Katiba ya Tanzania 1977 siyo mbaya ila Watumiaji ndio wabaya. Akina Halima Mdee kuwa Bungeni bila aibu utaisingizia Katiba?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,036
142,119
Katiba ya JMT 1977 haina Ubaya wowote bali Binadamu wanaoitumia ndio waovu.

Chukulia mfano wa akina Halima Mdee na wenzake ambao wanajua kabisa mule Bungeni wako isivyo halali lakini wamekomaa bila aibu.

Spika wa Bunge anajua kabisa kama Taifa tunaandika historia mbaya kwa vizazi lakini yuko kimya.

Kama unasema Katiba ni mbaya nitajie kifungu cha Katiba kinachohalalisha Halima Mdee na wenzake wawepo Bungeni.

Tunaposema watoto wadogo wasikae bweni bali wakae nyumbani wafundishwe Maadili na Wazazi wao tuwe tunamaanisha, hawa Wabunge 19 ni Wazazi pia, watoto wao watajifunza nini

Katiba Mpya zaidi ya kupeana Vyeo vya Siasa haina lolote, tujikite kwenye Maadili Mema tu tukianza na Wanasiasa ambao ndio kitovu cha Uovu Duniani kote.

Jumaa kareem!
 
Kwahiyo tuikaumu sekretarieti inayohusika na picking ya viongoz au ni the whole CCM haifai? Issue ya hao vovido ilikua uvunjaji wa katiba but mbona mpaka sasa katiba inaendelea kuvunjwa? Hii Nchi kiukwel inahitaji reshuffling kubwa san!!!
Katiba ya JMT 1977 haina Ubaya wowote bali Binadamu wanaoitumia Ndio waovu

Chukulia mfano wa akina Halima Mdee na wenzake ambao Wanajua kabisa mule bungeni wako isivyo halali lakini wamekomaa Bila aibu

Spika wa bunge anajua kabisa kama Taifa tunaandika historia mbaya kwa vizazi lakini yuko kimya

Kama unasema Katiba ni mbaya nitajie kifungu cha Katiba kinachohalalisha Halima Mdee na wenzake wawepo bungeni

Tunaposema watoto wadogo wasikae bweni bali wakae nyumbani wafundishwe Maadili na Wazazi wao tuwe tunamaanisha, hawa Covid-19 ni Wazazi pia watoto wao watajifunza nini!!!

Katiba mpya zaidi ya kupeana Vyeo vya Siasa haina lolote tujikite kwenye Maadili Mema tu tukianza na Wanasiasa ambao Ndio kitovu cha Uovu Duniani kote

Jumaa kareem!
 
Katiba ya JMT 1977 haina Ubaya wowote bali Binadamu wanaoitumia Ndio waovu

Chukulia mfano wa akina Halima Mdee na wenzake ambao Wanajua kabisa mule bungeni wako isivyo halali lakini wamekomaa Bila aibu

Spika wa bunge anajua kabisa kama Taifa tunaandika historia mbaya kwa vizazi lakini yuko kimya

Kama unasema Katiba ni mbaya nitajie kifungu cha Katiba kinachohalalisha Halima Mdee na wenzake wawepo bungeni

Tunaposema watoto wadogo wasikae bweni bali wakae nyumbani wafundishwe Maadili na Wazazi wao tuwe tunamaanisha, hawa Covid-19 ni Wazazi pia watoto wao watajifunza nini!!!

Katiba mpya zaidi ya kupeana Vyeo vya Siasa haina lolote tujikite kwenye Maadili Mema tu tukianza na Wanasiasa ambao Ndio kitovu cha Uovu Duniani kote

Jumaa kareem!
Wewe hujui kitu, haya mambo ni academic , tena high level acedemic endertaking. Wako mle kwa vile Katiba inampa Rais ufalme usiweza kuhojiwa! katiba inainyima uhuru mahakama wa mtu kwenda kuchallenge uhuni ule, katiba inalinyima uhuru Bunge , linapokea maagizo toka kwa rais mfalme asiyeweza kuhojiwa!
Katiba inampa Rais uhuru wa kutunga sheria anayotaka maana asipota saini haiwi sheria. katiba mbovu inaleta uhuni kila mahali
 
Kabisa mkuu mwagito!

Suala la kina Halima halihusiana na ubovu wa katiba yetu, isipokuwa ni utashi wa watu tu.

Ndio kusema kwamba hata tungekuwa na katiba kama ile ya USA ccm wangeweza kufanya lolote na tukakaa kimya tu
 
Kabisa mkuu mwagito!

Suala la kina Halima halihusiana na ubovu wa katiba yetu, isipokuwa ni utashi wa watu tu.

Ndio kusema kwamba hata tungekuwa na katiba kama ile ya USA ccm wangeweza kufanya lolote na tukakaa kimya tu
Haiwezekani CCM kufanya chochote ukiwa na katiba kama ile ya USA. Kwanza tusingekuwa hata na hilo jambo la kuwa na wabunge wasiokuwa na majimbo ya uwakilishi.
 
