Katibu Mkuu wa CCM, Kinana na Nape watua Butiama,Wazuru kaburi la Baba wa Taifa

Hahaa naona unazidi kuhama hama kama mhudumu wa baa,

Ungetulia kwenye ID yako ya kwanza ungeeleweka tu,

Laana za inazidi kukuandama, vumilia hayo ndio matokeo ya mimba za mbio za mwenge,

Mimi ni kama jua, utake nitakuwakia, usitake nitakuwakia,

Siishi kwakubahatisha, Kamuulize mwenyekiti wako atakwambia!
We Tapeli tuheshimiane, hii ID hana interest za kihuni, mie nimechangia Independently, na nimeona huyo mleta uzi amekubana kisawasawa kwa kila hoja, sasa usinizuushie , ukizoea kuiba huwezi kuwaamini wenzako kwani utadhani wote ni wezi kama wewe, fuatilia hii akaunti yangu ujue inatoka wapi mwehu wewe.
Ili sie wachangiaji wengine tukuelewe, Thibitisha kuwa wewe ni Kijana wa Msambila marehemu au siyo?
Wewe na Familia ya Mwalimu mna-uhusiano gani hata wa ujirani mwema tu?
Ukipitia line hiyo mbona huyo MwanaDiwani ataumbuka kweupe tu, na watu watakuunga mkono kwa kuchangia.
Onyo: Mwana Diwani simjui ila alichokiandika kinajitosheleza na wewe tuweke wazi sasa.
 
Ulivyo na akili ya kisoda utadhani ni mwanamke nyumba ndogo,

Nilishakwamnia wewe ni shabiki wangu mwehu,

Kila ukiniona lazima unyevunyevu ukupata na kinishangilia popote,

Ila unabahati mbaya mie huwa sitafuni makuki, endelea na yuleyule Waziri!



Kwakukukumbusha tu wasifu wangu nikuwa:

Naitwa: Yericko Yohanesy Nyerere

Mahali nilipozaliwa: Nyololo, Mufindi, Iringa.

Kabila: Ni Mhehe,

Baba yangu: Yohanes Msambila Nyerere


Elimu: Muhandisi wa Umeme na Compyuta kutoka Chuo cha Beijing Information Technology College- "BIT" (China)

Kazi: Mfanyabiahara, Mwenyekiti Mtendaji wa Umoja wa Makampuni ya YECCO GROUP LTD

Kuishi: Kigamboni Mbutu,

Nina mke mmoja na watoto wa wili ambao ni Che-Lee na Su-Yang


Sitakujibu tena bwana Nape Nnauye endelea kujifariji na wasifu wangu ambao utakufa tu hutanifikia,


NB

Nina mbwa na pakashume saizi yako ninawafuga, ukichoka kukaa ccm njoo uchangamane na wenzio hapa,
Huna lolote we kidampa tu wenye sifa hawajisifii hayo ni maneno tu wala siyo mawe.

Daima waliochanganyikiwa na maisha kama wewe hujisifu na kujitangaza,

Nakushauri kajitangaze redioni na magazetini pia.
 
We Tapeli tuheshimiane, hii ID hana interest za kihuni, mie nimechangia Independently, na nimeona huyo mleta uzi amekubana kisawasawa kwa kila hoja, sasa usinizuushie , ukizoea kuiba huwezi kuwaamini wenzako kwani utadhani wote ni wezi kama wewe, fuatilia hii akaunti yangu ujue inatoka wapi mwehu wewe.
Ili sie wachangiaji wengine tukuelewe, Thibitisha kuwa wewe ni Kijana wa Msambila marehemu au siyo?
Wewe na Familia ya Mwalimu mna-uhusiano gani hata wa ujirani mwema tu?
Ukipitia line hiyo mbona huyo MwanaDiwani ataumbuka kweupe tu, na watu watakuunga mkono kwa kuchangia.
Onyo: Mwana Diwani simjui ila alichokiandika kinajitosheleza na wewe tuweke wazi sasa.
Mkuu huyu jamaa ndiyo zake na siasa zake za maji taka na kudandia watu asiyowajua kumbe huyu jamaa ni mhuni wa kawaida tu.
 
