Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Hii katuni ya Gado ni shughuli nzito. Picha ya Rais Samia imetupwa kwenye jalala na nafasi ya picha yake imetwaliwa na Mtawala wa Dubai.
Polisi pia hawakuachwa nyuma nao wamewekwa mfukoni mwa mwarabu huku wanasheria wakijaribu kujenga khoja bila mafanikio.
Kama hawajaielewa hii katuni basi wajiandae kuwakabidhi wapinzani Ikulu maana kazi si tu imewashinda bali pia hata HAWAIJUI ya kuwapeleka watanganyika Kaanani.
Polisi pia hawakuachwa nyuma nao wamewekwa mfukoni mwa mwarabu huku wanasheria wakijaribu kujenga khoja bila mafanikio.
Kama hawajaielewa hii katuni basi wajiandae kuwakabidhi wapinzani Ikulu maana kazi si tu imewashinda bali pia hata HAWAIJUI ya kuwapeleka watanganyika Kaanani.