Hapa kunashida sehemuHata walipopata faida hakukuwahi kutolewa gawio
kampuni inapata vipi hasara wakati magenius wote wanafanya kazi voda hukoUtapata vipi gawio ikiwa kampuni imeripoti hasara miaka miwili mfululizo?
Mkuu unachojaribu kufanya ni propaganda au nini? Hujawahi pata gawio lako hata mara moja?Hawatoi hata mya mbofu sijui labda wenye mahisa mengi ... binafsi toka ninunue sijawahi pata gawio na mahisa yenyewe hayauziki yanazidi kuporomoka
Yaani huu ulikuwa mkenge mmoja matata sana. Hakunaga gawio hata 100 ningejua milioni 3 yangu ningekunywa windoki tu. Dustbin.
Ova
Hiyo hela ungekuwa umenunua vipande vya UTT AMIS Kwa sasa ungekuwa unatengeza 300,000 Kwa mwaka Kwa wastani WA gawio la 10%Yaani huu ulikuwa mkenge mmoja matata sana. Hakunaga gawio hata 100 ningejua milioni 3 yangu ningekunywa windoki tu. Dustbin.
Ova
Walionunua sijui walipigwa na upofu gan tena waliingia dse kwa kulazimishwa😀😀😀Nilipoona rostam aziz anauza hisa voda nikajua hilo chaka halifai tena
Hamna mkuu mbona wanatoaga gawio shng 7 kwa hisaYaani huu ulikuwa mkenge mmoja matata sana. Hakunaga gawio hata 100 ningejua milioni 3 yangu ningekunywa windoki tu. Dustbin.
Ova
Mimi nilidhani ni mimi peke yangu sipati gawio kumbe tuko wengi. Sasa fedha zetu walizotunyang'anya wamezipeleka wapi?Yaani huu ulikuwa mkenge mmoja matata sana. Hakunaga gawio hata 100 ningejua milioni 3 yangu ningekunywa windoki tu. Dustbin.
Ova
Si uchukue chako,au utapata chini ya mil3?Hawatoi hata mya mbofu sijui labda wenye mahisa mengi ... binafsi toka ninunue sijawahi pata gawio na mahisa yenyewe hayauziki yanazidi kuporomoka
Koro show
Vodacom gawio wanatoa ila ni kidogo sana aisee...nenda karekebishe taarifa zako za benki upate kiwango chakoYaani huu ulikuwa mkenge mmoja matata sana. Hakunaga gawio hata 100 ningejua milioni 3 yangu ningekunywa windoki tu. Dustbin.
Ova