Ulivyo na akili ya kisoda utadhani ni mwanamke nyumba ndogo,

Nilishakwamnia wewe ni shabiki wangu mwehu,

Kila ukiniona lazima unyevunyevu ukupata na kinishangilia popote,

Ila unabahati mbaya mie huwa sitafuni makuki, endelea na yuleyule Waziri!



Kwakukukumbusha tu wasifu wangu nikuwa:

Naitwa: Yericko Yohanesy Nyerere

Mahali nilipozaliwa: Nyololo, Mufindi, Iringa.

Kabila: Ni Mhehe,

Baba yangu: Yohanes Msambila Nyerere


Elimu: Muhandisi wa Umeme na Compyuta kutoka Chuo cha Beijing Information Technology College- "BIT" (China)

Kazi: Mfanyabiahara, Mwenyekiti Mtendaji wa Umoja wa Makampuni ya YECCO GROUP LTD

Kuishi: Kigamboni Mbutu,

Nina mke mmoja na watoto wa wili ambao ni Che-Lee na Su-Yang


Sitakujibu tena bwana Nape Nnauye endelea kujifariji na wasifu wangu ambao utakufa tu hutanifikia,


NB

Nina mbwa na pakashume saizi yako ninawafuga, ukichoka kukaa ccm njoo uchangamane na wenzio hapa
,

Hapo mwisho umeharibu kabisa, kumbe wewe ni mtu usiyekuwa na adabu, utu na heshima kwa wenzio, hivi Nape na heshima, wadhifa na wafuasi alio nao na watu lukuki wanaomwamini anaweza kufanana na MBWA wako wa nyumbani?

Umewadhalilisha Wahehe, lakini sishangai sana, hizi ndizo Akili KUBWA mnazotangaza kila siku? hivi wewe ukipewa uongozi utaweza kweli kwa kiburi na ufinyu wa uelewa uliokutawala kiasi hiki? Kumbe Akili KUBWA ni kutukana matusi na kutenda dhambi ya kukosoa uumbaji wa MUNGU hadharani?
Anyway naishia hapo kwanza kwani nikiendelea huwa hamchelewi kujipiga vitanzani kama ilivyo asili yenu.
 
Ulivyo na akili ya kisoda utadhani ni mwanamke nyumba ndogo,

Nilishakwamnia wewe ni shabiki wangu mwehu,

Kila ukiniona lazima unyevunyevu ukupata na kinishangilia popote,

Ila unabahati mbaya mie huwa sitafuni makuki, endelea na yuleyule Waziri!



Kwakukukumbusha tu wasifu wangu nikuwa:

Naitwa: Yericko Yohanesy Nyerere

Mahali nilipozaliwa: Nyololo, Mufindi, Iringa.

Kabila: Ni Mhehe,

Baba yangu: Yohanes Msambila Nyerere


Elimu: Muhandisi wa Umeme na Compyuta kutoka Chuo cha Beijing Information Technology College- "BIT" (China)

Kazi: Mfanyabiahara, Mwenyekiti Mtendaji wa Umoja wa Makampuni ya YECCO GROUP LTD

Kuishi: Kigamboni Mbutu,

Nina mke mmoja na watoto wa wili ambao ni Che-Lee na Su-Yang


Sitakujibu tena bwana Nape Nnauye endelea kujifariji na wasifu wangu ambao utakufa tu hutanifikia,


NB

Nina mbwa na pakashume saizi yako ninawafuga, ukichoka kukaa ccm njoo uchangamane na wenzio hapa,
JF ni hansadi na kila unachokiandika kinabakia kwenye kumbukumbu.

Swala la kuleta profile yako hapa baada ya kubanwa haliwezi kuundoa utapeli wako kwenye maandishi yako na ikichukuliwa kuwa tapeli na mwizi huwa hawaachi kazi yao bali hujibadilisha ili kuendana na mazingira ili waendelee kutapeli zaidi.

Maandishi kama haya yanayo tapeli watu kuamini kama wewe ni mtoto wa Mwl. Nyerere hayawezi kufutika na katika maandishi haya tutaendelea kukukumbusha kila mara,
Umekosea sana.
Marealle hakupata kuifadhili TANU.

Chief Marealle na Nyerere hawakuwa na mkabala mwema baina yao.