KATIBA ILIVYO NDIYO INAWEZESHA HAYO KUFANYIKA IKIWA NI PAMOJA NA KUTOIZINGATIA. KUTOUZINGATIA KATIBA NI KATIBA YENYEWE IMEJIWEKA REHANI. BAADA YA KUSIKIA WENGI WALIMU WA MITANDAONI. NIMEFAHAMU KUWA RAIS NDIYE KATIBA NA SHERIA. KITABU CHA KATIBA NI KIVULI TU. KATIBA YENYEWE NI RAIS. NA HILI LIMEWEZESHWA PIA NA HIYOHIYO KATIBA. TUNAHITAJI KATIBA HURU INAYOJILINDA NA KUJITETEA YENYEWE.
 
WATUMIAJI VIBAYA WANAWEZESHWA NA HIYO KATIBA KUFANYA VIBAYA. MFANO RAIS AKIFANYA MAKOSA MFANO WIZI HASHITAKIWI
 
HIYO ILIMFAA BABA NYERERE KWANI KWA WAKATI HUO NA NI KWELI KWANI ALIKUWA SI FISADI, ALIPENDA HAKI, N. K. LKN SASA WALIOFUATA WENGINE WALIKIRI HADHARANI KUIBA KWA KUWA HAKUNA WA KUWAFANYA CHOCHOTE
 
Katiba ya JMT 1977 haina Ubaya wowote bali Binadamu wanaoitumia Ndio waovu

Chukulia mfano wa akina Halima Mdee na wenzake ambao Wanajua kabisa mule bungeni wako isivyo halali lakini wamekomaa Bila aibu

Spika wa bunge anajua kabisa kama Taifa tunaandika historia mbaya kwa vizazi lakini yuko kimya

Kama unasema Katiba ni mbaya nitajie kifungu cha Katiba kinachohalalisha Halima Mdee na wenzake wawepo bungeni

Tunaposema watoto wadogo wasikae bweni bali wakae nyumbani wafundishwe Maadili na Wazazi wao tuwe tunamaanisha, hawa Covid-19 ni Wazazi pia watoto wao watajifunza nini!!!

Katiba mpya zaidi ya kupeana Vyeo vya Siasa haina lolote tujikite kwenye Maadili Mema tu tukianza na Wanasiasa ambao Ndio kitovu cha Uovu Duniani kote

Jumaa kareem!

".. mengine haya tungeyaacha tukajikita kwenye kujadili uganga wa kienyeji." --- Dkt. Mwigulu.
 
Uwezo wako wakupambanua Mambo ni mdogo sana kiasi chakushadidia katiba ya hovyoo!. Hivi Kama katiba hiyo isingempa mamlaka makubwa Rais leo hao wabunge wangekuwa Bungeni?, Halima na wenzake wapo Bungeni kupitia amri ya Rais ambaye katiba haijampa mipaka ya utendaji na kumtaka akikosea atashitakiwa.
 
Mzee Mgaya lazima katiba ibadilishwe Cha muhimu Mama aandae fungu la kuendesha huu mchakato ili wasomi tuingie kazini kutafta maoni mbadala
Tupo tayari kuchangia mchakato wa katiba mpya.Watu Mili. 20 wakitoa Elfu Tano tunapata Bil. 100 zitatisha . Hatutaki visingizio mbona tunachangia misiba ,harusi , vigodoro n. k ambavyo havina tija Kwa Taifa letu tukufu.
 
Mtoa mada unaonekana kabisa bauna uelewa wowote juu ya Katiba yani umesukumwa na hisia zako kuja kuleta uzi. ASIEJUA MAANA USIMWAMBIE MAANA.

Tukuache na ujinga wako.

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Katiba ya JMT 1977 haina Ubaya wowote bali Binadamu wanaoitumia Ndio waovu

Chukulia mfano wa akina Halima Mdee na wenzake ambao Wanajua kabisa mule bungeni wako isivyo halali lakini wamekomaa Bila aibu

Spika wa bunge anajua kabisa kama Taifa tunaandika historia mbaya kwa vizazi lakini yuko kimya

Kama unasema Katiba ni mbaya nitajie kifungu cha Katiba kinachohalalisha Halima Mdee na wenzake wawepo bungeni

Tunaposema watoto wadogo wasikae bweni bali wakae nyumbani wafundishwe Maadili na Wazazi wao tuwe tunamaanisha, hawa Covid-19 ni Wazazi pia watoto wao watajifunza nini!!!

Katiba mpya zaidi ya kupeana Vyeo vya Siasa haina lolote tujikite kwenye Maadili Mema tu tukianza na Wanasiasa ambao Ndio kitovu cha Uovu Duniani kote

Jumaa kareem!
Unategemea ni Nini Kwa nchi ambayo Spika ni Chaguo la Rais . Majaji wanateuliwa na Rais . Bunge na Spika ni ya Chama yaani CCM ,na Mwenyekiti wa Chama ni Rais wa nchi mwenye mamlaka makubwa kuliko mungu. Jaji Gani ataliagiza Bunge kuwafukuza Wale wabunge waliokumbatiwa na Spika Kwa manufaa ya serikali.

