Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 738
- 478
Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu (kulia) amekutana na kufanya mazungumzo na aliyekuwa mbunge wa Nyamagana, Ezekiel Wenje (kushoto) Machi 10,2023 katika Mji wa Serikali Mtumba jijini Dodoma.View attachment 2544840