Soma kijana soma. Utaerevuka.
Punguza kujua.
Nielewe mkuu, nimesema alikuwa mfadhiri wa Mwalimu Nyerere sio TANU.

Ndugu sio kila kitu utakifahamu katika historia ya nchi hii,
Mimi Mwalimu Nyerere kama Baba yangu mzazi, nakufahamisha tangu sasa kuwa Chifu Marealle alikuwa mfadhiri wa Mwalimu Nyerere (kiuchumi)

Alimnunulia gari, suti, na nauli alimpa ya kwenda umoja wa mataifa.

Si kila kitu kitawekwa katika simulizi.

Kuendelea kutaka kuwatapeli wanaJF kwa kuwaamisha kama ID's yangu ni Nape ninakupa onyo la mwisho na ukitaja na kuiunganisha tena ID yangu na jina la Nape nitakurepoti kwa MOD's ili uthibitishe na ukishindwa kufanya hivyo sheria za JF zitafuata mkondo wake.

Kwa utapeli wako usifikilie kila mtu ni tapeli hapa.
 
Ulivyo na akili ya kisoda utadhani ni mwanamke nyumba ndogo,

Nilishakwamnia wewe ni shabiki wangu mwehu,

Kila ukiniona lazima unyevunyevu ukupata na kinishangilia popote,

Ila unabahati mbaya mie huwa sitafuni makuki, endelea na yuleyule Waziri!



Kwakukukumbusha tu wasifu wangu nikuwa:

Naitwa: Yericko Yohanesy Nyerere

Mahali nilipozaliwa: Nyololo, Mufindi, Iringa.

Kabila: Ni Mhehe,

Baba yangu: Yohanes Msambila Nyerere


Elimu: Muhandisi wa Umeme na Compyuta kutoka Chuo cha Beijing Information Technology College- "BIT" (China)

Kazi: Mfanyabiahara, Mwenyekiti Mtendaji wa Umoja wa Makampuni ya YECCO GROUP LTD

Kuishi: Kigamboni Mbutu,

Nina mke mmoja na watoto wa wili ambao ni Che-Lee na Su-Yang


Sitakujibu tena bwana Nape Nnauye endelea kujifariji na wasifu wangu ambao utakufa tu hutanifikia,


NB

Nina mbwa na pakashume saizi yako ninawafuga, ukichoka kukaa ccm njoo uchangamane na wenzio hapa,

Kwa umri ulionao na wasifu wako hapa napata kutambua yafuatayo:-
1. Wewe siyo kijana wala Mjukuu wala si ndugu wa karibu wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
Swali Kwanini tangu awali ulijinasibu kama mtu wa Familia ya Mwalimu? hapa tukuiteje?

2.Hilo jina la Nyerere linaonekana ni la Babu yako ama baba yako Mzazi, ambaye kwakuwa yeye ni Mhehe, na kwakuwa hana ukaribu na Mwalimu Baba wa Taifa, basi alipewa au alijiita jina hilo siku nyingi huko nyuma nadhani wakati wa Mwalimu Nyerere anapigania uhuru au wakati wa Tanu-Jambo ambalo sio baya kwani wengi walifanya hivyo.

3.Hapa Tanzania kuna maeneo mengi tumeyaita Nyerere, viwanja, masoko, majengo na barabara, pia kuna wenzako wengi tu wenye bahati kama yako wanaolitumia jina hilo kama majina yao maalum au rasmi, na kwakuwa jina hili limetengenezwa na mtu anajulikana kama Julius Kambarage maarufu kama Mwalimu au Baba wa Taifa, basi kila mtu mwenye kulitumia ama anatoka kwa Mwalimu katika ukoo, ama analitumia tu kwa kuwa alijiita au alipewa(Kama ilivyo kwa Mzee Msambila) basi mtu huyo hujaribu kujiheshimu na kuiga japo Taswira ya mtu aliyelitangulia(Nyerere original).

Hofu yangu kwako huna sifa hizo kabisa , utanisamehe na Mungu anisamehe kwa kukuhukumu.
> unatumia lugha isiyo na staha -haikuwa sifa ya Mwalimu.

> unapenda kujisifu na kudharau wenzio-unapingana na falsfa ya Mwalimu ya haki sawa na utu kwa watu wote.

