Mongoiwe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 524
- 263
Kuna taarifa za kuwa Katibu wa CCM kata ya Isamilo ambako katibu wake aliuawa kwa kuchoma kisu na Meya wa Jiji Bihondo akakamatwa kwa mauaji, amelishwa sumu na sasa yupo mahututi Bugando kwa matibabu, katibu huyu nimeambiwa anaitwa Emma Chacha na tukio limetoka majira ya saa 1:45 usiku.
Bado nafuatilia zaidi
Bado nafuatilia zaidi