Chenge
JF-Expert Member
- Oct 5, 2011
- 1,073
- 377
>mwananchi: " sasa waziri fidia inalipwa kwa wenye nyumba, na sisi wapangaji inakuaje? tunastahili kulipwa"
>
>Magufuli: "Jenga ya kwako, tena we daktari huna nyumba"
>
>mwananchi2: "sasa waziri, huoni kwamba ni usumbufu kwa watanzania wenye hali ya chini kuvunjiwa nyumba na kuanza kuhangaika kutafuta pa kuishi, hivyo tufikirie kutufidia kidogo"
>
>Magufuli:"Kama unaona tanzania tunakusumbua hamia kenya"
>
>Magufuli: "Jenga ya kwako, tena we daktari huna nyumba"
>
>mwananchi2: "sasa waziri, huoni kwamba ni usumbufu kwa watanzania wenye hali ya chini kuvunjiwa nyumba na kuanza kuhangaika kutafuta pa kuishi, hivyo tufikirie kutufidia kidogo"
>
>Magufuli:"Kama unaona tanzania tunakusumbua hamia kenya"