Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,271
- 29,880
10:00
Apo chacha2 mins to go ,ila msomali hana lakuongea sababu anaogopa watu watadai passport yao, mwenzake Nape amethubutu sababu ye mmakonde
Ngoja tusikie na Kinana naye atasema nini hahahaha, mie ndio maana sipendi siasaPata raha tu mkuu siasa za bongo wako pale kozi wanalipwa wangekuwa hawalipwi usingewaona pale kuonyeshwa bastora bongo mbona kitu cha kawaida eti mtu leo anapaniki alafu alafu tunaanza kumpigia promo
Aangalie asije akapelekewa ''Tank'', kwa sababu gobole na mguu wa kuku vimeshatumika. bado ''tank'' tu.Nadhani mzee anakuja kutangaza kujihuzulu
Upo ka mimi mkuu yule anakuja kutuliza tu upepo na maisha ystaendelea utaniambiaNgoja tusikie na Kinana naye atasema nini hahahaha, mie ndio maana sipendi siasa