbowe au mh Zitto au mh lipumba au mh mbatia Kama Ni mgeni na huwajuwi unaweza kuzani wanatoka chama tawala kwanamna wanavyozungumza na kuhubiri Aman,upendo,mshikamano,kuvumiliana na kumshauri mh Rais kwa maneno ya Hekima na busara na kumuunga mkono na kumpongeza mama yetu kwa kazi nzuri anayoifanya ya kuijenga nchi yetu,

Sasa hivi kila mtu ana amani kutoa kauli ya kuijenga nchi maana vifua vina Aman juu ya kazi njema ya mh Rais,

Rai yangu Kama mtanzania na Mwana CCM Nawaombeni tuijenge nchi yetu, Tumuunge mkono Rais wetu kipenzi, Tuvumiliane panapobidi, Tukosoane kwa staha na hekima, Tujuwe tuna Jenga nyumba moja, Tujuwe hatuna kwa kwenda Zaid ya hapa, Tujuwe tukiharibu Nchi yetu tumeharibu maisha yetu na vizazi vijavyo,.

Maziwa ya mama mzazi Ni matamu kuliko ya kununua,Tanzania ndio mama yetu na sote Tutanyonya na kufurahi ikiwa mama Huyu atakuwa na utulivu wa akili na mzima wa Afya, hivyo tumlinde, tumpiganie na kumuombea,

Tumuunge mkono mama yetu mh Samia, tumuombee na kumlinda kwa Sara na Dua zetu kwake, Vita ya kuijenga nchi siyo nyepesi, inahitaji mshikamano, inahitaji faraja kwa kiongozi wetu aliye mstari wa mbele kutupigania, Rais Ni mwanadamu hivyo anahitaji faraja zetu na maombi yetu,.

Asante mama yangu Mh Samia, Endelea kuchapa kazi, Endelea kuwatumikia watanzania, Usikate tamaa pale utakapoona watu ulio wategemea wakusaidie kazi wakawa wakwanza kukuangusha, usirudi nyuma, songa mbele maana watanzania wengi Tupo pamoja na wewe kwa kazi nzuri zinazogusa maisha yetu watanzania,.

Mwisho Naomba wasaidizi mliopewa dhamani na nafasi ya kumsaidia mama yetu mhakikishe mnafanya kazi kwa bidii na kujituma kuwatumikia watanzania, mjuwe Ni Mungu ndio amewainua ili mtutumikie sisi watanzania wanyonge, muwe wanyenyekevu na wenye huruma, mtangulize maslahi ya nchi na wakati wote muombe busara za mwenyezi Mungu katika maamuzi yenu, msimuonee mtu Wala kumuumiza mtu, mikono yenu iwe Safi na vinywa vyenu vihubiri amani na upendo, Asanteeeeeee kazi iendeleee
 
