Chacha wa marwa
Senior Member
- Jul 5, 2013
- 116
- 20
Mume awe na pesa, sura tutavumiliana.
Mwanaume hasifiwi sura anasifiwa kuingi benki kutoa na kuweka pesaaaa ingekuwa ni sura bas Pindaaa asingeoa
Jamani, tumshukuru sana Mungu kwa uumbaji wake, hakuna anayependa kuzaliwa hivyo, yote ni uumbaji wa Mungu, sura sio chochote kinachohitajika ni tabia njema na hofu ya Mungu tuu! Acha kumkosoa Mungu kwa uumbaji wake!
Duh umeongea maneno ya ukweli kabisa...mungu akubariki