>Unakaa kigamboni na umesahau kaburi la Baba yako Kijijini-Tofauti na Mwalimu alivyopenda kuishi Butiama 'Mwitongo'

> umeoa mwanamke na umepata watoto wawili na wote umewapa Majina ya Kichina, nahofu mkeo atakuwa mchina na anaonekana ndie anaeongoza hiyo familia(nisamehe kama nakosea) lakini kuna mantiki katika maeno yako inaonekana dhahiri wewe ni Limbukeni kama si kwa kuwa unalishwa basi kwakuwa umesoma degree toka china- Tabia hii Nyerere hakuipenda na ndio ilimfanya Malecela akose sifa za kuwa Rais wa Tz kwa kupenda mambo ya kuiga kuliko asili yake, wewe kwenu ni Uheheni kuna mambo mengi ya kujivunia na majina hayajaisha.-hufanani na Nyerere.

>Huitendei Haki Lugha ya Kiswahili kwani unawakilisha hoja zako nyingi kwa lugha ya mtaani-Jambo ambalo linapingana na Falsafa ya Mwalimu aliyekipenda Kiswahili toka moyoni mwake na kukifanya kuwa Lugha ya Taifa na kukitamka kwa maneno ya staha na fasaha- Hufanani nae hata kidogo.

Nashauri tumia jina lako la asili ya kwenu, YERICKO YOHANNES MSAMBILA- inapendeza na inaendana na wewe.
Usirudie kudanganya.
 
Kwa umri ulionao na wasifu
wako hapa napata kutambua yafuatayo:-
1. Wewe siyo kijana wala Mjukuu wala si ndugu wa karibu wa Mwalimu
Julius Kambarage Nyerere
Swali Kwanini tangu awali ulijinasibu kama mtu wa Familia ya Mwalimu?
hapa tukuiteje?

2.Hilo jina la Nyerere linaonekana ni la Babu yako ama baba yako Mzazi,
ambaye kwakuwa yeye ni Mhehe, na kwakuwa hana ukaribu na Mwalimu Baba wa
Taifa, basi alipewa au alijiita jina hilo siku nyingi huko nyuma
nadhani wakati wa Mwalimu Nyerere anapigania uhuru au wakati wa
Tanu-Jambo ambalo sio baya kwani wengi walifanya hivyo.

3.Hapa Tanzania kuna maeneo mengi tumeyaita Nyerere, viwanja, masoko,
majengo na barabara, pia kuna wenzako wengi tu wenye bahati kama yako
wanaolitumia jina hilo kama majina yao maalum au rasmi, na kwakuwa jina
hili limetengenezwa na mtu anajulikana kama Julius Kambarage maarufu
kama Mwalimu au Baba wa Taifa, basi kila mtu mwenye kulitumia ama
anatoka kwa Mwalimu katika ukoo, ama analitumia tu kwa kuwa alijiita au
alipewa(Kama ilivyo kwa Mzee Msambila) basi mtu huyo hujaribu
kujiheshimu na kuiga japo Taswira ya mtu aliyelitangulia(Nyerere
original).

Hofu yangu kwako huna sifa hizo kabisa , utanisamehe na Mungu anisamehe
kwa kukuhukumu.
> unatumia lugha isiyo na staha -haikuwa sifa ya Mwalimu.

> unapenda kujisifu na kudharau wenzio-unapingana na falsfa ya
Mwalimu ya haki sawa na utu kwa watu wote.

>Unakaa kigamboni na umesahau kaburi la Baba yako Kijijini-Tofauti na
Mwalimu alivyopenda kuishi Butiama 'Mwitongo'

> umeoa mwanamke na umepata watoto wawili na wote umewapa Majina ya
Kichina, nahofu mkeo atakuwa mchina na anaonekana ndie anaeongoza hiyo
familia(nisamehe kama nakosea) lakini kuna mantiki katika maeno yako
inaonekana dhahiri wewe ni Limbukeni kama si kwa kuwa unalishwa basi
kwakuwa umesoma degree toka china- Tabia hii Nyerere hakuipenda na ndio
ilimfanya Malecela akose sifa za kuwa Rais wa Tz kwa kupenda mambo ya
kuiga kuliko asili yake, wewe kwenu ni Uheheni kuna mambo mengi ya
kujivunia na majina hayajaisha.-hufanani na Nyerere.