Hebu fikiri jaji asema kuwa wakina Halima hawana uhalali wa kuwa wabunge halafu kesho yake akatolewa kwenye nafasi yake na kukaa benchi. Unajua maslahi ya Majaji yalivyo Manono hasa wanapokua kwenye nafsi za keuliwa kama jaji mkuu , jaji Kiongozi n.k. Sasa nani yupo tayari kutenguliwa apoteze maslahi yake Kwa sababu ya mtu Mwingine Tena mambo ya wanasiasa.?

Katiba ikipunguza madaraka ya Rais inawafanya majaji wanakuwa wanajiamini mana hawatenguliwi kirahisi wanapotoa hukumu inayokinzana na maslahi ya wakubwa.
Unafikiri majaji wa Kenya wangekua na katiba kama ya Kwetu wangethubutu kusema kuwa mashoga wana haki ya kujumuika n.k.Ingekua katiba yetu wangetumbuliwa kesho yake na stori ingeishia hapo.
 
Katiba ya JMT 1977 haina Ubaya wowote bali Binadamu wanaoitumia Ndio waovu

Chukulia mfano wa akina Halima Mdee na wenzake ambao Wanajua kabisa mule bungeni wako isivyo halali lakini wamekomaa Bila aibu

Spika wa bunge anajua kabisa kama Taifa tunaandika historia mbaya kwa vizazi lakini yuko kimya

Kama unasema Katiba ni mbaya nitajie kifungu cha Katiba kinachohalalisha Halima Mdee na wenzake wawepo bungeni

Tunaposema watoto wadogo wasikae bweni bali wakae nyumbani wafundishwe Maadili na Wazazi wao tuwe tunamaanisha, hawa Covid-19 ni Wazazi pia watoto wao watajifunza nini!!!

Katiba mpya zaidi ya kupeana Vyeo vya Siasa haina lolote tujikite kwenye Maadili Mema tu tukianza na Wanasiasa ambao Ndio kitovu cha Uovu Duniani kote

Jumaa kareem!
Au rais wa mpito anavyoingilia muhimili wa mahakama na kutangaza hadharani kumfutia kesi muhuni lema
 
Wewe hujui kitu, haya mambo ni academic , tena high level acedemic endertaking. Wako mle kwa vile Katiba inampa Rais ufalme usiweza kuhojiwa! katiba inainyima uhuru mahakama wa mtu kwenda kuchallenge uhuni ule, katiba inalinyima uhuru Bunge , linapokea maagizo toka kwa rais mfalme asiyeweza kuhojiwa!
Katiba inampa Rais uhuru wa kutunga sheria anayotaka maana asipota saini haiwi sheria. katiba mbovu inaleta uhuni kila mahali
Ina tofauti yoyote ya kutoa Ukuu na Katiba yenu ya hapo Ufipa?!
 
Unategemea ni Nini Kwa nchi ambayo Spika ni Chaguo la Rais . Majaji wanateuliwa na Rais . Bunge na Spika ni ya Chama yaani CCM ,na Mwenyekiti wa Chama ni Rais wa nchi mwenye mamlaka makubwa kuliko mungu. Jaji Gani ataliagiza Bunge kuwafukuza Wale wabunge waliokumbatiwa na Spika Kwa manufaa ya serikali.

Hebu fikiri jaji asema kuwa wakina Halima hawana uhalali wa kuwa wabunge halafu kesho yake akatolewa kwenye nafasi yake na kukaa benchi. Unajua maslahi ya Majaji yalivyo Manono hasa wanapokua kwenye nafsi za keuliwa kama jaji mkuu , jaji Kiongozi n.k. Sasa nani yupo tayari kutenguliwa apoteze maslahi yake Kwa sababu ya mtu Mwingine Tena mambo ya wanasiasa.?

Katiba ikipunguza madaraka ya Rais inawafanya majaji wanakuwa wanajiamini mana hawatenguliwi kirahisi wanapotoa hukumu inayokinzana na maslahi ya wakubwa.
Unafikiri majaji wa Kenya wangekua na katiba kama ya Kwetu wangethubutu kusema kuwa mashoga wana haki ya kujumuika n.k.Ingekua katiba yetu wangetumbuliwa kesho yake na stori ingeishia hapo.
Mchakato wa kumtumbua Jaji unaijua bwashee?!!
 
Uwezo wako wakupambanua Mambo ni mdogo sana kiasi chakushadidia katiba ya hovyoo!. Hivi Kama katiba hiyo isingempa mamlaka makubwa Rais leo hao wabunge wangekuwa Bungeni?, Halima na wenzake wapo Bungeni kupitia amri ya Rais ambaye katiba haijampa mipaka ya utendaji na kumtaka akikosea atashitakiwa.
Amri ya Rais gani?!
 
Back
Top Bottom