watanzania jasho la damu litatutoka kwa Dowans. Mishahara hakuna wafanyakazi wa serikali. Hazina ni kavu. Na ukipata utalipiwa dirishani. Je kwa ugumu huu wezi watawaacha wafanyakazi?
Je tutafika na Rais keshaanza safari za nje???????????
Mwaka huu nadhani tunaelekea kula nyasi kama baadhi ya viongozi walivyonena kitaambo,jamani lets kneel down to ask for GOD assistance mana this is too much boring...nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.