>Huitendei Haki Lugha ya Kiswahili kwani unawakilisha hoja zako
nyingi kwa lugha ya mtaani-Jambo ambalo linapingana na Falsafa ya
Mwalimu aliyekipenda Kiswahili toka moyoni mwake na kukifanya kuwa Lugha
ya Taifa na kukitamka kwa maneno ya staha na fasaha- Hufanani nae hata
kidogo.

Nashauri tumia jina lako la asili ya kwenu, YERICKO YOHANNES MSAMBILA-
inapendeza na inaendana na wewe.
Usirudie kudanganya.
Huyo dogo hakai kigamboni anakaa Kinyerezi anataka kugombea udiwani
 

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana katikati akiwa katika picha ya pamoja na Andrew Nyerere Mtoto wa Kwanza wa Baba wa taifa Mwalimu Julius K. Nyerere wakati alipozuru kaburi la Mwaasisi huyo wa taifa la Tanzania Mwitongo, Butiama Nyumbani kwa mwalimu Mkoani Mara jana, Kinana alifanyakazi na Andrew
Nyerere wakati wakilitumikia Jeshi la Ulinzi la wananchi la Tanzania (JWTZ), Katibu Mkuu huyo jana aliendelea na ziara yake katika wilaya ya Butiama katika kuimarisha chama na kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi, Kinana ataendelea na ziara yake katika Wilaya ya Serengeti leo. Kushoto ni Nape Nnayue Katibu wa (NEC) Itikadi Siasa na Uenezi.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiagana na Andrew Nyerere mara baada ya kuzuru Kaburi la Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius K. Nyerere Mwitongo Butiama jana
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana wa tatu kutoka kulia akiongozwa na ndgu wa Mwalimu Mzee Jack Nyamwaga wakati akielekea kuweka shada la maua katika kaburi la Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius K. Nyerere jana mjini Butiama, Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Butiama Mama Mabula
Katibu Mkuu wa CChama Cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana katikati akiweka shada la maua kwenye kaburi la Hayati. Mwalimu Julius K. Nyerere huku Nape Nnauye Katibu wa Itikadi, Siasa na Uenezi akishuhudia tukio hilo.
Wana habari nao wakishiriki kuweka mashada ya maua katika Kaburi la Baba wa Taifa Mwalimu Julius K. Nyerere jana kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Mtandao wa Fullshangwe Bw. John Bukuku, Said Mwishehe kutoka Jambo Leo Oktavian kutoka CCM Gerson Msigwa wa TBC, Ufo Saro wa ITV na Prosper Dereva wa CCM.

Katibu Mkuu wa CChama Cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana wa pili kutoka kulia akimsikiliza Balozi Safari wakati alipotembelea Shina namba 14 Mwitongo Butiama na kuzungumza na wanachama wa shina hilo ikiwa ni pamoja na kusikiliza kero zao.
Nape Nnauye Katibu wa Itikadi, Siasa na Uenezi akisalimiana na Mzee Jack Nyamwaga huku katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana wa pili kulia akizungumza na mzee Mdogo wa Mwalimu Julius K. Nyerere Daniel Nyerere mara baada ya kumaliza kikao chake na wanachama katika shina namba 14 Mwitongo.
Nape Nnauye Katibu wa Itikadi, Siasa na Uenezi CCM kulia akizungumza na Mh. Nimrod Mkono aka “Mkono kwa Mkono”Mbunge wa Jmbo la Musoma Vijijini.
Hili ni Jengo la zahanati ya kata ya Busegwe ambalo ujenzi wake unaendelea kwa kushirikisha Halmashauri ya wilaya ya Butiama vijijini Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini Mh. Nimrod Mkono na nguvu za wananchi.

