msnajo JF-Expert Member Jan 20, 2011 3,067 1,136 Jan 23, 2011 #1 Kwa wale waliokosa kongamano la katiba j'moc iliyopita. ITV wanarusha kwa sasa.
figganigga JF-Expert Member Oct 17, 2010 25,492 54,892 Jan 23, 2011 #3 Tanesco wamekata umeme.walijua kuna marudio.ukerewe nzima haina umeme. huku ndo patashika kuhusu katiba.
Tanesco wamekata umeme.walijua kuna marudio.ukerewe nzima haina umeme. huku ndo patashika kuhusu katiba.