  1. Ndugu zangu Ni Ukweli usiopingika kuwa Mama yetu mh Samia alichukua nchi katika wakati ambao nchi na wananchi walikuwa wamegawanyika,. Mama alikuta watanzania wengine wakijihisi kuwa hawana nafasi katika ujenzi wa nchi hii, wakijihisi kutengwa, ilifika muda maeneo mengi tu nchini akifariki mtu wa chama fulani Basi wachama kingine wanaona siyo msiba wao,. Mama aliposhika madaraka jukumu lake likawa Ni kuwaunganisha Watanzania ili kujenga umoja wa kitaifa ,kwani alitambua kuwa hakuna maendeleo yanayoweza patikana ikiwa nchi imegawanyika,. Kwasababu kipindi hiki kilikuwa Ni Cha muhimu kuwaunganisha watu, kwani Kuna watu walikuwa Wana majeraha na machungu katika mioyo yao, Kuna watu walikuwa wanatamani hata tuvamiwe na wangekuwa upande wa adui kwa namna walivyo kuwa na hasira katika mioyo yao,. Na hapa mnaweza mkakumbuka kilichomkumba msanii Diamond platinum pale baadhi ya watanzania walipoamua kuhamasishana ili anyimwe kura na Apewe mnigeria,. kauli Njema huumba, kauli Njema hujenga,kauli Njema huleta matumaini, kauli Njema hushusha hasira kwa mtu mwenye hasira,kauli Njema huleta faraja kwa mtu mwenye majonzi na machungu, hiki ndicho alichokifanya mh Mama Samia katika kulijenga Taifa hili,. Kwa Sasa Taifa Ni moja, Tanzania Ni moja, Watanzania Ni wamoja, Tunalia kwa pamoja na Tunafurahi kwa pamoja, kila mtanzania anayo Imani kubwa kwa mama yetu kipenzi mama Samia suluhu Hassani, Leo hii akisimama mh Mbowe au mh Zitto au mh lipumba au mh mbatia Kama Ni mgeni na huwajuwi unaweza kuzani wanatoka chama tawala kwanamna wanavyozungumza na kuhubiri Aman,upendo,mshikamano,kuvumiliana na kumshauri mh Rais kwa maneno ya Hekima na busara na kumuunga mkono na kumpongeza mama yetu kwa kazi nzuri anayoifanya ya kuijenga nchi yetu, Sasa hivi kila mtu ana amani kutoa kauli ya kuijenga nchi maana vifua vina Aman juu ya kazi njema ya mh Rais, Rai yangu Kama mtanzania na Mwana CCM Nawaombeni tuijenge nchi yetu, Tumuunge mkono Rais wetu kipenzi, Tuvumiliane panapobidi, Tukosoane kwa staha na hekima, Tujuwe tuna Jenga nyumba moja, Tujuwe hatuna kwa kwenda Zaid ya hapa, Tujuwe tukiharibu Nchi yetu tumeharibu maisha yetu na vizazi vijavyo,. Maziwa ya mama mzazi Ni matamu kuliko ya kununua,Tanzania ndio mama yetu na sote Tutanyonya na kufurahi ikiwa mama Huyu atakuwa na utulivu wa akili na mzima wa Afya, hivyo tumlinde, tumpiganie na kumuombea, Tumuunge mkono mama yetu mh Samia, tumuombee na kumlinda kwa Sara na Dua zetu kwake, Vita ya kuijenga nchi siyo nyepesi, inahitaji mshikamano, inahitaji faraja kwa kiongozi wetu aliye mstari wa mbele kutupigania, Rais Ni mwanadamu hivyo anahitaji faraja zetu na maombi yetu,. Asante mama yangu Mh Samia, Endelea kuchapa kazi, Endelea kuwatumikia watanzania, Usikate tamaa pale utakapoona watu ulio wategemea wakusaidie kazi wakawa wakwanza kukuangusha, usirudi nyuma, songa mbele maana watanzania wengi Tupo pamoja na wewe kwa kazi nzuri zinazogusa maisha yetu watanzania,. Mwisho Naomba wasaidizi mliopewa dhamani na nafasi ya kumsaidia mama yetu mhakikishe mnafanya kazi kwa bidii na kujituma kuwatumikia watanzania, mjuwe Ni mungu ndio amewainua ili mtutumikie sisi watanzania wanyonge, muwe wanyenyekevu na wenye huruma, mtangulize maslahi ya nchi na wakati wote muombe busara za mwenyezi mungu katika maamuzi yenu, msimuonee mtu Wala kumuumiza mtu, mikono yenu iwe Safi na vinywa vyenu vihubiri amani na upendo, Asanteeeeeee kazi iendeleee
Ndio maana na wewe umeamua kuunganisha andiko lako bila kuweka paragraph?

Hao watz aliowaunganisha ni wa upande gani na upande gani, wa hali ipi ya maisha au hadhi gani ambao walikuwa wametenganishwa?
 
Wenzake huwa wanafanya mageuzi makubwa ndani ya siku 100 tu. Huyu nishamstukia . UTANIKUMBUKA!
Hapana, tufanye subira.
Kupokea nchi yenye mgawanyiko vile halafu kumbuka wanaopenda migawanyiko bado wamo kwenye chama chao
 
Ndio maana na wewe umeamua kuunganisha andiko lako bila kuweka paragraph?