Katibu Mkuu wa CChama Cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kupia lipu wakati alipokagua ujenzi wa zahanati ya Busegwe jana kulia ni Mgendi Sikila mmoja wa mafundi wanaojenga zahanati hiyo.
Katibu Mkuu wa UWT Taifa na Mbunge w
a viti maalum kutoka mkoa wa Mara Amina Makilagi akishiriki kubeba udongo, wakati Katibu Mkuu wa CChama Cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana alipokagua ujenzi wa zahanati hiyo kata ya Busegwe

Katibu Mkuu wa CChama Cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo kutoka kwa Mganga mkuu wa Wilaya ya Butiama Dk Wilbert Manase wakati alipotembele ujenzi wa zahanati hiyo.
Mbunge wa Jimbo la Musoma vijijini Mh. Nimrod Mkono akitoa maelezo mbele ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana wakati akikagua ujenzi wa zahanati Busegwe

Mbunge wa Jimbo la Musoma vijijini Mh. Nimrod Mkono akishiriki kucheza ngoma na moja ya vikundi vilivyokuwa vikitumbuiza katika ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.
Katibu Mkuu wa CChama Cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimuangalia Katibu Mkuu wa UWT Taifa Bi. Amina Makilagi wakati akishiriki kucheza ngoma.


Mkuu wa Wilaya ya Butiama Mama Mabula akizungumza na wananchi katika kijiji cha Bwai.



Katibu Mkuu wa CChama Cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimshukuru Diwani wa kijiji cha Bwai Jamila Nyamanda kupitia TPP Maendelea kwa ushirikiano wake katika kutekeleza ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM
Katibu Mkuu wa CChama Cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akifurahia jambo wakati alipokuwa akimsikiliza mzee Nyanda Totela wakati alipokagua Shule ya Msingi ya Bwai Musoma vijijini jana
Shule ya Msingi Bwai inavyoonekana

Nape Nnauye Katibu wa Itikadi, Siasa na Uenezi CCM kulia akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika jana Kyabakari Butiama jana


Katibu Mkuu wa CChama Cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akivishwa mgolole na Katibu wa kabila la Zanaki Mzee Peter Nyamrubwe Nyamrubwe kama ishara ya kuwa mmoja wa viongozi wa kimila wa kabila la wazanaki, kulia ni Mh Nimrod Mkono Mbunge wa Jimbo la Musoma vijijini.

Katibu Mkuu wa CChama Cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikabidhi baiskeli kwa Gwesani M. Gwesani moja wa makatibu kata waliokabidhiwa baiskeli hizo kwa ajili ya kuimarisha Chama Wilayani Butiama

Baadhi ya ananchi waliojitokeza katika mkutano wa hadhara
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi akiwahutubia wakazi wa mji wa Kyabakari Wilayani Butiama jana

mbona huyu anderea hana kitambi kama hivyo vinana hivyo viwili alivyopiga navyo picha hiyo ya kwanza? !
 
wanafiki wakubwa wameenda kuchukua laana kinana kamaliza tembo wetu bado arusha aliiba mashine ya kufulia nguo pale mount meru hospital wezi wakubwa hawa maccm wote.
 
It's very unfortunate kwa Mzee wa Ndovu kwenda kutembelea kaburi la Mwl. J. K. Nyerere. Nina hakika Mwl alipindisha uso wake baada ya Mzee wa Ndovu kufika pale.
 
Ningeshangaa sana kama Yericko Yohanes Msambila 'Nyerere' angebadilika kwa sababu tafiti zinabainisha kuwa TAPELI au MWIZI huwa habadiliki bali HUJIGEUZA sura ya mwonekano ili aendelee kufanikisha utapeli na wizi wake.

Tapeli Yericko " NYERERE" ataendelea kutapeli kama alivyofanya juzi, jana, leo na mpaka kifo chake chini ya shetani.

Kumbe wewe ndio nape kumbe? !
 
Hakunivalisha hiyo kofia. Hiyo ni kofia yangu naivaa kujikinga na jua.
Huyu Kinana alikuwa Political Commissar na Mkufunzi nilipokuwa nafanya cadet training Monduli mwaka 1977. Ndilo ninalozungumzia hapo katika hiyo picha.
Kuhusu kuwa poacher,sifahamu. Lakini kumbuka kwamba the world is complaining to God every day,kwamba viumbe wamezidi katika sayari. The burden of sustaining them is too great. The Good God has assured the earth,kwamba dawa ya overpopulation ipo jikoni. Labda bora usome tena phoenix archives.
 
Back
Top Bottom