Kwa wale wanaoweza kuchanganua masuala ya kijamii na kisiasa ni dhahiri kwamba toka katibu Mkuu Wilson Mukama, utendaji ndani ya CCM umekuwa na tija. Komrade Mukama ni kiongozi shubavu, mwenye busara na anaesikiliza sana na kuongea kidogo. Ana sense of humor as well as wisdom. Tunamuombea afya njema na maisha marefu