Hao watz aliowaunganisha ni wa upande gani na upande gani, wa hali ipi ya maisha au hadhi gani ambao walikuwa wametenganishwa?
Kapunguza chuki za kisiasa na ukabila
 
Kwakweli umenena msema kweli ni mpenzi wa Mungu Raisi Samia amerudisha matumaini.

Lakini Raisi Samia asiishie hapo azidi kwenda mbele ili tupate Katiba mpya na Tume HURU ya Uchaguzi.

So far so good anaupiga mwingi.
 
Hii ni Taarifa, Kukumbushia, kujiliwaza, kampeni au ?

Sababu naona awamu hii nguvu nyingi inatumika kwenye maelezo na kujipigia debe kuliko matendo
 
  1. Ndugu zangu Ni Ukweli usiopingika kuwa Mama yetu mh Samia alichukua nchi katika wakati ambao nchi na wananchi walikuwa wamegawanyika,. Mama alikuta watanzania wengine wakijihisi kuwa hawana nafasi katika ujenzi wa nchi hii, wakijihisi kutengwa, ilifika muda maeneo mengi tu nchini akifariki mtu wa chama fulani Basi wachama kingine wanaona siyo msiba wao,. Mama aliposhika madaraka jukumu lake likawa Ni kuwaunganisha Watanzania ili kujenga umoja wa kitaifa ,kwani alitambua kuwa hakuna maendeleo yanayoweza patikana ikiwa nchi imegawanyika,. Kwasababu kipindi hiki kilikuwa Ni Cha muhimu kuwaunganisha watu, kwani Kuna watu walikuwa Wana majeraha na machungu katika mioyo yao, Kuna watu walikuwa wanatamani hata tuvamiwe na wangekuwa upande wa adui kwa namna walivyo kuwa na hasira katika mioyo yao,. Na hapa mnaweza mkakumbuka kilichomkumba msanii Diamond platinum pale baadhi ya watanzania walipoamua kuhamasishana ili anyimwe kura na Apewe mnigeria,. kauli Njema huumba, kauli Njema hujenga,kauli Njema huleta matumaini, kauli Njema hushusha hasira kwa mtu mwenye hasira,kauli Njema huleta faraja kwa mtu mwenye majonzi na machungu, hiki ndicho alichokifanya mh Mama Samia katika kulijenga Taifa hili,. Kwa Sasa Taifa Ni moja, Tanzania Ni moja, Watanzania Ni wamoja, Tunalia kwa pamoja na Tunafurahi kwa pamoja, kila mtanzania anayo Imani kubwa kwa mama yetu kipenzi mama Samia suluhu Hassani, Leo hii akisimama mh Mbowe au mh Zitto au mh lipumba au mh mbatia Kama Ni mgeni na huwajuwi unaweza kuzani wanatoka chama tawala kwanamna wanavyozungumza na kuhubiri Aman,upendo,mshikamano,kuvumiliana na kumshauri mh Rais kwa maneno ya Hekima na busara na kumuunga mkono na kumpongeza mama yetu kwa kazi nzuri anayoifanya ya kuijenga nchi yetu, Sasa hivi kila mtu ana amani kutoa kauli ya kuijenga nchi maana vifua vina Aman juu ya kazi njema ya mh Rais, Rai yangu Kama mtanzania na Mwana CCM Nawaombeni tuijenge nchi yetu, Tumuunge mkono Rais wetu kipenzi, Tuvumiliane panapobidi, Tukosoane kwa staha na hekima, Tujuwe tuna Jenga nyumba moja, Tujuwe hatuna kwa kwenda Zaid ya hapa, Tujuwe tukiharibu Nchi yetu tumeharibu maisha yetu na vizazi vijavyo,. Maziwa ya mama mzazi Ni matamu kuliko ya kununua,Tanzania ndio mama yetu na sote Tutanyonya na kufurahi ikiwa mama Huyu atakuwa na utulivu wa akili na mzima wa Afya, hivyo tumlinde, tumpiganie na kumuombea, Tumuunge mkono mama yetu mh Samia, tumuombee na kumlinda kwa Sara na Dua zetu kwake, Vita ya kuijenga nchi siyo nyepesi, inahitaji mshikamano, inahitaji faraja kwa kiongozi wetu aliye mstari wa mbele kutupigania, Rais Ni mwanadamu hivyo anahitaji faraja zetu na maombi yetu,. Asante mama yangu Mh Samia, Endelea kuchapa kazi, Endelea kuwatumikia watanzania, Usikate tamaa pale utakapoona watu ulio wategemea wakusaidie kazi wakawa wakwanza kukuangusha, usirudi nyuma, songa mbele maana watanzania wengi Tupo pamoja na wewe kwa kazi nzuri zinazogusa maisha yetu watanzania,. Mwisho Naomba wasaidizi mliopewa dhamani na nafasi ya kumsaidia mama yetu mhakikishe mnafanya kazi kwa bidii na kujituma kuwatumikia watanzania, mjuwe Ni mungu ndio amewainua ili mtutumikie sisi watanzania wanyonge, muwe wanyenyekevu na wenye huruma, mtangulize maslahi ya nchi na wakati wote muombe busara za mwenyezi mungu katika maamuzi yenu, msimuonee mtu Wala kumuumiza mtu, mikono yenu iwe Safi na vinywa vyenu vihubiri amani na upendo, Asanteeeeeee kazi iendeleee

