Nyamgluu JF-Expert Member Mar 10, 2006 3,160 1,719 Dec 30, 2010 #1 Hivi zile katuni za mbu wa malaria mlengwa ni nani? Maana wanaongea kiingereza au wanalenga expats?
Gurta JF-Expert Member Sep 17, 2010 2,234 531 Dec 30, 2010 #2 wamekopi toka SA afu wakasahau kufanya dubbing