Young fadson
JF-Expert Member
- Nov 6, 2017
- 733
- 774
Katika makuzi yangu nlikua nkiaminishwa kua viongozi wa nchi huchaguliwa na Mungu,
Pindi nasoma advance bahati nzuri uchaguzi wa rais, wabunge pamoja na madiwani nlikua kidato cha sita pale shinyanga high school maarufu kama SHY BUSH , nlishiriki kupiga kura lakin majibu yaliyobandikwa ktk kituo nlichopigia kura, hayakushabihiana hata kidogo na matokeo nliyoyayaaikia redioni (jecha style)
Haitoshi; hata siku izi mambo yamegoma kabisa kubadilika, bado kura zinazopigwa haziendani na zile zinazotangazwa, wachungaji hutambua hilo lakin ajabu hawajawahi kuwafukuza sehem za ibada hasa kipindi ha harambee,
Samia
Mwiguru
Kakamba
Nape
Lowasaa nk. Hawa ote ni saham ya mfano kwa MUSSAna wana wa Israel?
Pindi nasoma advance bahati nzuri uchaguzi wa rais, wabunge pamoja na madiwani nlikua kidato cha sita pale shinyanga high school maarufu kama SHY BUSH , nlishiriki kupiga kura lakin majibu yaliyobandikwa ktk kituo nlichopigia kura, hayakushabihiana hata kidogo na matokeo nliyoyayaaikia redioni (jecha style)
Haitoshi; hata siku izi mambo yamegoma kabisa kubadilika, bado kura zinazopigwa haziendani na zile zinazotangazwa, wachungaji hutambua hilo lakin ajabu hawajawahi kuwafukuza sehem za ibada hasa kipindi ha harambee,
Samia
Mwiguru
Kakamba
Nape
Lowasaa nk. Hawa ote ni saham ya mfano kwa MUSSAna wana wa Israel?