Yaani sisi tujiunge na majizi ya kura?
 
Muunge mkono Mama yetu mzalendo wa kweli,Mpenda maendeleo na aliyedhamilia kuinua maisha ya watanzania
 
Nchi imerudi kwa majizi halafu we unaongea nn bloangu,kila siku hakuna ufumbuzi wa maisha kuwa na unafuu halafu unasema kaituliza nchi,kaituliza na nn zaidi ya nchi kila kukicha ni shida tu,hana jipya bloangu huo ndio ukweli na zaidi ya yote chama chake ni cha Mazezeta kitampitisha tena 2025,nchi hii kwa Chama hiki maendeleo tutasubiri sana
 
Kwa Hali ya kiuchumi duniani kwote kwa sasa Naweza nikasema Rais mama Samia anajitahidi Sana na anastahili kupewa pongezi na kutiwa moyo,
 
Ndugu zangu Ni Ukweli usiopingika kuwa Mama yetu mh Samia alichukua nchi katika wakati ambao nchi na wananchi walikuwa wamegawanyika,.

Mama alikuta watanzania wengine wakijihisi kuwa hawana nafasi katika ujenzi wa nchi hii, wakijihisi kutengwa, ilifika muda maeneo mengi tu nchini akifariki mtu wa chama fulani Basi wachama kingine wanaona siyo msiba wao

Mama aliposhika madaraka jukumu lake likawa Ni kuwaunganisha Watanzania ili kujenga umoja wa kitaifa ,kwani alitambua kuwa hakuna maendeleo yanayoweza patikana ikiwa nchi imegawanyika

Kwasababu kipindi hiki kilikuwa Ni Cha muhimu kuwaunganisha watu, kwani Kuna watu walikuwa Wana majeraha na machungu katika mioyo yao, Kuna watu walikuwa wanatamani hata tuvamiwe na wangekuwa upande wa adui kwa namna walivyo kuwa na hasira katika mioyo yao,.

