WISTON MWINUKA
Member
- Apr 29, 2012
- 81
- 4
Katibu wa ccm Iringa mjini Mr.Luciano Mbosa,yupo studio za Ebony fm akizungumza mambo mbalimbali yahusuyo chama na matarajio yao kwa uchaguzi mkuu ujao.Pia amewataja CDM kuwa chanzo cha vurugu za kisiasa zilizotokea maeneo ya Nduli,ambapo watu kadhaa walijeruhiwa katika tukio hilo.