Na hapa mnaweza mkakumbuka kilichomkumba msanii Diamond platinum pale baadhi ya watanzania walipoamua kuhamasishana ili anyimwe kura na apewe mnigeria,. kauli Njema huumba, kauli Njema hujenga,kauli Njema huleta matumaini, kauli Njema hushusha hasira kwa mtu mwenye hasira,kauli Njema huleta faraja kwa mtu mwenye majonzi na machungu, hiki ndicho alichokifanya mh Mama Samia katika kulijenga Taifa hili

Kwa Sasa Taifa Ni moja, Tanzania Ni moja, Watanzania Ni wamoja, Tunalia kwa pamoja na Tunafurahi kwa pamoja, kila mtanzania anayo Imani kubwa kwa mama yetu kipenzi mama Samia suluhu Hassani

Leo hii akisimama mh Mbowe au mh Zitto au mh lipumba au mh mbatia Kama Ni mgeni na huwajuwi unaweza kuzani wanatoka chama tawala kwanamna wanavyozungumza na kuhubiri Aman,upendo,mshikamano,kuvumiliana na kumshauri mh Rais kwa maneno ya Hekima na busara na kumuunga mkono na kumpongeza mama yetu kwa kazi nzuri anayoifanya ya kuijenga nchi yetu,

Sasa hivi kila mtu ana amani kutoa kauli ya kuijenga nchi maana vifua vina Aman juu ya kazi njema ya mh Rais,

Rai yangu Kama mtanzania na Mwana CCM Nawaombeni tuijenge nchi yetu, Tumuunge mkono Rais wetu kipenzi, Tuvumiliane panapobidi, Tukosoane kwa staha na hekima, Tujuwe tuna Jenga nyumba moja, Tujuwe hatuna kwa kwenda Zaid ya hapa, Tujuwe tukiharibu Nchi yetu tumeharibu maisha yetu na vizazi vijavyo,.

Maziwa ya mama mzazi Ni matamu kuliko ya kununua,Tanzania ndio mama yetu na sote Tutanyonya na kufurahi ikiwa mama Huyu atakuwa na utulivu wa akili na mzima wa Afya, hivyo tumlinde, tumpiganie na kumuombea,

Tumuunge mkono mama yetu mh Samia, tumuombee na kumlinda kwa Sara na Dua zetu kwake, Vita ya kuijenga nchi siyo nyepesi, inahitaji mshikamano, inahitaji faraja kwa kiongozi wetu aliye mstari wa mbele kutupigania, Rais Ni mwanadamu hivyo anahitaji faraja zetu na maombi yetu,.

Asante mama yangu Mh Samia, Endelea kuchapa kazi, Endelea kuwatumikia watanzania, Usikate tamaa pale utakapoona watu ulio wategemea wakusaidie kazi wakawa wakwanza kukuangusha, usirudi nyuma, songa mbele maana watanzania wengi Tupo pamoja na wewe kwa kazi nzuri zinazogusa maisha yetu watanzania,.

Mwisho Naomba wasaidizi mliopewa dhamani na nafasi ya kumsaidia mama yetu mhakikishe mnafanya kazi kwa bidii na kujituma kuwatumikia watanzania, mjuwe Ni Mungu ndio amewainua ili mtutumikie sisi watanzania wanyonge, muwe wanyenyekevu na wenye huruma, mtangulize maslahi ya nchi na wakati wote muombe busara za mwenyezi Mungu katika maamuzi yenu, msimuonee mtu Wala kumuumiza mtu, mikono yenu iwe Safi na vinywa vyenu vihubiri amani na upendo, Asanteeeeeee kazi iendeleee
Nonsense. Taifa limepigwa ganzi, moja kati ya watawala wabovu kuwahi kutokea hapa nchini.
 
Amini nakwambia Rais mama Samia Suluhu Hassan Atakumbukwa vizazi na vizazi kwa kazi kubwa na ya kutukuka anayoifanya hapa nchini, Mama Ni zawadi kwetu watanzania, tunapaswa kujivunia mama yetu
 
Nonsense. Taifa limepigwa ganzi, moja kati ya watawala wabovu kuwahi kutokea hapa nchini.
Mama Samia Atakumbukwa na watanzania wengii Sana, kwa kuwa uongozi wake umeacha Alama maeneo yote iwe Ni Elimu, Afya, Maji Au Miundombinu lazima ukute mikono ya Mama yetu
 
Back
Top Bottom